-
Katibu Mkuu wa UN atahadahrisha kuhusu hali mbaya nchini Yemen
Apr 03, 2018 09:25Huku Saudia Arabia ikiendeleza hujuma zake za kinyama dhidi ya Yemen, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Saudia yalaumiwa kwa utumwa wanaofanyiwa wanawake wa Mauritania
Apr 02, 2018 21:55Mashirika ya haki za binadamu yamelaumu vikali vitendo viovu wanavyofanyiwa wanawake wa Mauritania nchini Saudi Arabia na kusema kuwa wasichana wadogo wanaofanya kazi nchini Saudia wanageuzwa watumwa.
-
Jeshi la Yemen lashambulia kituo cha Jeshi la Saudia eneo la Jizan
Apr 02, 2018 03:07Jeshi la Yemen likishirikiana na wapiganaji wa Harakati ya Ansarullah wamevurumisha kombora la balisitiki ndani ya ardhi ya Saudi Arabia na kulenga kituo cha kijeshi katika eneo la Jizan.
-
Israel imetegemea fatuwa za Mashekhe wa Saudia kuwaua Wapalestina
Mar 31, 2018 11:37Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel linasema linawaua Wapalestina wanaoandamana kwa kutegemea fatuwa ya mashekhe wa Kiwahhabi kutoka Saudi Arabia.
-
Iran na muono wake wa mbali kuhusu mgogoro wa Yemen; US, UK, Ufaransa washiriki wa jinai zinazotendwa Yemen
Mar 31, 2018 01:42Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, lengo la wimbi jipya la tuhuma za Saudi Arabia dhidi ya Iran ya kwamba eti Tehran inatuma silaha nchini Yemen, ni kujaribu kuzipotosha fikra za walimwengu kuhusu jinai zinazoongozwa na Saudia huko Yemen.
-
Mazungumzo kati ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia na Katibu Mkuu wa UN
Mar 29, 2018 06:51Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia tarehe 27 Machi alikutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres katika makao makuu ya umoja huo mjini New York.
-
Jaji wa New York: Saudia lazima ijibu mashtaka ya kuhusika na hujuma za 9/11
Mar 29, 2018 01:54Jaji katika mahakama moja nchini Marekani ametoa hukumu na kusema Saudi Arabia lazima ijibu mashtaka ya kuhusika katika kusadia hujuma za kigaidi za Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani.
-
Gholamali Khoshroo aitaka Saudi Arabia iachane na vita
Mar 28, 2018 02:51Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia uachane na hatua zake za vita.
-
Aghalabu ya wananchi wa Ufaransa wanataka nchi yao iache kuiuzia silaha Saudia
Mar 26, 2018 10:31Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni umeonyesha kuwa asilimia 75 ya wananchi wa Ufaransa wanataka nchi yao isimamishe uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia, Imarati na nchi nyingine zinaoendesha vita haribifu huko Yemen.
-
Iraq: Saudia ituombe radhi kwa kutuma magaidi elfu 5 nchini
Mar 25, 2018 06:18Muungano wa Utawala wa Sheria nchini Iraq umeutaka utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia uliombe radhi taifa hilo kutokana na madhara lililoyapata, kwa hatua ya Riyadh kutuma maelfu ya magaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.