Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Katibu Mkuu wa UN atahadahrisha kuhusu hali mbaya nchini Yemen

    Katibu Mkuu wa UN atahadahrisha kuhusu hali mbaya nchini Yemen

    Apr 03, 2018 09:25

    Huku Saudia Arabia ikiendeleza hujuma zake za kinyama dhidi ya Yemen, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametahadharisha kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Saudia yalaumiwa kwa utumwa wanaofanyiwa wanawake wa Mauritania

    Saudia yalaumiwa kwa utumwa wanaofanyiwa wanawake wa Mauritania

    Apr 02, 2018 21:55

    Mashirika ya haki za binadamu yamelaumu vikali vitendo viovu wanavyofanyiwa wanawake wa Mauritania nchini Saudi Arabia na kusema kuwa wasichana wadogo wanaofanya kazi nchini Saudia wanageuzwa watumwa.

  • Jeshi la Yemen lashambulia kituo cha Jeshi la Saudia eneo la Jizan

    Jeshi la Yemen lashambulia kituo cha Jeshi la Saudia eneo la Jizan

    Apr 02, 2018 03:07

    Jeshi la Yemen likishirikiana na wapiganaji wa Harakati ya Ansarullah wamevurumisha kombora la balisitiki ndani ya ardhi ya Saudi Arabia na kulenga kituo cha kijeshi katika eneo la Jizan.

  •  Israel imetegemea fatuwa za Mashekhe wa Saudia kuwaua Wapalestina

    Israel imetegemea fatuwa za Mashekhe wa Saudia kuwaua Wapalestina

    Mar 31, 2018 11:37

    Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel linasema linawaua Wapalestina wanaoandamana kwa kutegemea fatuwa ya mashekhe wa Kiwahhabi kutoka Saudi Arabia.

  • Iran na muono wake wa mbali kuhusu mgogoro wa Yemen; US, UK, Ufaransa washiriki wa jinai zinazotendwa Yemen

    Iran na muono wake wa mbali kuhusu mgogoro wa Yemen; US, UK, Ufaransa washiriki wa jinai zinazotendwa Yemen

    Mar 31, 2018 01:42

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, lengo la wimbi jipya la tuhuma za Saudi Arabia dhidi ya Iran ya kwamba eti Tehran inatuma silaha nchini Yemen, ni kujaribu kuzipotosha fikra za walimwengu kuhusu jinai zinazoongozwa na Saudia huko Yemen.

  • Mazungumzo kati ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia na Katibu Mkuu wa UN

    Mazungumzo kati ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia na Katibu Mkuu wa UN

    Mar 29, 2018 06:51

    Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia tarehe 27 Machi alikutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres katika makao makuu ya umoja huo mjini New York.

  • Jaji wa New York: Saudia lazima ijibu mashtaka ya kuhusika na hujuma za 9/11

    Jaji wa New York: Saudia lazima ijibu mashtaka ya kuhusika na hujuma za 9/11

    Mar 29, 2018 01:54

    Jaji katika mahakama moja nchini Marekani ametoa hukumu na kusema Saudi Arabia lazima ijibu mashtaka ya kuhusika katika kusadia hujuma za kigaidi za Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani.

  • Gholamali Khoshroo aitaka Saudi Arabia iachane na vita

    Gholamali Khoshroo aitaka Saudi Arabia iachane na vita

    Mar 28, 2018 02:51

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia uachane na hatua zake za vita.

  • Aghalabu ya wananchi wa Ufaransa wanataka nchi yao iache kuiuzia silaha Saudia

    Aghalabu ya wananchi wa Ufaransa wanataka nchi yao iache kuiuzia silaha Saudia

    Mar 26, 2018 10:31

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni umeonyesha kuwa asilimia 75 ya wananchi wa Ufaransa wanataka nchi yao isimamishe uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia, Imarati na nchi nyingine zinaoendesha vita haribifu huko Yemen.

  • Iraq: Saudia ituombe radhi kwa kutuma magaidi elfu 5 nchini

    Iraq: Saudia ituombe radhi kwa kutuma magaidi elfu 5 nchini

    Mar 25, 2018 06:18

    Muungano wa Utawala wa Sheria nchini Iraq umeutaka utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia uliombe radhi taifa hilo kutokana na madhara lililoyapata, kwa hatua ya Riyadh kutuma maelfu ya magaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS