Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Qassemi: Saudia ni chanzo kikuu cha ugaidi duniani

    Qassemi: Saudia ni chanzo kikuu cha ugaidi duniani

    Mar 24, 2018 02:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema Jumamosi amejibu tuhuma za hivi karibuni za Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia na kusema,"Saudi Arabia ndio chanzo kikuu cha ugaidi, ukosefu wa usalama na misimamo mikali katika eneo na dunia nzima."

  • Amnesty yalaani uuzaji wa silaha kwa Saudia, yasema Riyadh imetenda jinai za kivita Yemen

    Amnesty yalaani uuzaji wa silaha kwa Saudia, yasema Riyadh imetenda jinai za kivita Yemen

    Mar 23, 2018 09:38

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani mwenendo wa nchi za Magharibi hususan Marekani wa kuendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia ikisisitiza kuwa utawala wa Riyadh umefanya jinai za kivita nchini Yemen.

  • Ufaransa yapewa miezi miwili isitishe uuzaji wa silaha kwa Saudia

    Ufaransa yapewa miezi miwili isitishe uuzaji wa silaha kwa Saudia

    Mar 23, 2018 02:46

    Mashirika mawili ya kutetea haki za binadamu yameipa Ufaransa makataa ya miezi miwili iache kuuuzia silaha utawala wa kifalme wa Saudi Arabia, vinginevyo yataichukulia hatua za kisheria.

  • Ndege za kivita za Saudia zaua watoto, wanawake Wayemeni mkoani Sa'ada

    Ndege za kivita za Saudia zaua watoto, wanawake Wayemeni mkoani Sa'ada

    Mar 22, 2018 11:28

    Ndege za kivita za Saudia Arabia zimedondosha mabomu katika maeneo ya raia ya mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa Yemen na kuua na kujeruhi raia 17 wakiwemo wanawake na watoto.

  • Trump aendeleza bwabwaja zake dhidi ya Iran

    Trump aendeleza bwabwaja zake dhidi ya Iran

    Mar 21, 2018 00:36

    Rais Donald Trump wa Marekani jana Jumanne alikutana na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia katika Ikulu ya White House na kukariri tena madai yasiyo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Usalama wa viwanja vya ndege vya Saudia mikononi mwa shirika la Kizayuni la Israel

    Usalama wa viwanja vya ndege vya Saudia mikononi mwa shirika la Kizayuni la Israel

    Mar 20, 2018 03:52

    Ulinzi na usalama wa viwanja vya ndege vya Saudi Arabia umetiwa mikononi mwa shirika la Kizayuni la G4S kwa amri ya mfalme Salman bin Abdul Aziz wa nchi hiyo.

  • Huffington Post: Marekani inashirikiana bega kwa bega na Saudia katika jinai nchini Yemen

    Huffington Post: Marekani inashirikiana bega kwa bega na Saudia katika jinai nchini Yemen

    Mar 20, 2018 01:07

    Mtandao maarufu wa habari nchini Marekani wa Huffington Post umeandika kuwa, kitendo cha Marekani kuidhaminia silaha na zana za kijeshi na kuunga mkono ukatili wa muungano wa nchi za Kiarabu katika uvamizi wa kijeshi nchini Yemen, kimeweka wazi ushiriki wa Marekani katika jinai za kivita za Saudia dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.

  • Wasi wasi wa Saudia waipelekea ikabidhi viwanja vyake vya ndege kwa Israel

    Wasi wasi wa Saudia waipelekea ikabidhi viwanja vyake vya ndege kwa Israel

    Mar 19, 2018 04:23

    Kufuatia wasi wasi wa uwezekano wa kutoroka nchi wanawafalme wa ukoo wa Aal-Saud, utawala wa Aal- Saud umeamua kuukabidhi utawala haramu wa Israel usimamizi wa viwanja vyake vya ndege.

  • Qassemi: Bin Salman ni mwanagenzi anayeona ndoto za mchana

    Qassemi: Bin Salman ni mwanagenzi anayeona ndoto za mchana

    Mar 16, 2018 01:27

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi yaliyojaa dharau ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia na kusema matamshi hayo ya Muhammad bin Salman hayana thamani ya kujibiwa kwa sababu ni mwanagenzi anayeona njozi na asiyejua lolote isipokuwa kusema uongo.

  • Radiamali kwa makubaliano ya kuiuzia Saudia ndege za kivita za Uingereza aina ya Typhoon

    Radiamali kwa makubaliano ya kuiuzia Saudia ndege za kivita za Uingereza aina ya Typhoon

    Mar 11, 2018 04:18

    Hatua ya kusainiwa makubaliano ya kuiuzia Saudi Arabia ndege 48 za kivita aina ya typhoon katika safari ya Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo huko London imeakisiwa pakubwa na duru za kisiasa na vyombo vya habari vya ndani na nje ya Uingereza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS