Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Human Rights Watch: Saudia inakiuka haki za binadamu nchini Yemen

    Human Rights Watch: Saudia inakiuka haki za binadamu nchini Yemen

    Jan 19, 2018 00:10

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, Saudi Arabia imekuwa ikikiuka haki za binadamu huko nchini Yemen.

  • Hali ya kiongozi wa upinzani na kidini aliyemkosoa Bin Salman, yazidi kuwa mbaya jela Saudia

    Hali ya kiongozi wa upinzani na kidini aliyemkosoa Bin Salman, yazidi kuwa mbaya jela Saudia

    Jan 18, 2018 11:20

    Hali ya kimwili ya Salman al-Ouda, mmoja wa shakhsia wakubwa wa upinzani na kidini nchini Saudi Arabia ambaye miezi minne iliyopita, alitiwa mbaroni kwa amri ya Mohammed bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo, imeripotiwa kuendelea kuwa mbaya kila siku katika jela ya nchi hiyo.

  • Radiamali ya Ansarullah ya Yemen kwa madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia

    Radiamali ya Ansarullah ya Yemen kwa madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia

    Jan 17, 2018 11:43

    Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ametoa matamshi akijibu msimamo usiozingatia hali halisi na wa hadaa uliodhihirishwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia kuhusu Yemen.

  • Answarullah yashambulia kwa kombora uwanja wa ndege wa Jazan, Saudia

    Answarullah yashambulia kwa kombora uwanja wa ndege wa Jazan, Saudia

    Jan 17, 2018 04:47

    Jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah, limeushambulia kwa kombora uwanja wa ndege wa Jazan, kusini magharibi mwa Saudia ikiwa ni katika hatua ya ulipizaji kisasi kutokana na uvamizi wa Saudia na washirika wake dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.

  • Wafanyakazi wa Shirika la Saudia waandamana mbele ya ubalozi wa Saudia mjini Beirut

    Wafanyakazi wa Shirika la Saudia waandamana mbele ya ubalozi wa Saudia mjini Beirut

    Jan 14, 2018 10:55

    Wafanyakazi wa shirika la Saudia la Saudi Oger wameandamana mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut wakitaka kulipwa mishahra yao.

  • Sababu za kuongezeka mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu

    Sababu za kuongezeka mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu

    Jan 13, 2018 00:14

    Licha ya kupita zaidi ya miezi 7 tokea kuanza mvutano kati ya Qatar na nchi nyingine nne za Kiarabu za kundi la 3+1, si tu kwamba hakuna dalili zozote zinazoonyesha kupungua mvutano huo bali umekuwa ukiongezeka siku baada ya nyingine.

  • Bodi ya kimataifa yaanzishwa kusimamia idara ya Saudia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina

    Bodi ya kimataifa yaanzishwa kusimamia idara ya Saudia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina

    Jan 10, 2018 12:40

    Malaysia imetangaza habari ya kuanzishwa bodi ya kimataifa ya kuchunguza na kusimamia idara na uendeshaji wa Saudi Arabia katika maeneo matakatifu ya Makka na Madina na vilevile kulinda maeneo na turathi za kihistoria.

  • Mabadiliko katika stratejia ya serikali ya uokozi wa kitaifa Yemen; kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Saudi Arabia

    Mabadiliko katika stratejia ya serikali ya uokozi wa kitaifa Yemen; kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Saudi Arabia

    Jan 09, 2018 04:07

    Abdel-Aziz bin Habtour Waziri Mku wa Serikali ya Uokozi wa Kitaifa Yemen amekutana na Moein Shuraim naibu wa mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen na kutaka kuwepo mazungumzo ya moja kwa moja baina ya Harakati ya Answarullah na utawala vamizi wa Saudia.

  • HRW: Marekani, Uingereza na Ufaransa zisitishe kuiuzia silaha Saudi Arabia

    HRW: Marekani, Uingereza na Ufaransa zisitishe kuiuzia silaha Saudi Arabia

    Jan 08, 2018 04:32

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch amezitaka Marekani, Uingereza na Ufaransa ziache kuiuzia silaha Saudi Arabia.

  • Hasira za wananchi Saudi Arabia baada ya utawala kuongeza ushuru na kupandisha bei ya petroli

    Hasira za wananchi Saudi Arabia baada ya utawala kuongeza ushuru na kupandisha bei ya petroli

    Jan 07, 2018 10:16

    Wananchi wa Saudi Arabia ambao wananyimwa ruhusa ya kuandamana wamebainisha hasira zao katika mitandao ya kijamii baada ya utawala wa kifalme kupoandisha bei ya petroli na Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT)

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS