-
Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita
Jan 04, 2018 04:23Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametaka kulindwa njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Saudi Arabia na Imarati zafadhili njama ya mapinduzi dhidi ya Mfalme wa Jordan
Jan 02, 2018 00:44Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimefichua njama iliyopangwa na wanawafalme watatu wa Jordan kwa ajili ya kumpindua Mfalme wa nchi hiyo kwa kusaidiwa na Saudi Arabia na Imarati.
-
Ndege za Saudia zaua raia 20 katika hujuma magharibi mwa Yemen
Dec 31, 2017 04:33Raia wasiopungua 20 wameuawa katika hujuma ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya makao ya raia katika mkoa wa al Hudaydah magharibi mwa Yemen.
-
Ndege za kivita za Saudia zaua wanawake 10 magharibi mwa Yemen
Dec 30, 2017 10:50Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeshambulia shamba moja magharibi mwa Yemen na kuua wanawke wasiopungua 10 waliokuwa katika eneo hilo.
-
Wana wawili wa mfalme wa zamani wa Saudia waliotiwa mbaroni kwa ufisadi waachiliwa huru
Dec 30, 2017 04:11Baadhi ya duru zimetangaza habari ya kuachiliwa huru wana wawili wa mfalme wa zamani wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul Aziz ambao walikuwa wametiwa nguvuni kwa tuhuma za ufisadi.
-
Watu wasiopungua 15 wauawa katika mashambulizi ya anga ya Saudi huko Sana'a na katika miji mingine
Dec 25, 2017 11:17Televisheni ya al Masirah imetangaza kuwa watu wasiopungua 15 wameuawa katika mashambulizi mapya ya anga ya Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali huko Yemen, ukiwemo mji mkuu Sana'a.
-
Jeshi la Yemen: Tumeangamiza vifaru na magari ya deraya 1,200 ya wavamizi
Dec 24, 2017 23:16Wizara ya Ulinzi ya Yemen imesema kuwa, katika kipindi hiki cha karibu miaka mitatu ya uvamizi, jeshi la nchi hiyo na vikosi vya kujitolea vya wananchi vimefanikiwa kuteketeza zaidi ya vifaru na magari ya deraya 1,200 pamoja na kutungua ndege tano za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia.
-
Sudan: Hatutaitambua mipaka mipya ya majini iliyowekwa na Misri na Saudia
Dec 21, 2017 12:47Sudan imewasilisha taarifa kwa Umoja wa Mataifa ikieleza kwamba endapo mipaka mipya ya majini iliyowekwa na Misri na Saudi Arabia itapitishwa rasmi haitoitambua katu mipaka hiyo.
-
Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki
Dec 20, 2017 12:54Serikali ya Uturuki imekasirishwa sana na hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) aliyetuma ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter na kumtuhumu Rais Recep Tayyip Erdogan kuwa ni kutoka kizazi cha Waturuki waliofanya wizi mjini Madina na kukandamiza Waarabu wakati wa utawala wa Uthmaniyyah (Ottoman Empire).
-
Saudia yatangaza rasmi mpango wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel
Dec 16, 2017 22:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ametangaza rasmi kuwa utawala huo una mpango wa kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel huku Waislamu kote duniani wakiandamana dhidi ya utawala huo ambao unapanga kuufanya mji wa Quds kuwa mji wake mkuu.