Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Macron: Vitisho vya US, Israel na Saudia dhidi ya Iran ni njia ya vita

    Jan 04, 2018 04:23

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametaka kulindwa njia ya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Saudi Arabia na Imarati zafadhili njama ya mapinduzi dhidi ya Mfalme wa Jordan

    Saudi Arabia na Imarati zafadhili njama ya mapinduzi dhidi ya Mfalme wa Jordan

    Jan 02, 2018 00:44

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimefichua njama iliyopangwa na wanawafalme watatu wa Jordan kwa ajili ya kumpindua Mfalme wa nchi hiyo kwa kusaidiwa na Saudi Arabia na Imarati.

  • Ndege za Saudia zaua raia 20 katika hujuma magharibi mwa Yemen

    Ndege za Saudia zaua raia 20 katika hujuma magharibi mwa Yemen

    Dec 31, 2017 04:33

    Raia wasiopungua 20 wameuawa katika hujuma ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya makao ya raia katika mkoa wa al Hudaydah magharibi mwa Yemen.

  • Ndege za kivita za Saudia zaua wanawake 10 magharibi mwa Yemen

    Ndege za kivita za Saudia zaua wanawake 10 magharibi mwa Yemen

    Dec 30, 2017 10:50

    Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeshambulia shamba moja magharibi mwa Yemen na kuua wanawke wasiopungua 10 waliokuwa katika eneo hilo.

  • Wana wawili wa mfalme wa zamani wa Saudia waliotiwa mbaroni kwa ufisadi waachiliwa huru

    Wana wawili wa mfalme wa zamani wa Saudia waliotiwa mbaroni kwa ufisadi waachiliwa huru

    Dec 30, 2017 04:11

    Baadhi ya duru zimetangaza habari ya kuachiliwa huru wana wawili wa mfalme wa zamani wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul Aziz ambao walikuwa wametiwa nguvuni kwa tuhuma za ufisadi.

  • Watu wasiopungua 15 wauawa katika mashambulizi ya anga ya Saudi huko Sana'a na katika miji mingine

    Watu wasiopungua 15 wauawa katika mashambulizi ya anga ya Saudi huko Sana'a na katika miji mingine

    Dec 25, 2017 11:17

    Televisheni ya al Masirah imetangaza kuwa watu wasiopungua 15 wameuawa katika mashambulizi mapya ya anga ya Saudi Arabia katika maeneo mbalimbali huko Yemen, ukiwemo mji mkuu Sana'a.

  • Jeshi la Yemen: Tumeangamiza vifaru na magari ya deraya 1,200 ya wavamizi

    Jeshi la Yemen: Tumeangamiza vifaru na magari ya deraya 1,200 ya wavamizi

    Dec 24, 2017 23:16

    Wizara ya Ulinzi ya Yemen imesema kuwa, katika kipindi hiki cha karibu miaka mitatu ya uvamizi, jeshi la nchi hiyo na vikosi vya kujitolea vya wananchi vimefanikiwa kuteketeza zaidi ya vifaru na magari ya deraya 1,200 pamoja na kutungua ndege tano za kivita za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia.

  • Sudan: Hatutaitambua mipaka mipya ya majini iliyowekwa na Misri na Saudia

    Sudan: Hatutaitambua mipaka mipya ya majini iliyowekwa na Misri na Saudia

    Dec 21, 2017 12:47

    Sudan imewasilisha taarifa kwa Umoja wa Mataifa ikieleza kwamba endapo mipaka mipya ya majini iliyowekwa na Misri na Saudi Arabia itapitishwa rasmi haitoitambua katu mipaka hiyo.

  • Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki

    Baada ya kushindwa njama zao dhidi ya Qatar na Yemen, kundi la Saudia lamalizia hasira zake kwa Uturuki

    Dec 20, 2017 12:54

    Serikali ya Uturuki imekasirishwa sana na hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) aliyetuma ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter na kumtuhumu Rais Recep Tayyip Erdogan kuwa ni kutoka kizazi cha Waturuki waliofanya wizi mjini Madina na kukandamiza Waarabu wakati wa utawala wa Uthmaniyyah (Ottoman Empire).

  • Saudia yatangaza rasmi mpango wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Saudia yatangaza rasmi mpango wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Dec 16, 2017 22:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ametangaza rasmi kuwa utawala huo una mpango wa kuanzisha uhusiano kamili wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel huku Waislamu kote duniani wakiandamana dhidi ya utawala huo ambao unapanga kuufanya mji wa Quds kuwa mji wake mkuu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS