Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Gazeti la Al Sharq lafichua: Saudi Arabia ni nchi iliyofisidika

    Gazeti la Al Sharq lafichua: Saudi Arabia ni nchi iliyofisidika

    Dec 16, 2017 04:37

    Nyaraka mpya zilizofichuliwa na gazeti la Al Sharq linalochapishwa nchini Qatar zinaonyesha kuwa uozo wa ufisadi umezagaa kwenye vyombo vya utawala nchini Saudi Arabia.

  • Msaidizi maalumu wa Spika: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni fedheha ya kisiasa

    Msaidizi maalumu wa Spika: Madai ya Marekani dhidi ya Iran ni fedheha ya kisiasa

    Dec 16, 2017 04:31

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Iran katika masuala ya kimataifa amesema madai yaliyotolewa na mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran ni fedheha ya kisiasa.

  • Jinai nyengine ya kinyama ya Saudia nchini Yemen; watu 115 wauawa na kujeruhiwa

    Jinai nyengine ya kinyama ya Saudia nchini Yemen; watu 115 wauawa na kujeruhiwa

    Dec 14, 2017 12:19

    Utawala vamizi wa Aal Saud umeua watu wasiopungua 35 na kujeruhi wengine 80 baada ya kufyatua makombora saba yaliyolenga kambi na jela moja ya kijeshi katika mji mkuu wa Yemen, Sana'a.

  • Marekani yaionya Saudia dhidi ya mienendo yake Mashariki ya Kati

    Marekani yaionya Saudia dhidi ya mienendo yake Mashariki ya Kati

    Dec 09, 2017 03:53

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani ameitahadharisha Saudi Arabia juu ya matokeo mabaya ya vitendo vyake katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Iran yatoa wito wa mazungumzo baina ya Wayemen ili kuvunja njama za adui

    Iran yatoa wito wa mazungumzo baina ya Wayemen ili kuvunja njama za adui

    Dec 04, 2017 03:30

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema mazungumzo ni njia bora zaidi kwa makundi mbali mbali ya Yemen kutatua migogoro yao na kuzuia maadui wa kigeni kutumia vibaya mgogoro uliopo nchini humo.

  • Kombora jengine la balisitiki la Yemen latua ndani ya ardhi ya Saudia

    Kombora jengine la balisitiki la Yemen latua ndani ya ardhi ya Saudia

    Dec 01, 2017 01:11

    Jeshi la Yemen kwa ushirikiano na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah limefyatua kombora jengine la balisitiki la masafa ya kati na kulenga eneo la kijeshi ndani ya ardhi ya Saudia, likiwa ni kombora la pili kufyatuliwa na jeshi hilo ndani ya mwezi huu.

  • Zarif: Iran iko Syria kwa

    Zarif: Iran iko Syria kwa "ombi rasmi" la serikali ya Damascus

    Dec 01, 2017 01:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwepo Iran nchini Syria kumetokana na ombi rasmi la serikali ya nchi hiyo.

  • Qassemi: Taarifa ya White House inathibitisha ushiriki wa Marekani katika jinai za Saudia

    Qassemi: Taarifa ya White House inathibitisha ushiriki wa Marekani katika jinai za Saudia

    Nov 26, 2017 04:05

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Rais wa Marekani (White House) inathibitisha waziwazi kwamba Marekani inashirika katika jinai zinazofanywa na Saudi Arabia huko Yemen.

  • Foreign Policy: White House inapotosha fikra za walimwengu kuhusu jinai za Saudia huko Yemen

    Foreign Policy: White House inapotosha fikra za walimwengu kuhusu jinai za Saudia huko Yemen

    Nov 23, 2017 10:56

    Jarida la Foreign Policy linalochapishwa nchini Marekani limeandika kuwa Ikulu ya Rais wa nchi hiyo, White House inafanya jitihada za kutengeneza mazingira na propaganda mpya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuzipotosha fikra za walimwengu kuhusu jinai zinazofanywa na Saudi Arabia huko Yemen.

  • Saudia inatumia mamluki wa Marekani kuwatesa wanawafalme wanaozuiliwa

    Saudia inatumia mamluki wa Marekani kuwatesa wanawafalme wanaozuiliwa

    Nov 23, 2017 10:54

    Inaarifiwa kuwa, utawala wa Riyadh umekuwa ukiwatumia mamluki waliowakodisha kutoka Marekani katika kuwatesa na kuwakandamiza wanawafalme na wajasiriamali mabilionea wa Saudi Arabia waliokamatwa hivi karibuni katika kile kilichotajwa kuwa wimbi la vita dhidi ya ufisadi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS