Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Amnesty International: Saudia isiwanyonge wapinzani 14 wa serikali ya Riyadh

    Amnesty International: Saudia isiwanyonge wapinzani 14 wa serikali ya Riyadh

    Aug 05, 2017 22:39

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Saudi Arabia itupilie mbali uamuzi wa kuwanyonga wapinzani 14 wa serikali ya nchi hiyo waliolazimishwa kukiri makosa ambayo hawajafanya kutokana na mateso na manyanyaso.

  • Saudia yawafukuza maelfu ya vibarua Waethoipia kutokana na matatizo ya kiuchumi

    Saudia yawafukuza maelfu ya vibarua Waethoipia kutokana na matatizo ya kiuchumi

    Aug 02, 2017 09:51

    Utawala wa Aal Saud umewafukuza maelfu ya wafanyakazi za vibarua raia wa Ethiopia kutokana na matatizo ya kifedha yanayoikabili nchi hiyo.

  • Mauaji ya silaha za kibiolojia dhidi ya Wayemen, kilele cha unyama wa Marekani na Saudia

    Mauaji ya silaha za kibiolojia dhidi ya Wayemen, kilele cha unyama wa Marekani na Saudia

    Aug 02, 2017 03:34

    Kila siku moja inayopita ya vita vya Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen, kunadhihirika sura mpya na ya kikatili zaidi ya mauaji ya kimbari yanayofanyika nchini humo, na sasa baada ya kutumia silaha zilizopigwa marufuku kama zile za vishada kuua raia wasio na hatia wa Yemen, Aal Saud na washirika wao wanatumia silaha ya kibiolojia kufanya maangamizi ya wanadamu.

  • Al-Ahd: Saudia na Israel ni washirika wakubwa katika kutenda jinai ndani ya nchi za Kiislamu

    Al-Ahd: Saudia na Israel ni washirika wakubwa katika kutenda jinai ndani ya nchi za Kiislamu

    Jul 31, 2017 03:12

    Mtandao wa habari wa al-Ahd wa nchini Lebanon umeandika kuwa, utawala wa Aal-Saud na utawala wa Kizayuni wa Israel ni washirika wawili wanaotenda jinai kubwa dhidi ya binadamu katika nchi za Kiislamu.

  • Qatar: Saudia inaendesha kisiasa Ibada ya Hijja

    Qatar: Saudia inaendesha kisiasa Ibada ya Hijja

    Jul 30, 2017 10:43

    Kamisheni Taifa ya Haki za Binadamu nchini Qatar imelalamikia vikali uendeshaji wa kisiasa wa ibada tukufu ya Hijja unaofanywa na utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia.

  • Waingereza wapatwa na wasi wasi kwa hatua ya Msaudia kununua hisa za intaneti nchini kwao

    Waingereza wapatwa na wasi wasi kwa hatua ya Msaudia kununua hisa za intaneti nchini kwao

    Jul 29, 2017 22:35

    Kitendo cha muwekezaji mmoja wa Saudia cha kununua sehemu kubwa ya hisa za tovuti ya gazeti la Independent ya nchini Uingereza, kimeyatia wasi wasi mkubwa makundi ya watetezi wa haki za binaadamu na uhuru wa vyombo vya habari vya taifa hilo.

  • Saudia na Imarati zinajiandaa kuweka wazi mahusiano yao na utawala wa Kizayuni

    Saudia na Imarati zinajiandaa kuweka wazi mahusiano yao na utawala wa Kizayuni

    Jul 29, 2017 09:14

    Sambamba na kuwepo mahusiano ya muda mrefu kati ya nchi zinazolizingira kwa kila upande taifa la Qatar na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, habari zinaarifu kwamba Saudia na Imarati zinajiandaa kuweka wazi mahusiano hayo kwa walimwengu.

  • Vikosi vya jeshi la Yemen vyateka vituo kadhaa vya jeshi la Saudia

    Vikosi vya jeshi la Yemen vyateka vituo kadhaa vya jeshi la Saudia

    Jul 29, 2017 03:23

    Jeshi la Yemen limeviteka vituo kadhaa vya jeshi la Saudi Arabia katika mkoa wa kusini magharibi mwa nchi hiyo wa Jizan.

  • London yakaribisha juhudi za Doha za kupunguza mivutano kati yake na nchi za Kiarabu

    London yakaribisha juhudi za Doha za kupunguza mivutano kati yake na nchi za Kiarabu

    Jul 24, 2017 02:47

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amekaribisha juhudi za serikali ya Qatar za kupunguza mivutano kati yake na nchi za Kiarabu za eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Imarati na Saudia zakataa wito wa Qatar wa mazungumzo

    Imarati na Saudia zakataa wito wa Qatar wa mazungumzo

    Jul 23, 2017 09:37

    Umoja wa Falme za Kiarabu umekataa wito uliotolewa hivi karibuni na Amir wa Qatar, Sheikh Tamin bin Hamad al-Thani, wa kufanyika mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo, na kusisitiza kuwa Doha sharti ibadili sera zake kabla ya kufanyika jitihada zozote za kuiondolea vikwazo nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi, iivyowekewa na Saudia na wapambe wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS