Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu utatuzi wa matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu utatuzi wa matatizo ya ulimwengu wa Kiislamu

    May 29, 2017 01:33

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika mahafali yaliyojaa nuru ya kuwa na mapenzi makubwa na Quráni Tukufu yaliyofanyika jioni ya siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani katika Husainia ya Imam Khomeini hapa mjini Tehran, kwamba, sababu kuu ya upotofu uliomkuba mwanadamu leo hii ni kushindwa kuyapa majibu sahihi masuala yake.

  • Wataalamu wa UN walaani Saudia kubomoa turathi za kiutamaduni za mji wa Kishia

    Wataalamu wa UN walaani Saudia kubomoa turathi za kiutamaduni za mji wa Kishia

    May 28, 2017 23:59

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameulaani utawala wa Saudi Arabia kwa kubomoa turathi za mji wa kale wa Waislamu wa madhehebu ya Shia mashariki mwa nchi hiyo.

  • Wanajeshi wa Yemen walipiza kisasi kwa  kuua askari 13 wa Saudia

    Wanajeshi wa Yemen walipiza kisasi kwa kuua askari 13 wa Saudia

    May 28, 2017 09:32

    Wanajeshi wa Yemen wametekeleza oparesheni kubwa ya kulipiza kisasi na kuuawa wanajeshi 13 Wasaudi katika maeneo kadhaa ya kusini magharibi mwa Saudi Arabia.

  • Trump achochea kuzidi kukandamizwa wapinzani nchini Saudi Arabia

    Trump achochea kuzidi kukandamizwa wapinzani nchini Saudi Arabia

    May 28, 2017 02:24

    Habari kutoka nchini Saudi Arabia zinasema kuwa, ukoo wa Aal Saud unaotawala nchini humo una nia ya kutekeleza adhabu ya kifo dhidi ya mlemavu mmoja kwa tuhuma za kushiriki katika maandamano ya kuupinga utawala wa ukoo huo.

  • Dakta Zarif: Iran kinyume na Saudia, inafuatilia kutatuliwa kisiasa mgogoro wa Syria

    Dakta Zarif: Iran kinyume na Saudia, inafuatilia kutatuliwa kisiasa mgogoro wa Syria

    May 26, 2017 22:17

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran kinyume na Saudi Arabia, inafuatilia kuhakikisha kwamba, mgogoro wa Syria unapatiwa ufumbuzi kupitia njia za kisiasa.

  • Wanaharakati 14 wahukumiwa kifo kwa kuandamana Saudia

    Wanaharakati 14 wahukumiwa kifo kwa kuandamana Saudia

    May 26, 2017 09:43

    Mahakama moja nchini Saudi Arabia imewahukumu adhabu ya kifo wanaharakati 14 kwa kushiriki maandamano katika eneo la Qatif.

  • Wabunge Marekani  wapanga kumzuia Trump kuiuzia Saudia silaha

    Wabunge Marekani wapanga kumzuia Trump kuiuzia Saudia silaha

    May 26, 2017 03:04

    Wabunge kadhaa nchini Marekani wanapanga kuanzisha sheria ya kumzuia Rais Donald Trump kuiuzia Saudia baadhi ya silaha.

  • Wanajeshi wa Saudia waendeleza hujuma katika mji wa Al Awamiyah

    Wanajeshi wa Saudia waendeleza hujuma katika mji wa Al Awamiyah

    May 24, 2017 23:56

    Baada ya kupita wiki mbili tokea wanajeshi wa Saudi Arabia wavamie mtaa wa Al Masourah mjini Al-Awamiya mashariki mwa nchi hiyo hali inaripotiwa kuwa mbaya huku ukandamizaji ukiendelea.

  • Iran: Mauaji ya waandamanaji Bahrain, matokeo ya awali ya safari ya Trump Riyadh

    Iran: Mauaji ya waandamanaji Bahrain, matokeo ya awali ya safari ya Trump Riyadh

    May 23, 2017 23:26

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kushambuliwa na kuuawa wananchi wa Bahrain waliokuwa wakishiriki maandamano ya amani ni matokeo ya kwanza ya safari ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani, Donald Trump nchini Saudi Arabia.

  • Waislamu Pakistan: Mkutano wa Riyadh na Trump ulikuwa wa kupanga njama chafu dhidi ya Uislamu

    Waislamu Pakistan: Mkutano wa Riyadh na Trump ulikuwa wa kupanga njama chafu dhidi ya Uislamu

    May 23, 2017 10:52

    Kiongozi wa Jumuiya ya 'Ahlu Hurm' ya nchini Pakistan amekosoa vikali safari ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Saudia na kikao cha hivi karibuni katika mji mkuu wa nchi hiyo Riyadh, na kusema kuwa kikao hicho kimebainisha wazi kwamba baadhi ya nchi hazifungamani na mafundisho ya dini ya Uislamu, bali zinafungamana na dini ambayo msemaji wake ni Rais Trump.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS