Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Umoja wa Mataifa: Yemen inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa duniani

    Umoja wa Mataifa: Yemen inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa duniani

    Apr 26, 2017 03:27

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa indhari kuhusu hali mbaya ya maafa inayowakabili watoto nchini Yemen kutokana na mashambulio ya kijeshi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.

  • Vikosi vya Yemen vyateketeza maghala ya silaha ya majeshi vamizi ya Saudia, Jizan

    Vikosi vya Yemen vyateketeza maghala ya silaha ya majeshi vamizi ya Saudia, Jizan

    Apr 26, 2017 03:19

    Vikosi vya pamoja vya Yemen vimeteketeza maghala ya silaha ya jeshi la Saudi Arabia katika mkoa wa Jizan kusini mwa nchi hiyo.

  • Juhudi za Saudia za kuishawishi Misri ijiunge na siasa zake

    Juhudi za Saudia za kuishawishi Misri ijiunge na siasa zake

    Apr 25, 2017 01:50

    Mfalme Salaman bin Abdul Aziz wa Saudi Arabia na Rais Abdul Fattah al Sisi wamekuatana na kufanya mazungumzo ambayo yamehusu suala la kuboresha uhusiano wa pande mbili na matukio ya kikanda na kimataifa.

  • Utumiaji wa mabomu yanayoongozwa kutoka mbali dhidi ya watu wa Yemen, matunda ya safari ya  Mattis huko Saudia

    Utumiaji wa mabomu yanayoongozwa kutoka mbali dhidi ya watu wa Yemen, matunda ya safari ya Mattis huko Saudia

    Apr 21, 2017 23:12

    Baada ya safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis mjini Riyadh, imetangazwa kuwa Washington inachunguza suala la kuiuzia Saudi Arabia mabomu yanayoongozwa kutokea mbali katika mwaka wa tatu wa vita vya nchi hiyo dhidi ya Yemen.

  • Mwanazuoni wa Kishia apandishwa kizimbani Saudia baada ya kuwekwa mahabusu kwa zaidi ya mwaka mmoja

    Mwanazuoni wa Kishia apandishwa kizimbani Saudia baada ya kuwekwa mahabusu kwa zaidi ya mwaka mmoja

    Apr 16, 2017 11:28

    Duru za kuaminika za Saudi Arabia zimetangaza kuwa mwanazuoni mmoja wa madhehebu ya Shia atapandishwa kizimbani baada ya kuwekwa mahabusu kwa muda wa miezi 13.

  • Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya US na Saudia dhidi ya Syria na Yemen

    Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya US na Saudia dhidi ya Syria na Yemen

    Apr 12, 2017 09:34

    Maelfu ya Wapakistan wameandamana mbele ya kituo cha waandishi wa habari mjini Islamabad, mji mkuu wa nchi hiyo katika kulaani ushirikiano wa Marekani na Saudia wa kufanya mashambulizi nchini Syria na Yemen na kuyataja mashambulizi hayo kuwa ni jinai ya kivita.

  • Jeshi la Yemen na Answarullah laitia hasara kubwa Saudia mkoa wa Jizan

    Jeshi la Yemen na Answarullah laitia hasara kubwa Saudia mkoa wa Jizan

    Apr 12, 2017 09:30

    Jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah limejibu mashambulizi ya Saudia katika mkoa wa Saada kaskazini mwa nchi, kwa kulenga kambi ya jeshi la nchi hiyo vamizi katika mkoa wa Jizan, kusini mwa Saudia.

  • Iran yatoa jibu kwa uropokaji wa Waziri Mkuu wa Uingereza

    Iran yatoa jibu kwa uropokaji wa Waziri Mkuu wa Uingereza

    Apr 05, 2017 22:51

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema uuzaji silaha kwa wavamizi kwa ajili ya kuulia watu wasio na hatia katika eneo hili na hasa katika uvamizi usio na mlingano na ulio dhidi ya ubinadamu uliofanywa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen hauwiyani na madai yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa Uingereza.

  • Marubani wa ndege za kivita za Saudia zinazoua Wayemeni waongezewa mishahara

    Marubani wa ndege za kivita za Saudia zinazoua Wayemeni waongezewa mishahara

    Apr 04, 2017 23:39

    Sambamba na kushadidi mashambulio ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya maeneo mbalimbali ya Yemen, Baraza la Mawaziri la utawala wa Aal Saud limetangaza kuwa limeongeza mishahara ya marubani wa jeshi la anga la nchi hiyo.

  • Mahakama ya Misri yatengua uamuzi uliozuia kutolewa visiwa vya nchi hiyo kwa Saudia

    Mahakama ya Misri yatengua uamuzi uliozuia kutolewa visiwa vya nchi hiyo kwa Saudia

    Apr 03, 2017 00:08

    Mahakama moja ya Misri imetengua uamuzi uliotolewa miezi kadhaa iliyopita na mahakama nyingine ya nchi hiyo ikipinga kutolewa visiwa viwili vya nchi hiyo kwa utawala wa Saudi Arabia

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS