-
Umoja wa Mataifa: Yemen inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa duniani
Apr 26, 2017 03:27Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa indhari kuhusu hali mbaya ya maafa inayowakabili watoto nchini Yemen kutokana na mashambulio ya kijeshi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.
-
Vikosi vya Yemen vyateketeza maghala ya silaha ya majeshi vamizi ya Saudia, Jizan
Apr 26, 2017 03:19Vikosi vya pamoja vya Yemen vimeteketeza maghala ya silaha ya jeshi la Saudi Arabia katika mkoa wa Jizan kusini mwa nchi hiyo.
-
Juhudi za Saudia za kuishawishi Misri ijiunge na siasa zake
Apr 25, 2017 01:50Mfalme Salaman bin Abdul Aziz wa Saudi Arabia na Rais Abdul Fattah al Sisi wamekuatana na kufanya mazungumzo ambayo yamehusu suala la kuboresha uhusiano wa pande mbili na matukio ya kikanda na kimataifa.
-
Utumiaji wa mabomu yanayoongozwa kutoka mbali dhidi ya watu wa Yemen, matunda ya safari ya Mattis huko Saudia
Apr 21, 2017 23:12Baada ya safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis mjini Riyadh, imetangazwa kuwa Washington inachunguza suala la kuiuzia Saudi Arabia mabomu yanayoongozwa kutokea mbali katika mwaka wa tatu wa vita vya nchi hiyo dhidi ya Yemen.
-
Mwanazuoni wa Kishia apandishwa kizimbani Saudia baada ya kuwekwa mahabusu kwa zaidi ya mwaka mmoja
Apr 16, 2017 11:28Duru za kuaminika za Saudi Arabia zimetangaza kuwa mwanazuoni mmoja wa madhehebu ya Shia atapandishwa kizimbani baada ya kuwekwa mahabusu kwa muda wa miezi 13.
-
Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya US na Saudia dhidi ya Syria na Yemen
Apr 12, 2017 09:34Maelfu ya Wapakistan wameandamana mbele ya kituo cha waandishi wa habari mjini Islamabad, mji mkuu wa nchi hiyo katika kulaani ushirikiano wa Marekani na Saudia wa kufanya mashambulizi nchini Syria na Yemen na kuyataja mashambulizi hayo kuwa ni jinai ya kivita.
-
Jeshi la Yemen na Answarullah laitia hasara kubwa Saudia mkoa wa Jizan
Apr 12, 2017 09:30Jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah limejibu mashambulizi ya Saudia katika mkoa wa Saada kaskazini mwa nchi, kwa kulenga kambi ya jeshi la nchi hiyo vamizi katika mkoa wa Jizan, kusini mwa Saudia.
-
Iran yatoa jibu kwa uropokaji wa Waziri Mkuu wa Uingereza
Apr 05, 2017 22:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema uuzaji silaha kwa wavamizi kwa ajili ya kuulia watu wasio na hatia katika eneo hili na hasa katika uvamizi usio na mlingano na ulio dhidi ya ubinadamu uliofanywa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen hauwiyani na madai yaliyotolewa na Waziri Mkuu wa Uingereza.
-
Marubani wa ndege za kivita za Saudia zinazoua Wayemeni waongezewa mishahara
Apr 04, 2017 23:39Sambamba na kushadidi mashambulio ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya maeneo mbalimbali ya Yemen, Baraza la Mawaziri la utawala wa Aal Saud limetangaza kuwa limeongeza mishahara ya marubani wa jeshi la anga la nchi hiyo.
-
Mahakama ya Misri yatengua uamuzi uliozuia kutolewa visiwa vya nchi hiyo kwa Saudia
Apr 03, 2017 00:08Mahakama moja ya Misri imetengua uamuzi uliotolewa miezi kadhaa iliyopita na mahakama nyingine ya nchi hiyo ikipinga kutolewa visiwa viwili vya nchi hiyo kwa utawala wa Saudi Arabia