-
Saudi yaipongeza Marekani kwa kuendeleza sera za uhasama dhidi ya Iran
May 06, 2017 09:19Adel al Jubeir, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia, katika safari yake ya hivi karibuni nchini Marekani, alizungumza na waandishi habari na kusema, safari ijayo ya rais Trump wa Marekani nchini Saudia itakuwa ya kihistoria huku akimpongeza rais huyo na serikali yake kwa misimamo yao mikali na ya uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Barua ya Iran kwa Umoja wa Mataifa; Saudi Arabia nembo ya ugaidi katika eneo
May 05, 2017 09:52Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Muhammad bin Salman, Naibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa Saudi Arabia dhidi ya Iran ni kinyume cha kipengee cha nne cha mada ya pili ya hati ya umoja huo na kwamba ni kukiri wazi nchi hiyo ya kifalme kuhusiana na uungaji mkono wake kwa vitendo vya mabavu na ugaidi.
-
Umoja wa Mataifa walaani siasa za ukandamizaji za utawala wa Saudia
May 05, 2017 03:00Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu ameukosoa vikali utawala wa Saudi Arabia kwa kukiuka uhuru wa maoni, kuwatia nguvuni kiholela na kuwatesa wanaharakati wa kisiasa nchini humo.
-
Khoshrou: Matamshi ya Muhammad bin Salman, ni kitisho dhidi ya Iran na kukiri Saudia kuwa inahusika na ugaidi
May 05, 2017 00:08Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa, amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Kaimu Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa utawala wa kifalme wa Saudia, ni tishio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu na ni kukiri kuwepo ushirikiano wa utawala wa Saudia na vitendo vya ukatili na ugaidi ndani ya Iran.
-
Saudia yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, Muhammad Bin Salman adhihirisha chuki yake
May 03, 2017 00:07Naibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa utawala wa kifalme nchini Saudia, amebainisha chuki yake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kusema wazi kwamba, Saudia haitakuwa na mahusiano mazuri na Tehran.
-
Saudia imetumia fedha nyingi kuiziba mdomo jamii ya kimataifa isizungumzie jinai inazofanya Yemen
Apr 27, 2017 11:28Mkuu wa Taasisi iitwayo "Haki za Binaadamu kwa ajili ya Yemen" amesema kuwa, Saudi Arabia imetumia kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya kuinyamazisha jamii ya kimataifa isizungumzie jinai zake inazozitenda nchini Yemen na pia kuhusu hali mbaya ya kibinaadamu inayoshuhudiwa hivi sasa nchini humo.
-
Umoja wa Mataifa: Yemen inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa duniani
Apr 26, 2017 03:27Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa indhari kuhusu hali mbaya ya maafa inayowakabili watoto nchini Yemen kutokana na mashambulio ya kijeshi yanayoendelea kufanywa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.
-
Vikosi vya Yemen vyateketeza maghala ya silaha ya majeshi vamizi ya Saudia, Jizan
Apr 26, 2017 03:19Vikosi vya pamoja vya Yemen vimeteketeza maghala ya silaha ya jeshi la Saudi Arabia katika mkoa wa Jizan kusini mwa nchi hiyo.
-
Juhudi za Saudia za kuishawishi Misri ijiunge na siasa zake
Apr 25, 2017 01:50Mfalme Salaman bin Abdul Aziz wa Saudi Arabia na Rais Abdul Fattah al Sisi wamekuatana na kufanya mazungumzo ambayo yamehusu suala la kuboresha uhusiano wa pande mbili na matukio ya kikanda na kimataifa.
-
Utumiaji wa mabomu yanayoongozwa kutoka mbali dhidi ya watu wa Yemen, matunda ya safari ya Mattis huko Saudia
Apr 21, 2017 23:12Baada ya safari ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani, James Mattis mjini Riyadh, imetangazwa kuwa Washington inachunguza suala la kuiuzia Saudi Arabia mabomu yanayoongozwa kutokea mbali katika mwaka wa tatu wa vita vya nchi hiyo dhidi ya Yemen.