Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Watetezi wa haki za binadamu: Saudia inazusha machafuko na hitilafu Mashariki ya Kati

    Watetezi wa haki za binadamu: Saudia inazusha machafuko na hitilafu Mashariki ya Kati

    Apr 02, 2017 11:34

    Jumuiya na watetezi wa haki za binadamu wamesema kuwa Saudi Arabia ndiyo sababu kuu ya machafuko na ghasia zinazoshuhudiwa kwa sasa katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Chama cha Sinn Féin  chataka Uingereza isiiuzie Saudia silaha

    Chama cha Sinn Féin chataka Uingereza isiiuzie Saudia silaha

    Apr 01, 2017 23:50

    Chama cha Sinn Féin cha Ireland Kaskazini nchini Uingereza kimetoa taarifa kikitaka serikali ya nchi hiyo isitishe mara moja uuzaji silaha kwa utawala wa Saudi Arabia.

  • Kamanda wa jeshi la Saudia apigwa mayai Uingereza

    Kamanda wa jeshi la Saudia apigwa mayai Uingereza

    Mar 31, 2017 02:55

    Ahmed al-Asiri, mshauri wa Wizara ya Ulinzi ya Saudia na msemaji wa muungano vamizi wa Saudia dhidi ya Yemen, ameshambuliwa na waandamanaji wanaopinga hujuma za utawala wa Aal-Saud nchini Yemen na kupigwa mayai mabovu.

  • Zaidi ya mamluki 100 wa Saudia waangamizwa ndani ya siku tatu nchini Yemen

    Zaidi ya mamluki 100 wa Saudia waangamizwa ndani ya siku tatu nchini Yemen

    Mar 31, 2017 02:33

    Wizara ya Ulinzi nchini Yemen imetangaza kuwa, zaidi ya mamluki 100 wa utawala wa Aal Saud wameuawa katika mashambulizi ya makombora na mizinga iliyovurumishwa na jeshi hilo katika kipindi cha siku tatu zilizopita.

  • Maandamano Sana'a kulaani vita vya Saudia dhidi ya Yemen

    Maandamano Sana'a kulaani vita vya Saudia dhidi ya Yemen

    Mar 26, 2017 10:27

    Mamilioni ya wananchi wa Yemen wameandamana leo katika mji mkuu Sana'a na maeneo mengine nchini humo katika mwanzo wa mwaka wa tatu tokea Saudia ianzishe vita vyake vya kinyama dhidi ya nchi hiyo ambavyo vimesababisha maelfu ya watu kupoteza maisha na wengine wengi kupoteza makazi yao.

  • Ufaransa inaiuzia Saudia silaha za kuwaulia raia waliodhulumiwa wa Yemen

    Ufaransa inaiuzia Saudia silaha za kuwaulia raia waliodhulumiwa wa Yemen

    Mar 21, 2017 11:31

    Rais wa Ufaransa ametoa kibali cha kuuzia silaha utawala wa Aal Saud na hivyo kuuchochea waziwazi utawala huo kuendelea kuwauwa wananchi wa wasio na ulinzi na waliodhulumika wa Yemen.

  • Familia za wahanga wa Septemba 11, zafungua mashtaka dhidi ya Saudi Arabia

    Familia za wahanga wa Septemba 11, zafungua mashtaka dhidi ya Saudi Arabia

    Mar 21, 2017 10:01

    Familia za wahanga waliopoteza maisha katika mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani wamefungua mashtaka dhidi ya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia.

  • Jeshi la Yemen: Sasa Saudia ijiandae kwa operesheni mpya ndani ya nchi hiyo

    Jeshi la Yemen: Sasa Saudia ijiandae kwa operesheni mpya ndani ya nchi hiyo

    Mar 21, 2017 04:18

    Naibu Msemaji wa Jeshi la Yemen, ameionya Saudi Arabia kwamba, ikiwa itaendelea kushambulia bandari za Yemen, basi jeshi la nchi hiyo na harakati ya wananchi ya Answarullah, zitafanya operesheni ndani ya ardhi ya Saudia.

  • Waziri Mkuu wa Somalia: Saudia, mhusika wa mauaji ya wakimbizi wa Kisomali

    Waziri Mkuu wa Somalia: Saudia, mhusika wa mauaji ya wakimbizi wa Kisomali

    Mar 20, 2017 11:38

    Serikali ya Somalia imesema kuwa utawala wa Saudi Arabia ndio uliohusika na mauaji ya wakimbizi wa nchi hiyo katika maji ya Yemen.

  • Saudia yaitaka UN isimamie bandari ya Yemen baada ya kuua kikatili Wasomali 44

    Saudia yaitaka UN isimamie bandari ya Yemen baada ya kuua kikatili Wasomali 44

    Mar 20, 2017 04:31

    Muungano vamizi wa kijeshi wa Saudi Arabia nchini Yemen umeutaka Umoja wa Mataifa uchukue udhibiti wa bandari ya Hudaydah baada ya helikopta ya Aal-Saud aina ya Apache kufanya shambulio la kikatili dhidi ya boti ya wakimbizi karibu na Lango Bahari la Bab al-Mandab, pwani ya Yemen na kuua makumi ya raia wa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS