Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Israel inawapa mafunzo askari wa Saudia

    Israel inawapa mafunzo askari wa Saudia

    Apr 26, 2016 09:52

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amefichua kuwa utawala haramu wa Israel unatoa mafunzo ya kijeshi kwa askari wa Saudi Arabia katika mpango wa siri wa uhusiano wa tawala hizo mbili.

  • Saudia yakiuka makubaliano ya kusitisha vita Yemen

    Saudia yakiuka makubaliano ya kusitisha vita Yemen

    Apr 23, 2016 03:21

    Raia wanne wa Yemen wameuawa shahidi akiwemo mtoto mchanga katika mashambulizi yaliyofanywa na vibaraka wa Saudi Arabia dhidi ya makazi na nyumba zao katika eneo la al Zahir kwenye mkoa wa Baidha. Hatua hiyo inatambuliwa kuwa ni ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita unaoendelea nchini Yemen.

  • Uganda: Saudia inawashikilia wanawake 12 raia wetu

    Uganda: Saudia inawashikilia wanawake 12 raia wetu

    Apr 21, 2016 10:53

    Bunge la Uganda limearifiwa kuwa wanawake 12 raia wa nchi hiyo wanashikiliwa chini ya mazingira magumu nchini Saudi Arabia.

  • Tofauti juu ya Yemen zashadidi baina ya wavamizi wa Saudia na Imarat

    Tofauti juu ya Yemen zashadidi baina ya wavamizi wa Saudia na Imarat

    Apr 19, 2016 03:34

    Duru za habari zimeripoti kuibuka tofauti kubwa baina ya nchi mbili vamizi za Saudia na Imarat kuhusiana na kadhia ya Yemen.

  • Hali yaendelea kuwa tete Misri katika kupinga uamzi wa serikali na Saudia

    Hali yaendelea kuwa tete Misri katika kupinga uamzi wa serikali na Saudia

    Apr 15, 2016 23:43

    Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Misri imetaka polisi kuchukua hatua za dharura kwa ajili ya kuzima kwa njia yoyote ile, maandamano ya wananchi wanaopinga hatua ya Rais Abdel Fattah el-Sisi kumpa visiwa viwili vya nchi hiyo Mfalme Salman wa Saudi Arabia.

  • Misri yawaonya wanaopinga Saudia kupewa visiwa

    Misri yawaonya wanaopinga Saudia kupewa visiwa

    Apr 15, 2016 03:38

    Serikali ya Misri imesema itawachukulia hatua wanaopanga kushiriki katika maandamano ya leo Ijumaa kupinga hatua ya rais wa nchi hiyo kuipa Saudia visiwa viwili muhimu katika Bahari ya Sham.

  • Iran yajibu tuhuma za Saudia na Utawala wa Kizayuni

    Iran yajibu tuhuma za Saudia na Utawala wa Kizayuni

    Apr 15, 2016 03:14

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa jibu kali kwa matamshi yasiyo na msingi ya mabalozi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudia dhidi ya Iran.

  • Kikao cha OIC Istanbul na mifarakano inayozushwa na Saudia

    Kikao cha OIC Istanbul na mifarakano inayozushwa na Saudia

    Apr 14, 2016 07:56

    Kikao cha viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC wanakutana leo Alkhamisi na kesho Ijumaa katika mji wa Istanbul nchini Uturuki.

  • Al Sisi atetea hatua  ya kuipatia Saudia visiwa viwili

    Al Sisi atetea hatua ya kuipatia Saudia visiwa viwili

    Apr 13, 2016 10:03

    Rais wa Misri ametetea uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa viwili.

  • Onyo la Ansarullah kwa kutoheshimiwa usitishaji vita nchini Yemen

    Onyo la Ansarullah kwa kutoheshimiwa usitishaji vita nchini Yemen

    Apr 13, 2016 02:26

    Siku chache zikiwa zimepita tangu kutangazwa kusimamishwa vita nchini Yemen, msemaji wa harakati Ansarullah ya nchi hiyo amesema kuwa, iwapo makubaliano hayo hayataheshimiwa, basi fursa za kufanikiswa mazungumzo ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo zitapotea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS