-
Israel inawapa mafunzo askari wa Saudia
Apr 26, 2016 09:52Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amefichua kuwa utawala haramu wa Israel unatoa mafunzo ya kijeshi kwa askari wa Saudi Arabia katika mpango wa siri wa uhusiano wa tawala hizo mbili.
-
Saudia yakiuka makubaliano ya kusitisha vita Yemen
Apr 23, 2016 03:21Raia wanne wa Yemen wameuawa shahidi akiwemo mtoto mchanga katika mashambulizi yaliyofanywa na vibaraka wa Saudi Arabia dhidi ya makazi na nyumba zao katika eneo la al Zahir kwenye mkoa wa Baidha. Hatua hiyo inatambuliwa kuwa ni ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita unaoendelea nchini Yemen.
-
Uganda: Saudia inawashikilia wanawake 12 raia wetu
Apr 21, 2016 10:53Bunge la Uganda limearifiwa kuwa wanawake 12 raia wa nchi hiyo wanashikiliwa chini ya mazingira magumu nchini Saudi Arabia.
-
Tofauti juu ya Yemen zashadidi baina ya wavamizi wa Saudia na Imarat
Apr 19, 2016 03:34Duru za habari zimeripoti kuibuka tofauti kubwa baina ya nchi mbili vamizi za Saudia na Imarat kuhusiana na kadhia ya Yemen.
-
Hali yaendelea kuwa tete Misri katika kupinga uamzi wa serikali na Saudia
Apr 15, 2016 23:43Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Misri imetaka polisi kuchukua hatua za dharura kwa ajili ya kuzima kwa njia yoyote ile, maandamano ya wananchi wanaopinga hatua ya Rais Abdel Fattah el-Sisi kumpa visiwa viwili vya nchi hiyo Mfalme Salman wa Saudi Arabia.
-
Misri yawaonya wanaopinga Saudia kupewa visiwa
Apr 15, 2016 03:38Serikali ya Misri imesema itawachukulia hatua wanaopanga kushiriki katika maandamano ya leo Ijumaa kupinga hatua ya rais wa nchi hiyo kuipa Saudia visiwa viwili muhimu katika Bahari ya Sham.
-
Iran yajibu tuhuma za Saudia na Utawala wa Kizayuni
Apr 15, 2016 03:14Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa jibu kali kwa matamshi yasiyo na msingi ya mabalozi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudia dhidi ya Iran.
-
Kikao cha OIC Istanbul na mifarakano inayozushwa na Saudia
Apr 14, 2016 07:56Kikao cha viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC wanakutana leo Alkhamisi na kesho Ijumaa katika mji wa Istanbul nchini Uturuki.
-
Al Sisi atetea hatua ya kuipatia Saudia visiwa viwili
Apr 13, 2016 10:03Rais wa Misri ametetea uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa viwili.
-
Onyo la Ansarullah kwa kutoheshimiwa usitishaji vita nchini Yemen
Apr 13, 2016 02:26Siku chache zikiwa zimepita tangu kutangazwa kusimamishwa vita nchini Yemen, msemaji wa harakati Ansarullah ya nchi hiyo amesema kuwa, iwapo makubaliano hayo hayataheshimiwa, basi fursa za kufanikiswa mazungumzo ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo zitapotea.