-
Wamisri kufanyika maandamano ya kupinga makubaliano ya Cairo na Riyadh
Apr 12, 2016 11:51Muungano wa kitaifa unaounga mkono serikali ya kidemokrasia na kupinga mapinduzi ya jeshi nchini Misri umetaka kufanyika maandamano kote nchini humo kulalamikia hatua ya Rais wa nchi hiyo ya kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo.
-
Al Sisi akabiliwa na upinzani mkubwa wa Wamisri kwa hatua yake ya kuipatia Saudia visiwa viwili
Apr 11, 2016 23:15Wananchi wa Misri kuanzia wale wa matabaka ya kawaida, wanaharakati hadi maafisa wa zamani na wanasiasa wameungana katika safu moja kuonyesha kukasirishwa kwao na uamuzi wa Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo wa kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vilivyoko katika Bahari Nyekundu.
-
Hali mbaya na ya kutisha katika jela za Saudia
Apr 11, 2016 03:23Maafisa wa utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia wameendela kuzuia huduma ya tiba kwa wafungwa wa kisaisa wanaoshikiliwa katika jela za nchi hiyo.
-
Kuanza usitishwaji vita Yemen
Apr 11, 2016 00:17Usitishwaji vita unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa Yemen ulianza jana usiku (Jumapili) kabla ya kuanza mazungumzo ya amani baina ya pande hasimu nchini Kuwait.
-
Ndege za kivita za Saudia zaua raia 5 nchini Yemen
Apr 09, 2016 11:33Kwa akali raia watano Wayemen wameuawa kufuatia mashambulio mapya ya ndege za kivita za utawala wa Saudia katika mkoa wa Tai'zz wa kusini magharibi mwa Yemen.
-
Kukosolewa jinai zinazoendelea kufanywa na Saudia dhidi ya wananchi wa Yemen
Apr 03, 2016 02:37Mfalme Salman bin Abdul aziz wa Saudi Arabia amepuuza na kudharau maonyo yanayotolewa kimataifa yakiwemo ya asasi za kutetea haki za binadamu na kuamua kuendeleza jinai zake dhidi ya wananchi wa Yemen.
-
Matukio ya Yemen
Apr 01, 2016 12:24Jinai za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia zimeendelea nchini Yemen kufuatia ndege za kivita za Saudia kushambulia maeneo ya makazi ya raia kusini mwa nchi hiyo.
-
Vibara 80 wa Saudia wauawa nchini Yemen
Mar 20, 2016 23:04Jeshi la Yemen limetangaza kuwa limetoa pigo kubwa na kuwashinda vibaraka wa Saudi Arabia katika eneo la Taiz na kuua 80 miongoni mwao licha ya kusaidiwa na ndege za kivita za utawala wa kifalme wa Aal Saud na washirika wao.
-
Dunia yaendelea kulaani jinai za Saudi Arabia nchini Yemen
Mar 19, 2016 13:28Saudi Arabia na washirika wake wameendelea kufanya jinai na mauaji ya watu wasio na hatia nchini Yemen.
-
UN: Saudia inawalenga raia katika vita nchini Yemen
Mar 18, 2016 23:39Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa amesema Saudia na waitifaki wake wanadondosha mabomu katika shule, mahospitali na vituo vya afya nchini Yemen.