• Saudia imewanyonga watu 75 tangu ulipoanza mwaka huu

    Saudia imewanyonga watu 75 tangu ulipoanza mwaka huu

    Mar 18, 2016 04:36

    Wizara ya Mambo ya ndani ya Saudia imetangaza kuwa imewanyonga watu wengine wawili ambao ni raia mmoja wa nchi hiyo na mwengine wa Yemen na hivyo kuifanya idadi ya watu waliouliwa kwa njia hiyo ya kunyongwa nchini Saudia tangu mwanzoni mwa mwaka huu kufikia 75.

  • Saudia kuwapiga kalamu nyekundu Wayemeni 35 elfu

    Saudia kuwapiga kalamu nyekundu Wayemeni 35 elfu

    Mar 15, 2016 23:27

    Saudi Arabia imesema kuwa karibuni hivi itawafuta kazi raia wa Yemen wapatao 35 elfu wanaofanya kazi nchini humo.

  • Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu

    Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu

    Mar 13, 2016 04:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani hatua ya hivi karibuni ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuitaja harakati hiyo kuwa "kundi la kigaidi" na kusema uamuzi huo ni sawa na "tangazo la hujuma" kutoka Saudi Arabia.

  • Amnesty: Huenda Saudia ikamnyonga mpwa wa Sheikh Nimr kesho!

    Amnesty: Huenda Saudia ikamnyonga mpwa wa Sheikh Nimr kesho!

    Mar 12, 2016 11:55

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeelezea hofu yake kuwa yumkini utawala wa Saudi Arabia hapo kesho ukamnyonga Ali Nimr, mpwa wa Shahidi Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, mwanachuoni mkuu na maarufu wa Kiislamu aliyenyongwa na watawala wa Aal-Saud mapema mwaka huu.

  • Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kwa jinai za Saudia nchini Yemen

    Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kwa jinai za Saudia nchini Yemen

    Mar 10, 2016 03:56

    Raia watatu wa Yemen wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mashambulizi ya jana Jumatano ya ndege za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia kwenye maeneo ya makazi ya raia katika mkoa wa al Jawf, kaskazini mwa Yemen.

  • Zarif: Saudia inachochea machafuko Mashariki ya Kati

    Zarif: Saudia inachochea machafuko Mashariki ya Kati

    Mar 06, 2016 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema Saudi Arabia inalenga kuchochea ghasia na machafuko Mashariki ya Kati.

  • Watoto elfu mbili wahanga wa uvamizi wa kijeshi wa Saudia Yemen

    Watoto elfu mbili wahanga wa uvamizi wa kijeshi wa Saudia Yemen

    Mar 04, 2016 11:13

    Mratibu wa Oparesheni za Masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa watoto wasiopungua elfu mbili wameuawa na kujeruhiwa huko Yemen tangu Saudi Arabia ianzishe mashambulizi ya kijeshi nchini humo mwaka uliopita.

  • Kuendelea mapigano katika maeneo tofauti ya Yemen

    Kuendelea mapigano katika maeneo tofauti ya Yemen

    Mar 04, 2016 02:11

    Licha ya Umoja wa Mataifa kuonya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu nchini Yemen kutokana na mashambulio yanayofanywa na kundi linalojiita muungano wa Waarabu unaoongozwa na Saudia, mashambulio ya anga na mizinga ya kundi hilo yangali yanaendelea kwenye kona mbalimbali za Yemen.

  • Juhudi zilizofeli za Saudi Arabia huko Yemen

    Juhudi zilizofeli za Saudi Arabia huko Yemen

    Mar 02, 2016 10:56

    Juhudi za jeshi la Saudi Arabia za kuukomboa mji wa al Rabia katika mkoa wa Asir kusini mwa nchi hiyo zimegonga mwamba hadi sasa.

  • Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati

    Marekani, Israel, Saudia zinachochea fitna Mashariki ya Kati

    Mar 01, 2016 23:20

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia zinachochea fitna na mizozo ya kimadhehebu katika eneo nyeti la Mashariki ya Kati.