Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Senegal

  • Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yaanza Senegal

    Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yaanza Senegal

    Apr 15, 2023 06:25

    Maonyesho makubwa ya Qur'ani Tukufu yameanza Dakar, mji mkuu wa Senegal huko Magharibi mwa Afrika kwa hima na juhudi za Chuo Kikuu cha Al-Mustafa.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Senegal awekwa korokoroni kwa kumuuliza suali Rais Macky Sall

    Waziri Mkuu wa zamani wa Senegal awekwa korokoroni kwa kumuuliza suali Rais Macky Sall

    Mar 10, 2023 10:17

    Waziri mkuu wa zamani wa Senegal Cheikh Hadjibou Soumare amewekwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kumuuliza Rais Macky Sall kama alimpatia fedha mwanasiasa mmoja wa Ufaransa. Hayo ni kwa mujiibu wa wakili mmoja wa utetezi.

  • Kuwasili nchini Iran ujumbe wa kiuchumi wa Senegal

    Kuwasili nchini Iran ujumbe wa kiuchumi wa Senegal

    Feb 23, 2023 07:37

    Ujumbe wa ngazi ya juu wa kiuchumi wa Senegal ukiongozwa na mshauri mkuu wa rais na mkuu wa chama cha wafanyakazi cha nchi hiyo umeasili mjini Tehran.

  • Ajali ya pili ya barabarani Senegal ndani ya wiki moja yaua watu 19

    Ajali ya pili ya barabarani Senegal ndani ya wiki moja yaua watu 19

    Jan 17, 2023 03:46

    Ndani ya wiki moja tangu ilipotokea ajali mbaya ya barabarani nchini Senegal, ambapo watu 125 waliuawa na kujeruhiwa, ajali nyingine imetokea kaskazini mwa nchi hiyo na kuua watu 19.

  • Senegal yaomboleza vifo vya makumi ya watu katika ajali ya barabarani

    Senegal yaomboleza vifo vya makumi ya watu katika ajali ya barabarani

    Jan 09, 2023 04:09

    Rais Macky Sall wa Senegal ametangaza siku 3 za maombolezo kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyosababisha vifo vya makumi ya watu mapema jana Jumapili.

  • Bunge jipya la Senegal lina idadi kubwa ya wabunge wateule wanawake

    Bunge jipya la Senegal lina idadi kubwa ya wabunge wateule wanawake

    Sep 12, 2022 02:19

    Senegal leo Jumatatu inafungua pazia jipya wakati idadi kubwa ya wabunge wateule katika bunge jipya la nchi hiyo watakapoanza shughuli zao, na hivyo kutoa matumaini ya kujiri mabadiliko katika nchi hiyo ambayo sheria na mitazamo ya mfumo dume imekita mizizi. 

  • Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran

    Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran

    Jun 01, 2022 08:07

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Tehran.

  • Khatibzadeh: Bara la Afrika lina nafasi maalumu katika siasa za nje za Iran

    Khatibzadeh: Bara la Afrika lina nafasi maalumu katika siasa za nje za Iran

    Mar 30, 2022 11:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa bara la Afrika lina nafasi ya juu kabisa katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Zaidi ya watu 6,000 wakimbia makazi yao nchini Gambia kutokana na mzozo wa Casamance, Senegal

    Zaidi ya watu 6,000 wakimbia makazi yao nchini Gambia kutokana na mzozo wa Casamance, Senegal

    Mar 21, 2022 06:42

    Mamlaka ya Gambia imetangazai kwamba imehesabu zaidi ya watu 6,000 waliokimbia ghasia za wiki moja iliyopita kati ya jeshi na waasi wenye silaha katika eneo la Casamance kusini mwa nchi jirani ya Senegal.

  • Rais wa Senegal alipongeza taifa la Iran kwa maadhimisho ya Siku ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Rais wa Senegal alipongeza taifa la Iran kwa maadhimisho ya Siku ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 12, 2022 06:55

    Rais wa Senegal ametoa mkono wa baraka na fanaka kwa serikali na taifa la Iran kwa mnasaba wa kuadhimisha mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS