-
Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yaanza Senegal
Apr 15, 2023 06:25Maonyesho makubwa ya Qur'ani Tukufu yameanza Dakar, mji mkuu wa Senegal huko Magharibi mwa Afrika kwa hima na juhudi za Chuo Kikuu cha Al-Mustafa.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Senegal awekwa korokoroni kwa kumuuliza suali Rais Macky Sall
Mar 10, 2023 10:17Waziri mkuu wa zamani wa Senegal Cheikh Hadjibou Soumare amewekwa chini ya ulinzi wa polisi baada ya kumuuliza Rais Macky Sall kama alimpatia fedha mwanasiasa mmoja wa Ufaransa. Hayo ni kwa mujiibu wa wakili mmoja wa utetezi.
-
Kuwasili nchini Iran ujumbe wa kiuchumi wa Senegal
Feb 23, 2023 07:37Ujumbe wa ngazi ya juu wa kiuchumi wa Senegal ukiongozwa na mshauri mkuu wa rais na mkuu wa chama cha wafanyakazi cha nchi hiyo umeasili mjini Tehran.
-
Ajali ya pili ya barabarani Senegal ndani ya wiki moja yaua watu 19
Jan 17, 2023 03:46Ndani ya wiki moja tangu ilipotokea ajali mbaya ya barabarani nchini Senegal, ambapo watu 125 waliuawa na kujeruhiwa, ajali nyingine imetokea kaskazini mwa nchi hiyo na kuua watu 19.
-
Senegal yaomboleza vifo vya makumi ya watu katika ajali ya barabarani
Jan 09, 2023 04:09Rais Macky Sall wa Senegal ametangaza siku 3 za maombolezo kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyosababisha vifo vya makumi ya watu mapema jana Jumapili.
-
Bunge jipya la Senegal lina idadi kubwa ya wabunge wateule wanawake
Sep 12, 2022 02:19Senegal leo Jumatatu inafungua pazia jipya wakati idadi kubwa ya wabunge wateule katika bunge jipya la nchi hiyo watakapoanza shughuli zao, na hivyo kutoa matumaini ya kujiri mabadiliko katika nchi hiyo ambayo sheria na mitazamo ya mfumo dume imekita mizizi.
-
Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran
Jun 01, 2022 08:07Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Tehran.
-
Khatibzadeh: Bara la Afrika lina nafasi maalumu katika siasa za nje za Iran
Mar 30, 2022 11:48Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa bara la Afrika lina nafasi ya juu kabisa katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Zaidi ya watu 6,000 wakimbia makazi yao nchini Gambia kutokana na mzozo wa Casamance, Senegal
Mar 21, 2022 06:42Mamlaka ya Gambia imetangazai kwamba imehesabu zaidi ya watu 6,000 waliokimbia ghasia za wiki moja iliyopita kati ya jeshi na waasi wenye silaha katika eneo la Casamance kusini mwa nchi jirani ya Senegal.
-
Rais wa Senegal alipongeza taifa la Iran kwa maadhimisho ya Siku ya Mapinduzi ya Kiislamu
Feb 12, 2022 06:55Rais wa Senegal ametoa mkono wa baraka na fanaka kwa serikali na taifa la Iran kwa mnasaba wa kuadhimisha mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.