Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Senegal

  • Bunge jipya la Senegal lina idadi kubwa ya wabunge wateule wanawake

    Bunge jipya la Senegal lina idadi kubwa ya wabunge wateule wanawake

    Sep 12, 2022 02:19

    Senegal leo Jumatatu inafungua pazia jipya wakati idadi kubwa ya wabunge wateule katika bunge jipya la nchi hiyo watakapoanza shughuli zao, na hivyo kutoa matumaini ya kujiri mabadiliko katika nchi hiyo ambayo sheria na mitazamo ya mfumo dume imekita mizizi. 

  • Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran

    Rais Raisi: Kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Iran

    Jun 01, 2022 08:07

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuipa umuhimu Afrika ni moja ya mihimili mikuu ya sera za nje za Tehran.

  • Khatibzadeh: Bara la Afrika lina nafasi maalumu katika siasa za nje za Iran

    Khatibzadeh: Bara la Afrika lina nafasi maalumu katika siasa za nje za Iran

    Mar 30, 2022 11:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema kuwa bara la Afrika lina nafasi ya juu kabisa katika siasa za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Zaidi ya watu 6,000 wakimbia makazi yao nchini Gambia kutokana na mzozo wa Casamance, Senegal

    Zaidi ya watu 6,000 wakimbia makazi yao nchini Gambia kutokana na mzozo wa Casamance, Senegal

    Mar 21, 2022 06:42

    Mamlaka ya Gambia imetangazai kwamba imehesabu zaidi ya watu 6,000 waliokimbia ghasia za wiki moja iliyopita kati ya jeshi na waasi wenye silaha katika eneo la Casamance kusini mwa nchi jirani ya Senegal.

  • Rais wa Senegal alipongeza taifa la Iran kwa maadhimisho ya Siku ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Rais wa Senegal alipongeza taifa la Iran kwa maadhimisho ya Siku ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Feb 12, 2022 06:55

    Rais wa Senegal ametoa mkono wa baraka na fanaka kwa serikali na taifa la Iran kwa mnasaba wa kuadhimisha mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Wabunge Senegal wawasilisha muswada dhidi ya ushoga

    Wabunge Senegal wawasilisha muswada dhidi ya ushoga

    Dec 24, 2021 02:50

    Kundi la wabunge nchini Senegal limewasilisha muswada bungeni ili kutilia mkazo na kulipa nguvu suala la kutokomeza vitendo vya ushoga na mahusiano ya watu wenye jinsia moja katika nchi hiyo ya Maghariibi mwa Afrika yenye raia wengi Waislamu.

  • Skuli zafungwa kwa muda wa juma zima Senegal kufuatia mapigano na machafuko

    Skuli zafungwa kwa muda wa juma zima Senegal kufuatia mapigano na machafuko

    Mar 08, 2021 07:42

    Skuli zimefungwa kwa muda wa juma zima nchini Senegal kutokana na mapigano na machafuko yaliyozuka hivi karibuni nchini humo.

  • 4 wauawa katika maandamano ya kupinga kukamatwa kinara wa upinzani Senegal

    4 wauawa katika maandamano ya kupinga kukamatwa kinara wa upinzani Senegal

    Mar 06, 2021 08:14

    Kwa akali watu wanne wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya ghasia ya kulalamikia kitendo cha maafisa usalama kumtia mbaroni kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini Senegal.

  • Rais wa Senegal yuko karantini baada ya kutangamana na mwenye corona

    Rais wa Senegal yuko karantini baada ya kutangamana na mwenye corona

    Jun 25, 2020 07:56

    Rais Macky Sall wa Senegal amejiweka katika karantini baada ya kutagusana na mtu mwenye maradhi ya COVID-19.

  • Wananchi wa Senegal waandamana kulaani ubaguzi wa rangi Marekani

    Wananchi wa Senegal waandamana kulaani ubaguzi wa rangi Marekani

    Jun 11, 2020 08:04

    Wananchi wa Senegal wamefanya maandamano kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya raia weusi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS