Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la habari

  • "Marekani haiwezi kustahamili sauti ya vyombo huru vya habari"

    Sep 20, 2023 02:21

    Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ametoa radiamali yake kwa hatua ya karibuni ya Marekani ya kuviwekea vikwazo vyombo vitatu vya habari vya Iran ikiwemo kanali ya Press TV na kusisitiza kuwa, "Marekani kamwe haiwezi kuvumulia sauti ya vyombo huru vya habari."

  • PEC: Ulaya si salama kwa wanahabari, 37 wameuawa 2022

    PEC: Ulaya si salama kwa wanahabari, 37 wameuawa 2022

    Dec 15, 2022 02:41

    Shirika la kufuatilia masuala ya wanahabari la Press Emblem Campaign (PEC) limesema waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashaji habari 115 wameuawa katika sehemu mbalimbali duniani mwaka huu, hilo likiwa ni ongezeko la asilimia 45 ikilinganishwa na mwaka uliopita.

  • Mwangwi wa sherehe za Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika vyombo vya habari vya kimataifa

    Mwangwi wa sherehe za Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika vyombo vya habari vya kimataifa

    Feb 12, 2022 02:59

    Vyombo vya habari vya kimataifa katika nchi mbalimbali vimeakisi kwa mapana na marefu maandamano makubwa ya kuadhimisha mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.

  • Wanamapambano wa Palestina waendelea kujibu jinai za Wazayuni kwa siku ya nane

    Wanamapambano wa Palestina waendelea kujibu jinai za Wazayuni kwa siku ya nane

    May 17, 2021 13:36

    Makundi ya muqawama ya Palestina leo Jumatatu yameendelea kujibu jinai za utawala wa Kizayuni kwa kuyatwangwa kwa makombora na maroketi maeneo mbalimbali ya walowezi wa Kizayuni kama vile al Asqakalan (Ashkelon) na kambi ya kijeshi ya Wazayuni ya Kissufim.

  • Ripoti: Wanahabari 80 wameuawa mwaka huu 2018

    Ripoti: Wanahabari 80 wameuawa mwaka huu 2018

    Dec 18, 2018 15:39

    Jumuiya ya Maripota Wasio na Mipaka (RSF) imesema waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashaji habari 80 wameuawa mwaka huu 2018 katika sehemu mbalimbali duniani.

  • RSF: Saudia imewateka nyara wanahabari 15 mwaka mmoja uliopita

    RSF: Saudia imewateka nyara wanahabari 15 mwaka mmoja uliopita

    Oct 11, 2018 02:29

    Shirika la Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka RSF limesema waandishi habari wasiopungua 15 raia wa Saudi Arabia ima wamekamatwa na vyombo vya usalama vya Riyadh au kutoweka katika mazingira ya kutatanisha katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS