-
"Marekani haiwezi kustahamili sauti ya vyombo huru vya habari"
Sep 20, 2023 02:21Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB) ametoa radiamali yake kwa hatua ya karibuni ya Marekani ya kuviwekea vikwazo vyombo vitatu vya habari vya Iran ikiwemo kanali ya Press TV na kusisitiza kuwa, "Marekani kamwe haiwezi kuvumulia sauti ya vyombo huru vya habari."
-
PEC: Ulaya si salama kwa wanahabari, 37 wameuawa 2022
Dec 15, 2022 02:41Shirika la kufuatilia masuala ya wanahabari la Press Emblem Campaign (PEC) limesema waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashaji habari 115 wameuawa katika sehemu mbalimbali duniani mwaka huu, hilo likiwa ni ongezeko la asilimia 45 ikilinganishwa na mwaka uliopita.
-
Mwangwi wa sherehe za Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran katika vyombo vya habari vya kimataifa
Feb 12, 2022 02:59Vyombo vya habari vya kimataifa katika nchi mbalimbali vimeakisi kwa mapana na marefu maandamano makubwa ya kuadhimisha mwaka wa 43 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
-
Wanamapambano wa Palestina waendelea kujibu jinai za Wazayuni kwa siku ya nane
May 17, 2021 13:36Makundi ya muqawama ya Palestina leo Jumatatu yameendelea kujibu jinai za utawala wa Kizayuni kwa kuyatwangwa kwa makombora na maroketi maeneo mbalimbali ya walowezi wa Kizayuni kama vile al Asqakalan (Ashkelon) na kambi ya kijeshi ya Wazayuni ya Kissufim.
-
Ripoti: Wanahabari 80 wameuawa mwaka huu 2018
Dec 18, 2018 15:39Jumuiya ya Maripota Wasio na Mipaka (RSF) imesema waandishi wa habari na wafanyakazi wengine katika sekta ya upashaji habari 80 wameuawa mwaka huu 2018 katika sehemu mbalimbali duniani.
-
RSF: Saudia imewateka nyara wanahabari 15 mwaka mmoja uliopita
Oct 11, 2018 02:29Shirika la Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka RSF limesema waandishi habari wasiopungua 15 raia wa Saudi Arabia ima wamekamatwa na vyombo vya usalama vya Riyadh au kutoweka katika mazingira ya kutatanisha katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.