Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Shirika la Nishati ya Atomiki

  • Muhammad Eslami: Sera za milango wazi zipo katika ajenda ya kazi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Muhammad Eslami: Sera za milango wazi zipo katika ajenda ya kazi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Aug 09, 2024 02:47

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa nchi za Magharibi zinaituhumu Iran kuwa inaficha sekta yake ya nyuklia, ilhali Tehran inatekeleza sera za milango wazi katika ajenda yake.

  • Iran yaanza urutubishaji urani katika kiwango cha asilimia 60

    Iran yaanza urutubishaji urani katika kiwango cha asilimia 60

    Nov 23, 2022 02:42

    Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amesema: "Uzalishaji urani katika kiwango cha asilimia 60 umeanza katika Kituo cha Nyuklia cha Fordo."

  • Msemaji wa AEOI: Madai ya IAEA kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran hayana msingi wa kisheria

    Msemaji wa AEOI: Madai ya IAEA kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran hayana msingi wa kisheria

    Sep 14, 2022 02:18

    Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema: ombwe la usimamizi ambalo Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA linadai kuwepo katika mpango wa amani wa nyuklia wa Iran halina msingi wowote wa kisheria.

  • Mazungumzo kati ya marais wa Iran na Ufaransa; Raisi akosoa sera za kuzusha migogoro za Wamagharibi

    Mazungumzo kati ya marais wa Iran na Ufaransa; Raisi akosoa sera za kuzusha migogoro za Wamagharibi

    Jul 24, 2022 07:34

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, zzimio lililotolewa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki dhidi ya Iran ni hatua ya kuzusha mgogoro iliyokuwa na lengo la kuliwekea mashinikizo taifa la Iran.

  • Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki: Makelele ya kisiasa dhidi ya Iran hayaathiri chochote

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki: Makelele ya kisiasa dhidi ya Iran hayaathiri chochote

    Jun 17, 2022 03:44

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran AEOI amesema: makelele ya kisiasa na mashinikizo dhidi ya Iran hayakuwa na matokeo yoyote huko nyuma na hivi sasa pia hayatakuwa na athari yoyote.

  • Muhammad Eslami: Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran ni kiranja wa kukabiliana na ulimwengu wa Kiistikbari

    Muhammad Eslami: Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran ni kiranja wa kukabiliana na ulimwengu wa Kiistikbari

    Mar 14, 2022 04:37

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesisitiza kuwa, shirika hilo ni kiranja wa kukabiliana na ulimwengu wa kiistikbari.

  • Eslami: IAEA isichukue misimamo ya kisiasa kuhusu Iran

    Eslami: IAEA isichukue misimamo ya kisiasa kuhusu Iran

    Mar 05, 2022 14:26

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesisitiza kuwa, Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) unapaswa kuchukua msimamo usio wa kisiasa kuhusu Iran.

  • Iran yakaribisha ushirikiano na mashirika ya kimataifa na taasisi za utafiti

    Iran yakaribisha ushirikiano na mashirika ya kimataifa na taasisi za utafiti

    Mar 05, 2022 03:05

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa, Tehran inakaribisha ushirikiano na mashirika ya kimataifa na taasisi za kielimu na kiutafiti.

  • Spika wa Bunge la Iran: AEOI haitaikabidhi IAEA video za taarifa zake

    Spika wa Bunge la Iran: AEOI haitaikabidhi IAEA video za taarifa zake

    Jun 27, 2021 08:10

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) halitaukabidhi Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) video zilizonakili taarifa za taasisi hiyo ya Iran, kwa kuwa muhula uliokuwa umeainishwa umemalizika, wala haujarefushwa tena.

  • Shirika la Atomiki la Iran latakiwa kuzalisha urani iliyorutubishwa kwa zaidi ya asilimia 20

    Shirika la Atomiki la Iran latakiwa kuzalisha urani iliyorutubishwa kwa zaidi ya asilimia 20

    Dec 01, 2020 12:53

    Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wamelitaka Shirika la Atomiki la Iran kuzalisha urani iliyorutubishwa kwa zaidi ya asilimi 20 kwa ajili ya matumizi ya amani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS