-
Iran: Ripoti ya IAEA imetolewa kwa mujibu wa matashi ya kisiasa
Jun 01, 2025 03:49Iran imetoa wito kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kuakisi hali halisi kuhusu mpango wa amani wa nishati ya nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu na kujiepusha na matashi ya kisiasa kwenye ufuatiliaji wake wa shughuli za nyuklia za nchi hii.
-
Muhammad Eslami: Sera za milango wazi zipo katika ajenda ya kazi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Aug 08, 2024 23:17Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa nchi za Magharibi zinaituhumu Iran kuwa inaficha sekta yake ya nyuklia, ilhali Tehran inatekeleza sera za milango wazi katika ajenda yake.
-
Iran yaanza urutubishaji urani katika kiwango cha asilimia 60
Nov 22, 2022 23:12Mkuu wa Shirika la Atomiki la Iran amesema: "Uzalishaji urani katika kiwango cha asilimia 60 umeanza katika Kituo cha Nyuklia cha Fordo."
-
Msemaji wa AEOI: Madai ya IAEA kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran hayana msingi wa kisheria
Sep 13, 2022 21:48Msemaji wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema: ombwe la usimamizi ambalo Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA linadai kuwepo katika mpango wa amani wa nyuklia wa Iran halina msingi wowote wa kisheria.
-
Mazungumzo kati ya marais wa Iran na Ufaransa; Raisi akosoa sera za kuzusha migogoro za Wamagharibi
Jul 24, 2022 03:04Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, zzimio lililotolewa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki dhidi ya Iran ni hatua ya kuzusha mgogoro iliyokuwa na lengo la kuliwekea mashinikizo taifa la Iran.
-
Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki: Makelele ya kisiasa dhidi ya Iran hayaathiri chochote
Jun 16, 2022 23:14Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran AEOI amesema: makelele ya kisiasa na mashinikizo dhidi ya Iran hayakuwa na matokeo yoyote huko nyuma na hivi sasa pia hayatakuwa na athari yoyote.
-
Muhammad Eslami: Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran ni kiranja wa kukabiliana na ulimwengu wa Kiistikbari
Mar 14, 2022 01:07Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesisitiza kuwa, shirika hilo ni kiranja wa kukabiliana na ulimwengu wa kiistikbari.
-
Eslami: IAEA isichukue misimamo ya kisiasa kuhusu Iran
Mar 05, 2022 10:56Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesisitiza kuwa, Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) unapaswa kuchukua msimamo usio wa kisiasa kuhusu Iran.
-
Iran yakaribisha ushirikiano na mashirika ya kimataifa na taasisi za utafiti
Mar 04, 2022 23:35Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa, Tehran inakaribisha ushirikiano na mashirika ya kimataifa na taasisi za kielimu na kiutafiti.
-
Spika wa Bunge la Iran: AEOI haitaikabidhi IAEA video za taarifa zake
Jun 27, 2021 03:40Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) halitaukabidhi Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) video zilizonakili taarifa za taasisi hiyo ya Iran, kwa kuwa muhula uliokuwa umeainishwa umemalizika, wala haujarefushwa tena.