-
Ukame watishia maisha ya watu na mifugo Somalia, UN yaonya
Sep 06, 2022 02:15Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya kibinadamu ametahadharisha kuhusu kutokea janga kubwa la kibinadamu kutokana na ukame wa muda mrefu katika maeneo tofauti ya Somalia.
-
Watu 20 wauawa Somalia katika shambulio la kigaidi la al-Shabab
Sep 03, 2022 10:55Watu wasiopungua 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi la al-Shabab katikati mwa Somalia.
-
Kuongezeka hujuma za kigaidi barani Afrika
Aug 25, 2022 03:42Kuenea kwa hujuma za kigaidi katika kanda tofauti za bara Afrika, hasa kuongezeka kwa mashambulizi yanayotekelezwa na makundi ya Al-Shabaab huko Somalia na Boko Haram nchini Nigeria, kumepelekea kuibuka wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa ukosefu wa usalama barani Afrika na duniani kote.
-
Jinai mpya ya Marekani Somalia, Biden ameua Wasomali 465
Aug 22, 2022 06:51Shirika linalochunguza mashambulizi ya anga ya kimataifa limefichua kuwa Marekani inaficha idadi halisi ya vifo vya raia nchini Somalia na kwamba idadi ya waliopoteza maisha katika nchi hiyo ya Afrika ni mara 30 zaidi ya ile iliyotangazwa na Pentagon.
-
Waliouawa katika shambulio dhidi ya hoteli Mogadishu wapindukia 20
Aug 22, 2022 04:24Watu wasiopungua 21 wameuawa huku wengine 117 wakijeruhiwa, baada ya kundi la kigaidi la la al-Shabaab kuwashika mateka mamia ya watu katika hoteli moja huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
-
Watu 10 wauawa Mogadishu katika shambulio la magaidi wa al-Shabab
Aug 20, 2022 07:54Kwa akkali watu 10 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu kufuatia hujuma na mashambulio ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabab.
-
Wanachama 13 wa genge la kigaidi la al Shabab waangamizwa Somalia
Aug 15, 2022 07:06Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, wanachama 13 wa genge la kigaidi ukufurishaji la al Shabab wameangamizwa katika shambulio la anga lililofanywa katikati ya Somalia.
-
Waziri auawa katika shambulio la al-Shabaab msikitini Somalia
Jul 30, 2022 10:25Waziri wa Sheria wa jimbo la Kusini Magharibi mwa Somalia, Hassan Ibrahim Lugbur pamoja na mtoto wake wa kiume ni miongoni mwa watu kadhaa waliouawa katika shambulio la kundi la kigaidi la al-Shabaab lililolenga waumini waliokuwa wamekusanyika msikitini kwa ajili ya Swala mjini Baidoa, kusini mwa nchi.
-
Miripuko ya mabomu yaua watu kadhaa kusini mwa Somalia
Jul 28, 2022 02:24Kwa akali watu watano akiwemo afisa wa ngazi ya juu wa serikali wameuawa katika miripuko pacha ya mabomu iliyotokea jana Jumatano kusini mwa Somalia.
-
Tahadhari ya UN kuhusu kusitishwa misaada ya kibinadamu Somalia
Jul 25, 2022 11:10Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imeonya kuhusu kusimamishwa misaada ya kibinadamu nchini Somalia.