Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Ukame watishia maisha ya watu na mifugo Somalia, UN yaonya

    Ukame watishia maisha ya watu na mifugo Somalia, UN yaonya

    Sep 06, 2022 02:15

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya kibinadamu ametahadharisha kuhusu kutokea janga kubwa la kibinadamu kutokana na ukame wa muda mrefu katika maeneo tofauti ya Somalia.

  • Watu 20 wauawa Somalia katika shambulio la kigaidi la al-Shabab

    Watu 20 wauawa Somalia katika shambulio la kigaidi la al-Shabab

    Sep 03, 2022 10:55

    Watu wasiopungua 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi la al-Shabab katikati mwa Somalia.

  • Kuongezeka hujuma za  kigaidi barani Afrika

    Kuongezeka hujuma za kigaidi barani Afrika

    Aug 25, 2022 03:42

    Kuenea kwa hujuma za kigaidi katika kanda tofauti za bara Afrika, hasa kuongezeka kwa mashambulizi yanayotekelezwa na makundi ya Al-Shabaab huko Somalia na Boko Haram nchini Nigeria, kumepelekea kuibuka wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa ukosefu wa usalama barani Afrika na duniani kote.

  • Jinai mpya ya Marekani Somalia, Biden ameua Wasomali 465

    Jinai mpya ya Marekani Somalia, Biden ameua Wasomali 465

    Aug 22, 2022 06:51

    Shirika linalochunguza mashambulizi ya anga ya kimataifa limefichua kuwa Marekani inaficha idadi halisi ya vifo vya raia nchini Somalia na kwamba idadi ya waliopoteza maisha katika nchi hiyo ya Afrika ni mara 30 zaidi ya ile iliyotangazwa na Pentagon.

  • Waliouawa katika shambulio dhidi ya hoteli Mogadishu wapindukia 20

    Waliouawa katika shambulio dhidi ya hoteli Mogadishu wapindukia 20

    Aug 22, 2022 04:24

    Watu wasiopungua 21 wameuawa huku wengine 117 wakijeruhiwa, baada ya kundi la kigaidi la la al-Shabaab kuwashika mateka mamia ya watu katika hoteli moja huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.

  • Watu 10 wauawa Mogadishu katika shambulio la magaidi wa al-Shabab

    Watu 10 wauawa Mogadishu katika shambulio la magaidi wa al-Shabab

    Aug 20, 2022 07:54

    Kwa akkali watu 10 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu kufuatia hujuma na mashambulio ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabab.

  • Wanachama 13 wa genge la kigaidi la al Shabab waangamizwa Somalia

    Wanachama 13 wa genge la kigaidi la al Shabab waangamizwa Somalia

    Aug 15, 2022 07:06

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, wanachama 13 wa genge la kigaidi ukufurishaji la al Shabab wameangamizwa katika shambulio la anga lililofanywa katikati ya Somalia.

  • Waziri auawa katika shambulio la al-Shabaab msikitini Somalia

    Waziri auawa katika shambulio la al-Shabaab msikitini Somalia

    Jul 30, 2022 10:25

    Waziri wa Sheria wa jimbo la Kusini Magharibi mwa Somalia, Hassan Ibrahim Lugbur pamoja na mtoto wake wa kiume ni miongoni mwa watu kadhaa waliouawa katika shambulio la kundi la kigaidi la al-Shabaab lililolenga waumini waliokuwa wamekusanyika msikitini kwa ajili ya Swala mjini Baidoa, kusini mwa nchi.

  • Miripuko ya mabomu yaua watu kadhaa kusini mwa Somalia

    Miripuko ya mabomu yaua watu kadhaa kusini mwa Somalia

    Jul 28, 2022 02:24

    Kwa akali watu watano akiwemo afisa wa ngazi ya juu wa serikali wameuawa katika miripuko pacha ya mabomu iliyotokea jana Jumatano kusini mwa Somalia.

  • Tahadhari ya UN kuhusu kusitishwa misaada ya kibinadamu Somalia

    Tahadhari ya UN kuhusu kusitishwa misaada ya kibinadamu Somalia

    Jul 25, 2022 11:10

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imeonya kuhusu kusimamishwa misaada ya kibinadamu nchini Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS