Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Marais wa EAC wajadili soko la pamoja Arusha, Somalia yataka uanachama

    Marais wa EAC wajadili soko la pamoja Arusha, Somalia yataka uanachama

    Jul 22, 2022 08:02

    Viongozi wa wa nchi za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC), wameashiria miaka 11 tangu kuanzishwa kwa itifaki ya soko la pamoja na kusisitiza kuwa, kumekuwa na mafanikio makubwa ikiwepo kuongezeka kwa biashara, mitaji na ajira kwa nchi wanachama wa jumuiya ya Afrika na Mashariki.

  • Al-Shabaab yaua watu 17 katika shambulio karibu na Ethiopia

    Al-Shabaab yaua watu 17 katika shambulio karibu na Ethiopia

    Jul 22, 2022 03:12

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab la Somalia limefanya shambulio nadra karibu na nchi jirani ya Ethiopia, lililopelekea kuuawa watu wasiopungua 17, wakiwemo raia watatu.

  • AU yatuma askari polisi wapya 160 wa Nigeria huko nchini Somalia

    AU yatuma askari polisi wapya 160 wa Nigeria huko nchini Somalia

    Jul 16, 2022 02:46

    Kikosi cha Mpito cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (ATMIS) kimepokea askari polisi 160 kutoka Nigeria, watakaikisaidia katika jitihada za kurejesha uthabiti katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Rais wa Somalia: Ukifika wakati mwafaka tutafanya mazungumzo na Ash-Shabaab

    Rais wa Somalia: Ukifika wakati mwafaka tutafanya mazungumzo na Ash-Shabaab

    Jul 08, 2022 02:08

    Rais mpya wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud amesema, kuhitimisha uasi wa utumiaji silaha unaofanywa na kundi la Ash-Shabaab unahitaji mbinu nyingine kuliko ya kijeshi na kwa hivyo utakapofika wakati mwafaka, serikali yake itafanya mazungumzo na kundi hilo lenye misimamo ya kufurutu ada.

  • UN: Utapiamlo umeua watoto 200 nchini Somalia

    UN: Utapiamlo umeua watoto 200 nchini Somalia

    Jul 06, 2022 06:16

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema kwa akali watoto 200 wamepoteza maisha nchini Somalia kutokana na utapiamlo.

  • Ripoti: Nusu ya watu wa Somalia wanahitaji msaada wa haraka wa chakula

    Ripoti: Nusu ya watu wa Somalia wanahitaji msaada wa haraka wa chakula

    Jul 04, 2022 10:58

    Maeneo ya kandokando ya mji mkuu wa Somalia, Mogadishu yamekumbwa na wimbi kubwa la wakimbizi wanaolazimika kukimbia makazi yao kutokana na njaa iliyosababishwa na ukame mkubwa huko kusini na magharibi mwa Somalia.

  • Rais wa Somalia apatwa na COVID-19 baada ya kuitembelea Imarati

    Rais wa Somalia apatwa na COVID-19 baada ya kuitembelea Imarati

    Jun 25, 2022 11:51

    Rais wa Somalia amesema amejiweka karantini baada ya kugundua kuwa ameambukizwa ugonjwa wa COVID-19.

  • Watu 200,000 wapo katika hatari ya kufa njaa nchini Somalia

    Watu 200,000 wapo katika hatari ya kufa njaa nchini Somalia

    Jun 07, 2022 08:02

    Taasisi za Umoja wa Mataifa zimesema karibu robo milioni ya wananchi wa Somalia wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na baa la njaa lililosababishwa na ukame na mfumko wa bei za bidhaa kote duniani.

  • Watoto laki 3 kufariki Somalia iwapo misaada haitawafikia haraka

    Watoto laki 3 kufariki Somalia iwapo misaada haitawafikia haraka

    Jun 01, 2022 10:21

    Afisa mmoja wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa watoto zaidi ya 370,000 watapoteza maisha ifikapo mwisho wa mwezi huu wa Juni iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa kuwafikishia misaada ya dharura.

  • UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame

    UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame

    May 21, 2022 12:30

    Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa dharura wa kupatikana fedha ili kusaidia mataifa ya Pembe ya Afrika ambayo kwa miezi yameshuhudia hali ya ukame inayotishia kuwa mbaya zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS