Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Jeshi la Kenya lashambulia maficho ya al-Shabaab na kuua kadhaa

    Jeshi la Kenya lashambulia maficho ya al-Shabaab na kuua kadhaa

    Dec 27, 2020 20:51

    Kikosi Maalumu cha Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) jana Jumapili kilishambulia maficho ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika Msitu wa Boni kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya na kuangamiza wanachama kadhaa wa genge hilo.

  • Al-Shabaab yakiri kumuua chifu wa Wajir Kenya kwa kumkata kichwa

    Al-Shabaab yakiri kumuua chifu wa Wajir Kenya kwa kumkata kichwa

    Dec 23, 2020 08:53

    Kundi la kigaidi la al-Shabaab lenye makao yake nchini Somalia limekiri kuwa ndilo lililomteka nyara na kumuua kwa kumkata kichwa chifu mmoja wa kaunti ya Wajir, huko kaskazini mashariki mwa Kenya.

  • Somalia yaafiki kurejesha uhusiano na Kenya baada ya mashinikizo ya IGAD

    Somalia yaafiki kurejesha uhusiano na Kenya baada ya mashinikizo ya IGAD

    Dec 22, 2020 21:24

    Somalia imeafiki kurejesha uhusiano wake na Kenya kufuatia mashinikizo ya Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Mashariki mwa Afrika na pembe ya Afrika IGAD.

  • Kuanza kuondoka askari wa jeshi la Marekani nchini Somalia; kujipanga upya kijeshi Washington barani Afrika

    Kuanza kuondoka askari wa jeshi la Marekani nchini Somalia; kujipanga upya kijeshi Washington barani Afrika

    Dec 21, 2020 10:15

    Marekani imeanza kuwaondoa wanajeshi wake walioko nchini Somalia kwa madhumuni ya kuwapeleka katika vituo vyake vingine mashariki mwa Afrika.

  • AU yataka Kenya na Somalia zitumie mazungumzo kusuluhisha mzozo baina yao

    AU yataka Kenya na Somalia zitumie mazungumzo kusuluhisha mzozo baina yao

    Dec 21, 2020 04:53

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika ametoa mwito kwa Kenya na Somalia kufuata njia ya mazungumzo kuutafutia ufumbuzi mgogoro uliopo baina ya pande mbili.

  • Mivutano yazidi kupamba moto huku Somalia ikiituhumu Kenya kuwapatia silaha wanamgambo

    Mivutano yazidi kupamba moto huku Somalia ikiituhumu Kenya kuwapatia silaha wanamgambo

    Dec 20, 2020 12:00

    Serikali kuu ya Somalia imeionya Kenya juu ya matokeo mabaya ya hatua yake ya kuweka wanajeshi wake katika mji wake wa mpakani wa Mandera na kulipatia silaha kundi moja la waasi kwa lengo la kuvuruga uthabiti ndani ya Somalia.

  • Marekani yaondoa askari wake Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika

    Marekani yaondoa askari wake Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika

    Dec 19, 2020 23:54

    Jeshi la Marekani limezindua operesheni ya kuwaondoa askari wake kutoka Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika.

  • Hofu yatanda baada ya Somalia kutuma wanajeshi katika mpaka na Kenya

    Hofu yatanda baada ya Somalia kutuma wanajeshi katika mpaka na Kenya

    Dec 15, 2020 09:54

    Masaa machache baada ya Somalia kutangaza kukata uhusiano wa kidiplomasia na Kenya, Jeshi la Kitaifa la Somalia (SNA) limetuma idadi kubwa ya askari katika eneo moja la mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.

  • Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani

    Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani

    Dec 15, 2020 04:38

    Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia masuala yake ya ndani.

  • Marekani kuondoa wanajeshi wake Somalia kufikia Januari 2021

    Marekani kuondoa wanajeshi wake Somalia kufikia Januari 2021

    Dec 05, 2020 04:13

    Maafisa wa kijeshi wa Marekani wametangaza kuwa, majeshi ya nchi hiyo yaliyoko nchini Somalia muda si mrefu yataondoka katika nchi hiyo ya pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS