Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani

    Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani

    Dec 15, 2020 04:38

    Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia masuala yake ya ndani.

  • Marekani kuondoa wanajeshi wake Somalia kufikia Januari 2021

    Marekani kuondoa wanajeshi wake Somalia kufikia Januari 2021

    Dec 05, 2020 04:13

    Maafisa wa kijeshi wa Marekani wametangaza kuwa, majeshi ya nchi hiyo yaliyoko nchini Somalia muda si mrefu yataondoka katika nchi hiyo ya pembe ya Afrika.

  • Jeshi la Somalia lawaangamiza mamluki wenye mfungamano na kundi la al Shabaab

    Jeshi la Somalia lawaangamiza mamluki wenye mfungamano na kundi la al Shabaab

    Dec 01, 2020 04:30

    Mamluki kadhaa wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabaab la huko Somalia wameuawa katika mapigano kati ya kundi hilo na jeshi la Somalia.

  • Somalia yamtimua balozi wa Kenya na kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi

    Somalia yamtimua balozi wa Kenya na kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi

    Nov 30, 2020 08:06

    Somalia imemwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi sambamba na kumpa masaa 24 balozi wa Kenya mjini Mogadishu awe ameondoka katika ardhi ya Somalia.

  • Watu 12 wauawa katika mashambulio mawili ya kigaidi huko Somalia

    Watu 12 wauawa katika mashambulio mawili ya kigaidi huko Somalia

    Nov 26, 2020 04:40

    Maafisa usalama wa Somalia wametangaza kuwa, watu 12 wameaga dunia katika mashambulio mawili tofauti ya kigaidi nchini humo.

  • Nchi za Afrika zina wasiwasi kuhusu oparesheni ya Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji Somalia

    Nchi za Afrika zina wasiwasi kuhusu oparesheni ya Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji Somalia

    Nov 13, 2020 07:57

    Mawaziri wa nchi za Afrika ambazo zina askari katika kikosi cha kulinda amani nchini Somalia wamebainisha wasiwasi wao kuhusu kampeni ya kundi la Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji wapya nchini Somalia.

  • Waziri wa  eneo la Jubaland, Somalia anusurika kifo; walinzi wake 2 wauawa

    Waziri wa eneo la Jubaland, Somalia anusurika kifo; walinzi wake 2 wauawa

    Nov 12, 2020 22:06

    Waziri wa eneo la Jubaland kusini mwa Somalia jana Alkhamisi alinusuruka kifo baada ya mlipuko wa bomu kuyakumbuka makazi yake huko Kismayo kusini mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Magaidi 17 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Hiran

    Magaidi 17 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Hiran

    Nov 05, 2020 23:06

    Jeshi la Taifa la Somalia SNA limetangaza habari ya kuwaangamiza wanachama 17 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Hiran, katikati mwa nchi hiyo.

  • Marekani sasa inaishinikiza Somalia kuanzisha uhusiano na Israel

    Marekani sasa inaishinikiza Somalia kuanzisha uhusiano na Israel

    Nov 02, 2020 04:04

    Vyombo vya habari nchini Somalia vimeripoti kuwa, Marekani inaishinikiza nchi hiyo ianzishe uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kamanda wa ngazi za juu wa al-Shabaab auawa na jeshi la Somalia

    Kamanda wa ngazi za juu wa al-Shabaab auawa na jeshi la Somalia

    Nov 02, 2020 00:56

    Serikali ya Somalia imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kumuangamiza kamanda wa ngazi za juu wa wanamgambo wa kundi la al-Shabaab, kusini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS