Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • AU yataka Kenya na Somalia zitumie mazungumzo kusuluhisha mzozo baina yao

    AU yataka Kenya na Somalia zitumie mazungumzo kusuluhisha mzozo baina yao

    Dec 21, 2020 04:53

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika ametoa mwito kwa Kenya na Somalia kufuata njia ya mazungumzo kuutafutia ufumbuzi mgogoro uliopo baina ya pande mbili.

  • Mivutano yazidi kupamba moto huku Somalia ikiituhumu Kenya kuwapatia silaha wanamgambo

    Mivutano yazidi kupamba moto huku Somalia ikiituhumu Kenya kuwapatia silaha wanamgambo

    Dec 20, 2020 12:00

    Serikali kuu ya Somalia imeionya Kenya juu ya matokeo mabaya ya hatua yake ya kuweka wanajeshi wake katika mji wake wa mpakani wa Mandera na kulipatia silaha kundi moja la waasi kwa lengo la kuvuruga uthabiti ndani ya Somalia.

  • Marekani yaondoa askari wake Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika

    Marekani yaondoa askari wake Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika

    Dec 19, 2020 23:54

    Jeshi la Marekani limezindua operesheni ya kuwaondoa askari wake kutoka Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika.

  • Hofu yatanda baada ya Somalia kutuma wanajeshi katika mpaka na Kenya

    Hofu yatanda baada ya Somalia kutuma wanajeshi katika mpaka na Kenya

    Dec 15, 2020 09:54

    Masaa machache baada ya Somalia kutangaza kukata uhusiano wa kidiplomasia na Kenya, Jeshi la Kitaifa la Somalia (SNA) limetuma idadi kubwa ya askari katika eneo moja la mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.

  • Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani

    Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani

    Dec 15, 2020 04:38

    Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia masuala yake ya ndani.

  • Marekani kuondoa wanajeshi wake Somalia kufikia Januari 2021

    Marekani kuondoa wanajeshi wake Somalia kufikia Januari 2021

    Dec 05, 2020 04:13

    Maafisa wa kijeshi wa Marekani wametangaza kuwa, majeshi ya nchi hiyo yaliyoko nchini Somalia muda si mrefu yataondoka katika nchi hiyo ya pembe ya Afrika.

  • Jeshi la Somalia lawaangamiza mamluki wenye mfungamano na kundi la al Shabaab

    Jeshi la Somalia lawaangamiza mamluki wenye mfungamano na kundi la al Shabaab

    Dec 01, 2020 04:30

    Mamluki kadhaa wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabaab la huko Somalia wameuawa katika mapigano kati ya kundi hilo na jeshi la Somalia.

  • Somalia yamtimua balozi wa Kenya na kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi

    Somalia yamtimua balozi wa Kenya na kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi

    Nov 30, 2020 08:06

    Somalia imemwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi sambamba na kumpa masaa 24 balozi wa Kenya mjini Mogadishu awe ameondoka katika ardhi ya Somalia.

  • Watu 12 wauawa katika mashambulio mawili ya kigaidi huko Somalia

    Watu 12 wauawa katika mashambulio mawili ya kigaidi huko Somalia

    Nov 26, 2020 04:40

    Maafisa usalama wa Somalia wametangaza kuwa, watu 12 wameaga dunia katika mashambulio mawili tofauti ya kigaidi nchini humo.

  • Nchi za Afrika zina wasiwasi kuhusu oparesheni ya Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji Somalia

    Nchi za Afrika zina wasiwasi kuhusu oparesheni ya Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji Somalia

    Nov 13, 2020 07:57

    Mawaziri wa nchi za Afrika ambazo zina askari katika kikosi cha kulinda amani nchini Somalia wamebainisha wasiwasi wao kuhusu kampeni ya kundi la Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji wapya nchini Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS