-
AU yataka Kenya na Somalia zitumie mazungumzo kusuluhisha mzozo baina yao
Dec 21, 2020 04:53Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika ametoa mwito kwa Kenya na Somalia kufuata njia ya mazungumzo kuutafutia ufumbuzi mgogoro uliopo baina ya pande mbili.
-
Mivutano yazidi kupamba moto huku Somalia ikiituhumu Kenya kuwapatia silaha wanamgambo
Dec 20, 2020 12:00Serikali kuu ya Somalia imeionya Kenya juu ya matokeo mabaya ya hatua yake ya kuweka wanajeshi wake katika mji wake wa mpakani wa Mandera na kulipatia silaha kundi moja la waasi kwa lengo la kuvuruga uthabiti ndani ya Somalia.
-
Marekani yaondoa askari wake Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika
Dec 19, 2020 23:54Jeshi la Marekani limezindua operesheni ya kuwaondoa askari wake kutoka Somalia na kuwapeleka katika nchi nyingine za Afrika.
-
Hofu yatanda baada ya Somalia kutuma wanajeshi katika mpaka na Kenya
Dec 15, 2020 09:54Masaa machache baada ya Somalia kutangaza kukata uhusiano wa kidiplomasia na Kenya, Jeshi la Kitaifa la Somalia (SNA) limetuma idadi kubwa ya askari katika eneo moja la mpaka wa pamoja wa nchi hizo mbili.
-
Somalia yawafukuza wanadiplomasia wote wa Kenya, yawataka wake warudi nyumbani
Dec 15, 2020 04:38Serikali ya Somalia imetangaza kusitisha uhusiano wake na Kenya ikidai kwamba Serikali ya Kenya inaingilia masuala yake ya ndani.
-
Marekani kuondoa wanajeshi wake Somalia kufikia Januari 2021
Dec 05, 2020 04:13Maafisa wa kijeshi wa Marekani wametangaza kuwa, majeshi ya nchi hiyo yaliyoko nchini Somalia muda si mrefu yataondoka katika nchi hiyo ya pembe ya Afrika.
-
Jeshi la Somalia lawaangamiza mamluki wenye mfungamano na kundi la al Shabaab
Dec 01, 2020 04:30Mamluki kadhaa wenye mfungamano na kundi la kigaidi la al Shabaab la huko Somalia wameuawa katika mapigano kati ya kundi hilo na jeshi la Somalia.
-
Somalia yamtimua balozi wa Kenya na kumwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi
Nov 30, 2020 08:06Somalia imemwita nyumbani balozi wake aliyeko Nairobi sambamba na kumpa masaa 24 balozi wa Kenya mjini Mogadishu awe ameondoka katika ardhi ya Somalia.
-
Watu 12 wauawa katika mashambulio mawili ya kigaidi huko Somalia
Nov 26, 2020 04:40Maafisa usalama wa Somalia wametangaza kuwa, watu 12 wameaga dunia katika mashambulio mawili tofauti ya kigaidi nchini humo.
-
Nchi za Afrika zina wasiwasi kuhusu oparesheni ya Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji Somalia
Nov 13, 2020 07:57Mawaziri wa nchi za Afrika ambazo zina askari katika kikosi cha kulinda amani nchini Somalia wamebainisha wasiwasi wao kuhusu kampeni ya kundi la Al-Shabab ya kuajiri wapiganaji wapya nchini Somalia.