Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Waziri wa  eneo la Jubaland, Somalia anusurika kifo; walinzi wake 2 wauawa

    Waziri wa eneo la Jubaland, Somalia anusurika kifo; walinzi wake 2 wauawa

    Nov 12, 2020 22:06

    Waziri wa eneo la Jubaland kusini mwa Somalia jana Alkhamisi alinusuruka kifo baada ya mlipuko wa bomu kuyakumbuka makazi yake huko Kismayo kusini mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Magaidi 17 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Hiran

    Magaidi 17 wa al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia, Hiran

    Nov 05, 2020 23:06

    Jeshi la Taifa la Somalia SNA limetangaza habari ya kuwaangamiza wanachama 17 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Hiran, katikati mwa nchi hiyo.

  • Marekani sasa inaishinikiza Somalia kuanzisha uhusiano na Israel

    Marekani sasa inaishinikiza Somalia kuanzisha uhusiano na Israel

    Nov 02, 2020 04:04

    Vyombo vya habari nchini Somalia vimeripoti kuwa, Marekani inaishinikiza nchi hiyo ianzishe uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Kamanda wa ngazi za juu wa al-Shabaab auawa na jeshi la Somalia

    Kamanda wa ngazi za juu wa al-Shabaab auawa na jeshi la Somalia

    Nov 02, 2020 00:56

    Serikali ya Somalia imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kumuangamiza kamanda wa ngazi za juu wa wanamgambo wa kundi la al-Shabaab, kusini mwa nchi hiyo.

  • UN: Mafuriko yameua watu 35 nchini Somalia, milioni 1.6 wameathiriwa

    UN: Mafuriko yameua watu 35 nchini Somalia, milioni 1.6 wameathiriwa

    Oct 29, 2020 03:36

    Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kupoteza maisha watu 35 nchini Somalia kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zilizonyesha nchini humo.

  • Majeshi ya Jubaland na Kenya yatibua shambulio la al-Shabaab Somalia

    Majeshi ya Jubaland na Kenya yatibua shambulio la al-Shabaab Somalia

    Oct 28, 2020 04:25

    Askari wa Kikosi Maalumu cha Jubaland wakishirikiana na askari wa Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) wamefanikiwa kuzima shambulizi la kigaidi la kundi la wanamgambo wa al-Shabaab katika eneo la Lower Jubba, kusini mwa Somalia.

  • Al-Shabaab inakusanya ushuru mkubwa zaidi ya serikali ya Somalia

    Al-Shabaab inakusanya ushuru mkubwa zaidi ya serikali ya Somalia

    Oct 28, 2020 01:08

    Ripoti mpya imefichua kuwa, kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linakusanya kodi na ushuru mkubwa hata zaidi ya ule unaokusanywa na serikali ya Somalia.

  • Kubuniwa baraza jipya la mawaziri Somalia

    Kubuniwa baraza jipya la mawaziri Somalia

    Oct 20, 2020 08:25

    Waziri Mkuu wa Somalia ametangaza habari ya kubuniwa baraza jipya la mawaziri la nchi hiyo ambapo baadhi ya mawaziri wa zamani wamejumuishwa.

  • Makumi wauawa Somalia katika mapigano ya wanajeshi na magaidi wa al Shabab

    Makumi wauawa Somalia katika mapigano ya wanajeshi na magaidi wa al Shabab

    Oct 16, 2020 10:16

    Makumi ya wanajeshi na magaidi wameuawa katika mapigano ya siku mbili baina ya askari wa jeshi la serikali ya Somalia na magaidi wa kundi la al Shabab kaskazini magharibi mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Wanajeshi 13 wa Somalia wauawa katika makabiliano na al-Shabaab

    Wanajeshi 13 wa Somalia wauawa katika makabiliano na al-Shabaab

    Oct 15, 2020 23:40

    Kwa akali askari 13 wa Jeshi la Taifa la Somalia wameuawa katika makabiliano makali baina yao na wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab karibu na wilaya ya Afgoye, kaskazini magharibi mwa mji mkuu, Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS