Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Magaidi kadhaa wa al-Shabaab wauawa kusini mwa Somalia

    Magaidi kadhaa wa al-Shabaab wauawa kusini mwa Somalia

    Oct 11, 2020 08:38

    Wanachama watano wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika mji wa Dinsor, eneo la Bay kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab

    Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab

    Oct 08, 2020 23:07

    Serikali za Somalia na Cuba zimekanusha madai ya kuachiwa huru madaktari wawili wa Cuba waliotekwa nyara na kundi la kigaidi la al-Shabaab mwaka jana nchini Kenya.

  • Magaidi wanane wauliwa katika operesheni ya mashambulio ya jeshi la Somalia

    Magaidi wanane wauliwa katika operesheni ya mashambulio ya jeshi la Somalia

    Oct 02, 2020 04:09

    Duru za habari zimeripoti kuwa magaidi wasiopungua wanane wameuliwa katika operesheni ya mashambulio iliyofanywa na jeshi la Somalia kaskazini magharibi mwa mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Magaidi wa al-Shabaab wavamia kambi ya AMISOM, kadhaa wauawa

    Magaidi wa al-Shabaab wavamia kambi ya AMISOM, kadhaa wauawa

    Sep 29, 2020 10:07

    Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni mbili zilizojiri katika eneo la Lower Shabelle kusini mwa Somalia.

  • Wanajeshi wa Kenya na Somalia washambuliana kwa risasi mpakani

    Wanajeshi wa Kenya na Somalia washambuliana kwa risasi mpakani

    Sep 27, 2020 04:32

    Wanajeshi wa Kenya na Somalia wamekabiliana kwa risasi katika mpaka wa pamoja wa nchi mbili hizo jirani za Afrika Mashariki.

  • Jeshi la Somalia laua wanamgambo 16 wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laua wanamgambo 16 wa al-Shabaab

    Sep 23, 2020 03:56

    Wanachama 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika jimbo la Galmadug, katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Rais wa Somalia amteua Waziri Mkuu mpya baada ya miezi miwili

    Rais wa Somalia amteua Waziri Mkuu mpya baada ya miezi miwili

    Sep 18, 2020 03:36

    Rais Mohamed Abdullahi Mohamed Farmajo wa Somalia amemteua Mohamed Hussein Roble kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Magaidi 7 wa al-Shabaab waangamizwa na askari kusini mwa Somalia

    Magaidi 7 wa al-Shabaab waangamizwa na askari kusini mwa Somalia

    Sep 17, 2020 03:36

    Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia huko kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Gaidi ajiripua mbele ya msikiti, kusini mwa Somalia

    Gaidi ajiripua mbele ya msikiti, kusini mwa Somalia

    Sep 11, 2020 20:13

    Duru za habari za ndani na nje ya Somalia zimetangaza kuwa gaidi mmoja amejiripua kwa mabomu nje ya msikiti mmoja wa kusini mwa nchi hiyo.

  • Al-Shabaab yadai kuua watu 16 Somalia wakiwemo askari wa Marekani

    Al-Shabaab yadai kuua watu 16 Somalia wakiwemo askari wa Marekani

    Sep 08, 2020 03:24

    Wanamgambo wa al-Shabaab wametangaza kuhusika na mripuko wa bomu ulioua watu 16, wakiwemo wanajeshi wanne wa Kamandi ya Jeshi la Marekani Afrika (AFRICOM).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS