Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Al-Shabaab inakusanya ushuru mkubwa zaidi ya serikali ya Somalia

    Al-Shabaab inakusanya ushuru mkubwa zaidi ya serikali ya Somalia

    Oct 28, 2020 01:08

    Ripoti mpya imefichua kuwa, kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab linakusanya kodi na ushuru mkubwa hata zaidi ya ule unaokusanywa na serikali ya Somalia.

  • Kubuniwa baraza jipya la mawaziri Somalia

    Kubuniwa baraza jipya la mawaziri Somalia

    Oct 20, 2020 08:25

    Waziri Mkuu wa Somalia ametangaza habari ya kubuniwa baraza jipya la mawaziri la nchi hiyo ambapo baadhi ya mawaziri wa zamani wamejumuishwa.

  • Makumi wauawa Somalia katika mapigano ya wanajeshi na magaidi wa al Shabab

    Makumi wauawa Somalia katika mapigano ya wanajeshi na magaidi wa al Shabab

    Oct 16, 2020 10:16

    Makumi ya wanajeshi na magaidi wameuawa katika mapigano ya siku mbili baina ya askari wa jeshi la serikali ya Somalia na magaidi wa kundi la al Shabab kaskazini magharibi mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Wanajeshi 13 wa Somalia wauawa katika makabiliano na al-Shabaab

    Wanajeshi 13 wa Somalia wauawa katika makabiliano na al-Shabaab

    Oct 15, 2020 23:40

    Kwa akali askari 13 wa Jeshi la Taifa la Somalia wameuawa katika makabiliano makali baina yao na wanamgambo wa kundi la kigaidi la al-Shabaab karibu na wilaya ya Afgoye, kaskazini magharibi mwa mji mkuu, Mogadishu.

  • Magaidi kadhaa wa al-Shabaab wauawa kusini mwa Somalia

    Magaidi kadhaa wa al-Shabaab wauawa kusini mwa Somalia

    Oct 11, 2020 08:38

    Wanachama watano wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika mji wa Dinsor, eneo la Bay kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab

    Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab

    Oct 08, 2020 23:07

    Serikali za Somalia na Cuba zimekanusha madai ya kuachiwa huru madaktari wawili wa Cuba waliotekwa nyara na kundi la kigaidi la al-Shabaab mwaka jana nchini Kenya.

  • Magaidi wanane wauliwa katika operesheni ya mashambulio ya jeshi la Somalia

    Magaidi wanane wauliwa katika operesheni ya mashambulio ya jeshi la Somalia

    Oct 02, 2020 04:09

    Duru za habari zimeripoti kuwa magaidi wasiopungua wanane wameuliwa katika operesheni ya mashambulio iliyofanywa na jeshi la Somalia kaskazini magharibi mwa mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Magaidi wa al-Shabaab wavamia kambi ya AMISOM, kadhaa wauawa

    Magaidi wa al-Shabaab wavamia kambi ya AMISOM, kadhaa wauawa

    Sep 29, 2020 10:07

    Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni mbili zilizojiri katika eneo la Lower Shabelle kusini mwa Somalia.

  • Wanajeshi wa Kenya na Somalia washambuliana kwa risasi mpakani

    Wanajeshi wa Kenya na Somalia washambuliana kwa risasi mpakani

    Sep 27, 2020 04:32

    Wanajeshi wa Kenya na Somalia wamekabiliana kwa risasi katika mpaka wa pamoja wa nchi mbili hizo jirani za Afrika Mashariki.

  • Jeshi la Somalia laua wanamgambo 16 wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laua wanamgambo 16 wa al-Shabaab

    Sep 23, 2020 03:56

    Wanachama 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika jimbo la Galmadug, katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS