-
Wanajeshi wa Kenya na Somalia washambuliana kwa risasi mpakani
Sep 27, 2020 04:32Wanajeshi wa Kenya na Somalia wamekabiliana kwa risasi katika mpaka wa pamoja wa nchi mbili hizo jirani za Afrika Mashariki.
-
Jeshi la Somalia laua wanamgambo 16 wa al-Shabaab
Sep 23, 2020 03:56Wanachama 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika jimbo la Galmadug, katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Rais wa Somalia amteua Waziri Mkuu mpya baada ya miezi miwili
Sep 18, 2020 03:36Rais Mohamed Abdullahi Mohamed Farmajo wa Somalia amemteua Mohamed Hussein Roble kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Magaidi 7 wa al-Shabaab waangamizwa na askari kusini mwa Somalia
Sep 17, 2020 03:36Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia huko kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Gaidi ajiripua mbele ya msikiti, kusini mwa Somalia
Sep 11, 2020 20:13Duru za habari za ndani na nje ya Somalia zimetangaza kuwa gaidi mmoja amejiripua kwa mabomu nje ya msikiti mmoja wa kusini mwa nchi hiyo.
-
Al-Shabaab yadai kuua watu 16 Somalia wakiwemo askari wa Marekani
Sep 08, 2020 03:24Wanamgambo wa al-Shabaab wametangaza kuhusika na mripuko wa bomu ulioua watu 16, wakiwemo wanajeshi wanne wa Kamandi ya Jeshi la Marekani Afrika (AFRICOM).
-
Wanajeshi wawili wa serikali wauawa, afisa wa jeshi la Marekani ajeruhiwa Somalia
Sep 07, 2020 10:02Wanajeshi wawili wa kikosi maalumu cha Somalia wameuawa na afisa mmoja wa jeshi la Marekani amejeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea leo Jumatatu nje ya kambi ya kijeshi ya kusini mwa nchi hiyo.
-
30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia
Sep 06, 2020 03:05Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya wanamgambo wa al-Shabaab na wanakijiji katikati mwa Somalia.
-
UN yawatuza mamia ya askari wa Uganda walioko Somalia
Sep 01, 2020 03:14Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewapa medali ya heshima wanajeshi 600 wa Uganda wanaolinda taasisi na wafanyakazi wa UN nchini Somalia.
-
Wavuvi Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na maharamia Somalia waachiliwa huru
Aug 21, 2020 22:26Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza kuwa, kundi la mwisho la mabaharia Wairani ambao walitekwa nyara na maharamia wa Somalia mwaka 2015 hatimaye wameachiliwa huru.