-
Magaidi kadhaa wa al-Shabaab wauawa kusini mwa Somalia
Oct 11, 2020 08:38Wanachama watano wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika mji wa Dinsor, eneo la Bay kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Somalia, Cuba zakanusha madai ya kuachiwa huru madaktari waliotekwa na al-Shabaab
Oct 08, 2020 23:07Serikali za Somalia na Cuba zimekanusha madai ya kuachiwa huru madaktari wawili wa Cuba waliotekwa nyara na kundi la kigaidi la al-Shabaab mwaka jana nchini Kenya.
-
Magaidi wanane wauliwa katika operesheni ya mashambulio ya jeshi la Somalia
Oct 02, 2020 04:09Duru za habari zimeripoti kuwa magaidi wasiopungua wanane wameuliwa katika operesheni ya mashambulio iliyofanywa na jeshi la Somalia kaskazini magharibi mwa mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Magaidi wa al-Shabaab wavamia kambi ya AMISOM, kadhaa wauawa
Sep 29, 2020 10:07Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni mbili zilizojiri katika eneo la Lower Shabelle kusini mwa Somalia.
-
Wanajeshi wa Kenya na Somalia washambuliana kwa risasi mpakani
Sep 27, 2020 04:32Wanajeshi wa Kenya na Somalia wamekabiliana kwa risasi katika mpaka wa pamoja wa nchi mbili hizo jirani za Afrika Mashariki.
-
Jeshi la Somalia laua wanamgambo 16 wa al-Shabaab
Sep 23, 2020 03:56Wanachama 16 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia katika jimbo la Galmadug, katikati mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Rais wa Somalia amteua Waziri Mkuu mpya baada ya miezi miwili
Sep 18, 2020 03:36Rais Mohamed Abdullahi Mohamed Farmajo wa Somalia amemteua Mohamed Hussein Roble kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Magaidi 7 wa al-Shabaab waangamizwa na askari kusini mwa Somalia
Sep 17, 2020 03:36Wanachama kadhaa wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia huko kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Gaidi ajiripua mbele ya msikiti, kusini mwa Somalia
Sep 11, 2020 20:13Duru za habari za ndani na nje ya Somalia zimetangaza kuwa gaidi mmoja amejiripua kwa mabomu nje ya msikiti mmoja wa kusini mwa nchi hiyo.
-
Al-Shabaab yadai kuua watu 16 Somalia wakiwemo askari wa Marekani
Sep 08, 2020 03:24Wanamgambo wa al-Shabaab wametangaza kuhusika na mripuko wa bomu ulioua watu 16, wakiwemo wanajeshi wanne wa Kamandi ya Jeshi la Marekani Afrika (AFRICOM).