Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Wanajeshi wawili wa serikali wauawa, afisa wa jeshi la Marekani ajeruhiwa Somalia

    Wanajeshi wawili wa serikali wauawa, afisa wa jeshi la Marekani ajeruhiwa Somalia

    Sep 07, 2020 10:02

    Wanajeshi wawili wa kikosi maalumu cha Somalia wameuawa na afisa mmoja wa jeshi la Marekani amejeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea leo Jumatatu nje ya kambi ya kijeshi ya kusini mwa nchi hiyo.

  • 30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia

    30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia

    Sep 06, 2020 03:05

    Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya wanamgambo wa al-Shabaab na wanakijiji katikati mwa Somalia.

  • UN yawatuza mamia ya askari wa Uganda walioko Somalia

    UN yawatuza mamia ya askari wa Uganda walioko Somalia

    Sep 01, 2020 03:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewapa medali ya heshima wanajeshi 600 wa Uganda wanaolinda taasisi na wafanyakazi wa UN nchini Somalia.

  • Wavuvi Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na maharamia Somalia waachiliwa huru

    Wavuvi Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na maharamia Somalia waachiliwa huru

    Aug 21, 2020 22:26

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza kuwa, kundi la mwisho la mabaharia Wairani ambao walitekwa nyara na maharamia wa Somalia mwaka 2015 hatimaye wameachiliwa huru.

  • Watu 19 wauawa katika jaribio la magaidi wa Al Shabab kutoroka gerezani Mogadishu

    Watu 19 wauawa katika jaribio la magaidi wa Al Shabab kutoroka gerezani Mogadishu

    Aug 12, 2020 06:28

    Watu 19 wameuawa wakati wafungwa ambao ni wafuasi wa kundi la kigaidi wa Al Shabab walipojaribu kutoroka katika gereza moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Mlipuko watikisa kambi ya jeshi Mogadishu; watu 8 wapoteza maisha

    Mlipuko watikisa kambi ya jeshi Mogadishu; watu 8 wapoteza maisha

    Aug 08, 2020 07:11

    Mlipuko mkubwa umetokea leo katika kambi ya jeshi huko Mogadishu mji mkuu wa Somalia na kuuwa watu 8 na kujeruhi wengine 14.

  • Kenya yaanzisha uchunguzi baada ya helikopta yake ya kijeshi kuanguka Somalia

    Kenya yaanzisha uchunguzi baada ya helikopta yake ya kijeshi kuanguka Somalia

    Aug 05, 2020 06:26

    Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limeanzisha uchunguzi baada ya helikopta yake kuanguka kusini mwa Somalia, na kusababisha wanajeshi wake 10 kujeruhiwa.

  • Somalia yaipongeza Uturuki kwa kufungua tena Msikiti wa Hagia Sophia

    Somalia yaipongeza Uturuki kwa kufungua tena Msikiti wa Hagia Sophia

    Jul 27, 2020 03:19

    Somalia imeipongeza Uturuki kwa hatua yake ya kufungua tena Msikiti wa Hagia Sophia baada ya miaka 86.

  • Bunge la Somalia lapiga kura ya kumuondoa Waziri Mkuu Khayre

    Bunge la Somalia lapiga kura ya kumuondoa Waziri Mkuu Khayre

    Jul 25, 2020 22:12

    Bunge la Somalia jana Jumamosi lilipiga kura ya kumtimua Waziri Mkuu Hassan Ali Khaire, ambaye amekuwa akikosolewa kuhusu udhaifu wake katika kutatua matatizo ya usalama nchini humo.

  • Wapiganaji 18 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa nchini Somalia

    Wapiganaji 18 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa nchini Somalia

    Jul 19, 2020 02:22

    Kwa akali wapiganaji 18 wa kundi la kiigaidi la al-Shabab wameangamizwa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya jeshi la nchi hiyo dhidi ya wanamgambo hao katika mji wa Jilib.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS