-
Wanajeshi wawili wa serikali wauawa, afisa wa jeshi la Marekani ajeruhiwa Somalia
Sep 07, 2020 10:02Wanajeshi wawili wa kikosi maalumu cha Somalia wameuawa na afisa mmoja wa jeshi la Marekani amejeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea leo Jumatatu nje ya kambi ya kijeshi ya kusini mwa nchi hiyo.
-
30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia
Sep 06, 2020 03:05Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya wanamgambo wa al-Shabaab na wanakijiji katikati mwa Somalia.
-
UN yawatuza mamia ya askari wa Uganda walioko Somalia
Sep 01, 2020 03:14Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewapa medali ya heshima wanajeshi 600 wa Uganda wanaolinda taasisi na wafanyakazi wa UN nchini Somalia.
-
Wavuvi Wairani waliokuwa wanashikiliwa mateka na maharamia Somalia waachiliwa huru
Aug 21, 2020 22:26Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetangaza kuwa, kundi la mwisho la mabaharia Wairani ambao walitekwa nyara na maharamia wa Somalia mwaka 2015 hatimaye wameachiliwa huru.
-
Watu 19 wauawa katika jaribio la magaidi wa Al Shabab kutoroka gerezani Mogadishu
Aug 12, 2020 06:28Watu 19 wameuawa wakati wafungwa ambao ni wafuasi wa kundi la kigaidi wa Al Shabab walipojaribu kutoroka katika gereza moja katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Mlipuko watikisa kambi ya jeshi Mogadishu; watu 8 wapoteza maisha
Aug 08, 2020 07:11Mlipuko mkubwa umetokea leo katika kambi ya jeshi huko Mogadishu mji mkuu wa Somalia na kuuwa watu 8 na kujeruhi wengine 14.
-
Kenya yaanzisha uchunguzi baada ya helikopta yake ya kijeshi kuanguka Somalia
Aug 05, 2020 06:26Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limeanzisha uchunguzi baada ya helikopta yake kuanguka kusini mwa Somalia, na kusababisha wanajeshi wake 10 kujeruhiwa.
-
Somalia yaipongeza Uturuki kwa kufungua tena Msikiti wa Hagia Sophia
Jul 27, 2020 03:19Somalia imeipongeza Uturuki kwa hatua yake ya kufungua tena Msikiti wa Hagia Sophia baada ya miaka 86.
-
Bunge la Somalia lapiga kura ya kumuondoa Waziri Mkuu Khayre
Jul 25, 2020 22:12Bunge la Somalia jana Jumamosi lilipiga kura ya kumtimua Waziri Mkuu Hassan Ali Khaire, ambaye amekuwa akikosolewa kuhusu udhaifu wake katika kutatua matatizo ya usalama nchini humo.
-
Wapiganaji 18 wa kundi la kigaidi la al-Shabaab waangamizwa nchini Somalia
Jul 19, 2020 02:22Kwa akali wapiganaji 18 wa kundi la kiigaidi la al-Shabab wameangamizwa na makumi ya wengine kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya jeshi la nchi hiyo dhidi ya wanamgambo hao katika mji wa Jilib.