-
Mkuu wa jeshi la Somalia anusurika kifo, raia mmoja auawa katika shambulizi la al Shabab
Jul 13, 2020 22:01Mkuu wa jeshi la Somalia amenusurika jaribio la kumuua lililofanyinwa kwa gari lilikokuwa limeshehena mabomu lililotaka kuvamia msafara wake mjini Mogadishu.
-
Magaidi 5 wa al-Shabaab waangamizwa kusini mwa Somalia
Jul 07, 2020 02:43Jeshi la Kitaifa la Somalia limetangaza habari ya kuangamiza wanachama watano wa kundi la kigaidi la al-Shabaab huko kusini magharibi mwa nchi.
-
Watu watano wauawa katika hujuma za kigaidi Somalia
Jul 04, 2020 23:19Watu wasiopungua watano wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia hujuma za kigaidi nchini Somalia jana Jumamosi.
-
Kamanda wa al Shabab aangamizwa katika operesheni ya jeshi la Somalia
Jun 26, 2020 02:13Redio ya serikali ya Somalia imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kumuangamiza kamanda wa wanamgambo wa kundi la al Shabab.
-
Kituo cha kijeshi cha Uturuki nchini Somalia chashambuliwa, 2 wauawa
Jun 23, 2020 23:21Kwa akali raia wawili wamepoteza maisha katika shambulizi la kigaidi lililolenga kambi ya kijeshi ya Uturuki katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Jeshi la Somalia laangamiza makumi ya wanamgambo wa al-Shabaab
Jun 22, 2020 07:48Wanachama wasiopungua 27 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab wameuawa katika operesheni kadhaa zilizofanywa na jeshi la Somalia katika eneo la Shebelle Kusini mwa nchi.
-
UN yataka Somalia isaidiwe kukabiliana na COVID-19
Jun 21, 2020 23:33Mjumbe maalum wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ametoa wito wa kutolewa misaada zaidi ya kimataifa kwa Somalia ili kuisaidia kukabiliana na janga la COVID-19 au corona.
-
Mashambulizi pacha ya mabomu yaua raia na askari kadhaa nchini Somalia
Jun 21, 2020 10:23Kwa akali watu saba wameuawa katika mashambulizi mawili tofauti ya mabomu yanayoaminika kufanywa na kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab huko kusini na katikati mwa Somalia ndani ya masaa 24.
-
Jeshi la Somalia laangamiza magaidi 37 wa al-Shabaab
Jun 07, 2020 22:09Jeshi la Taifa la Somalia limetangaza kuwa limefanikiwa kuua makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab huko kusini mwa nchi.
-
UN: Somalia imekumbwa na majanga ya COVID-19, mafuriko na uvamizi wa nzige
Jun 04, 2020 21:56Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya Kibinadamu (OCHA) limetangaza kuwa Somalia inakabiliwa na majanga yaliyosababshwa na mafuriko, uvamizi wa nzige wa jangwani na ugonjwa wa COVID-19.