Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • 7 wauawa katika mripuko wa bomu karibu na Mogadishu, Somalia

    7 wauawa katika mripuko wa bomu karibu na Mogadishu, Somalia

    May 31, 2020 07:08

    Kwa akali watu saba wamepoteza maisha baada ya basi dogo lililokuwa limewabeba kukanyaga bomu la kutegwa ardhini kando ya barabara moja katika kijiji cha Hawa Abdi viungani mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • Jeshi la Somalia laua magaidi wengine 7 wa al-Shabaab

    Jeshi la Somalia laua magaidi wengine 7 wa al-Shabaab

    May 26, 2020 23:09

    Jeshi la Taifa la Somalia limefanikiwa kuangamiza wanachama saba wa kundi la kigaidi la al-Shabaab katika eneo la Hiran, katikati mwa nchi.

  • Wanachama kadhaa wa al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Jubaland

    Wanachama kadhaa wa al-Shabaab waangamizwa na jeshi la Jubaland

    May 25, 2020 21:57

    Jeshi la eneo lenye mamlaka ya ndani la Jubaland limetangaza habari ya kuangamiza wanachama wanne wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la al-Shabaab katika mji wa Dhobley, Kusini mwa Somalia.

  • Mwanamke Mtaliano aliyesilimu akiwa Somalia atumiwa jumbe za chuki

    Mwanamke Mtaliano aliyesilimu akiwa Somalia atumiwa jumbe za chuki

    May 13, 2020 03:45

    Mwanamke mmoja raia wa Italia aliyekuwa ametekwa nyara nchini Somalia kwa karibu mwaka mmoja na nusu ameshambuliwa vikali na kutumiwa jumbe za chuki na vitisho baada ya kubainika kuwa aliukubali Uislamu akiwa mateka.

  • Ethiopia yakiri kutungua ndege ya Kenya katika ardhi ya Somalia

    Ethiopia yakiri kutungua ndege ya Kenya katika ardhi ya Somalia

    May 09, 2020 08:05

    Askari wa jeshi la Ethiopia wamekiri kuwa walitungua kimakosa ndege ndogo ya Kenya iliyokuwa imebeba misaada na vifaa vya kupambana na janga la corona katika mji wa Bardale, kusini mwa eneo la Bay nchini Somalia.

  • Mafuriko yaua watu 260 Kenya, Rwanda na Somalia

    Mafuriko yaua watu 260 Kenya, Rwanda na Somalia

    May 08, 2020 03:48

    Kwa akali watu 260 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afrika Mashariki za Kenya, Rwanda na Somalia.

  • Marais wa Kenya na Somalia waafiki uchunguzi wa pamoja kuhusu ajali ya ndege

    Marais wa Kenya na Somalia waafiki uchunguzi wa pamoja kuhusu ajali ya ndege

    May 06, 2020 06:52

    Marais wa Kenya na Somalia wamekubaliana kufanya uchunguzi wa pamoja kuhusu ajali ya ndege iliyotokea Jumatatu eneo la Bay nchini Somalia na kusababisha vifo vya watu sita.

  • Kenya yaitaka Somalia ichunguze 'kuanguka' ndege ya misaada ya corona

    Kenya yaitaka Somalia ichunguze 'kuanguka' ndege ya misaada ya corona

    May 05, 2020 23:44

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya imetaka uchunguzi wa haraka ufanyike baada ya ndege iliyobeba misaada ya kukabiliana na corona kuanguka kusini mwa Somalia, na watu wote sita waliokuwa ndani yake kufariki.

  • Ndege iliyobeba vifaa vya kupambana na corona yaanguka na kuua Somalia

    Ndege iliyobeba vifaa vya kupambana na corona yaanguka na kuua Somalia

    May 05, 2020 03:33

    Watu sita wameaga dunia katika ajali ya ndege ya mizigo iliyokuwa imebeba misaada na vifaa vya kupambana na janga la corona katika mji wa Bardale, kusini mwa eneo la Bay nchini Somalia.

  • Meya wa Mogadishu atilia shaka takwimu 'rasmi' za Corona Somalia

    Meya wa Mogadishu atilia shaka takwimu 'rasmi' za Corona Somalia

    May 03, 2020 03:44

    Meya wa Mogadishu amesema yumkini ugonjwa wa Covid-19 (Corona) umeua watu zaidi ya 500 katika kipindi cha wiki mbili zilizopita katika mji mkuu huo wa Somalia pekee.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS