Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Ethiopia yakiri kutungua ndege ya Kenya katika ardhi ya Somalia

    Ethiopia yakiri kutungua ndege ya Kenya katika ardhi ya Somalia

    May 09, 2020 08:05

    Askari wa jeshi la Ethiopia wamekiri kuwa walitungua kimakosa ndege ndogo ya Kenya iliyokuwa imebeba misaada na vifaa vya kupambana na janga la corona katika mji wa Bardale, kusini mwa eneo la Bay nchini Somalia.

  • Mafuriko yaua watu 260 Kenya, Rwanda na Somalia

    Mafuriko yaua watu 260 Kenya, Rwanda na Somalia

    May 08, 2020 03:48

    Kwa akali watu 260 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afrika Mashariki za Kenya, Rwanda na Somalia.

  • Marais wa Kenya na Somalia waafiki uchunguzi wa pamoja kuhusu ajali ya ndege

    Marais wa Kenya na Somalia waafiki uchunguzi wa pamoja kuhusu ajali ya ndege

    May 06, 2020 06:52

    Marais wa Kenya na Somalia wamekubaliana kufanya uchunguzi wa pamoja kuhusu ajali ya ndege iliyotokea Jumatatu eneo la Bay nchini Somalia na kusababisha vifo vya watu sita.

  • Kenya yaitaka Somalia ichunguze 'kuanguka' ndege ya misaada ya corona

    Kenya yaitaka Somalia ichunguze 'kuanguka' ndege ya misaada ya corona

    May 05, 2020 23:44

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Kenya imetaka uchunguzi wa haraka ufanyike baada ya ndege iliyobeba misaada ya kukabiliana na corona kuanguka kusini mwa Somalia, na watu wote sita waliokuwa ndani yake kufariki.

  • Ndege iliyobeba vifaa vya kupambana na corona yaanguka na kuua Somalia

    Ndege iliyobeba vifaa vya kupambana na corona yaanguka na kuua Somalia

    May 05, 2020 03:33

    Watu sita wameaga dunia katika ajali ya ndege ya mizigo iliyokuwa imebeba misaada na vifaa vya kupambana na janga la corona katika mji wa Bardale, kusini mwa eneo la Bay nchini Somalia.

  • Meya wa Mogadishu atilia shaka takwimu 'rasmi' za Corona Somalia

    Meya wa Mogadishu atilia shaka takwimu 'rasmi' za Corona Somalia

    May 03, 2020 03:44

    Meya wa Mogadishu amesema yumkini ugonjwa wa Covid-19 (Corona) umeua watu zaidi ya 500 katika kipindi cha wiki mbili zilizopita katika mji mkuu huo wa Somalia pekee.

  • Marekani yakiri: Ni kweli tumeua raia katika shambulizi la anga Somalia

    Marekani yakiri: Ni kweli tumeua raia katika shambulizi la anga Somalia

    Apr 28, 2020 02:49

    Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika AFRICOM imekiri kuwa raia wawili wa Somalia waliuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika hujuma yake ya anga mapema mwaka jana.

  • Corona yaua mtu mmoja Somalia, Ethiopia yatangaza hali ya hatari

    Corona yaua mtu mmoja Somalia, Ethiopia yatangaza hali ya hatari

    Apr 09, 2020 03:52

    Somalia jana Jumatano iliripoti kifo cha kwanza cha mgonjwa wa virusi vya corona, huku idadi ya walioambukizwa ugonjwa huo wa Covid-19 nchini humo ikiongezeka.

  • Ripoti: Mapigano ya kikoo yameua watu 70 Somalia

    Ripoti: Mapigano ya kikoo yameua watu 70 Somalia

    Apr 07, 2020 03:18

    Kwa akali watu 70 wameuawa katika mizozo na mapigano ya kikoo nchini Somalia tokea Disemba mwaka jana 2019 hadi sasa.

  • Kenya, Somalia zawaachilia huru wafungwa ili kuzuia kuenea corona

    Kenya, Somalia zawaachilia huru wafungwa ili kuzuia kuenea corona

    Apr 03, 2020 02:22

    Kenya na Somalia zimetangaza kuwaachilia huru wafungwa wa makosa madogo madogo ikiwa ni katika jitihada za kupunguza msongamano katika magereza katika kipindi hiki cha kuenea ugonjwa hatari wa corona au COVID-19.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS