Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Wasudani wapinga mwenendo wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Wasudani wapinga mwenendo wa kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel

    Oct 17, 2022 07:30

    Katika kikao kinachofanyika mjini Khartoum kuhusu suala la Palestina, makundi ya Kiislamu ya Sudan yametahadharisha kuhusu hatua ya Waarabu ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • 14 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    14 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

    Oct 16, 2022 08:03

    Kwa akali watu watano wameuawa huku wengine tisa wakijeruhiwa katika mapigano mapya ya kikabila katika eneo la Kordofan Magharibi nchini Sudan.

  • Al-Burhan: Inawezekana kufikia makubaliano kuhusu Bwawa la Renaissance

    Al-Burhan: Inawezekana kufikia makubaliano kuhusu Bwawa la Renaissance

    Oct 16, 2022 03:28

    Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan ambaye pia ni kamanda wa jeshi la nchi hiyo amesema, kuna uwezekano wa kufikiwa mapatano kuhusu Bwawa na Renaissance.

  • Mafuriko yaliyosababishwa na mvua yaua watu zaidi ya 130 nchini Sudan

    Mafuriko yaliyosababishwa na mvua yaua watu zaidi ya 130 nchini Sudan

    Sep 17, 2022 03:03

    Watu 134 wamepoteza maisha nchini Sudan baada ya kusombwa na maji kufuatia mafuriko makubwa yanayosababishwa na mvua kali inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Sudan yachapisha rasimu ya katiba mpya

    Sudan yachapisha rasimu ya katiba mpya

    Sep 13, 2022 03:44

    Serikali ya ya Sudan imechapisha rasimu ya katiba mpya ya nchi hiyo kwa lengo la kuunda mfumo wa kidemokrasia wa mpito ili kukomesha mgogoro uliopo nchini humo.

  • Al-Burhan: Taasisi za kiraia zisiingilie masuala ya jeshi la Sudan

    Al-Burhan: Taasisi za kiraia zisiingilie masuala ya jeshi la Sudan

    Sep 07, 2022 22:20

    Mkuu wa baraza tawala la Sudan ameonya kuhusu uingiliaji wowote wa makundi ya kiraia ya nchi hiyo katika taasisi ya kijeshi.

  • Viongozi wa upinzani Sudan wasisitiza kuunga mkono maandamano ya wananchi

    Viongozi wa upinzani Sudan wasisitiza kuunga mkono maandamano ya wananchi

    Sep 03, 2022 07:03

    Viongozi wa harakati na makundi ya uhuru na mageuzi nchini Sudan wamesisitiza kuwa, wanaunga mkono maandamano ya amani ya wananchi wa nchi hiyo kwa ajili ya kuuangusha utawala wa kijeshi unaoongozwa na jenerali Abdul-Fattah al-Burhan.

  • Kadhaa wauawa katika mapigano mapya ya kikabila Blue Nile, Sudan

    Kadhaa wauawa katika mapigano mapya ya kikabila Blue Nile, Sudan

    Sep 02, 2022 07:30

    Kwa akali watu saba wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika mapigano mapya ya kikabila yaliyozuka katika jimbo la Blue Nile, kusini mwa Sudan.

  • Sudan yamwita balozi wa Ethiopia kulalamikia madai ya Addis Ababa kuhusu silaha za wapiganaji wa Tigray

    Sudan yamwita balozi wa Ethiopia kulalamikia madai ya Addis Ababa kuhusu silaha za wapiganaji wa Tigray

    Aug 31, 2022 06:57

    Wizara ya Masshauri ya Kigeni ya Sudan imemwita katika makao makuu ya wizara hiyo balozi wa Ethiopia mjini Kharton na kumkabidhi malalamiko dhidi ya madai ya serikali ya Addis Ababa ya kupita katika anga ya Sudan ndege iliyokuwa imebeba silaha kwa ajili ya kuwapelekea wapiganaji wa jimbo la Tigray.

  • Abdul-Fattah al-Burhan afanya mabadiliko makubwa katika jeshi la Sudan

    Abdul-Fattah al-Burhan afanya mabadiliko makubwa katika jeshi la Sudan

    Aug 26, 2022 05:22

    Jenerali Abdul-Fattah al-Burhan, kiongozi wa kijeshi nchini Sudan, ametangaza mabadiliko makubwa ya uongozi katika jeshi la nchi hiyo, huku msukosuko wa kisiasa na kiuchumi ukiendelea kushuhudiwa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS