-
Sudan yazidi kuandamwa na mashinikizo ili ianzishe uhusiano na utawala wa Kizayuni
Oct 20, 2020 08:34Waziri wa Habari wa Sudan amefichua kuwa, nchi hiyo inaandamwa na mashiniklizo ili ianzishe uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Sudan yakubali kuipa Marekani dola milioni 335 iondolewe katika orodha ya ugaidi
Oct 20, 2020 04:09Rais Donald Trump amesema Marekani itaiondoa Sudan katika orodha ya nchi 'zinazounga mkono ugaidi' baada ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika kukubali kuipa Washington dola milioni 335.
-
Sudan na mahakama ya ICC zachunguza mapendekezo matatu kuhusu kesi ya al Bashir
Oct 19, 2020 23:44Serikali ya Sudan imetangaza kuwa inajadiliana na Mahakama ya Kimataiifa ya Jinai (ICC) mapendekezo matatu kuhusu jinsi ya kumfungulia mashtaka rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir, na wenzake kadhaa kwa tuhuma za kutenda jinai dhidi ya binadamu na jinai za kivita katika jimbo la Darfur.
-
Waziri Mkuu wa Sudan: Tunaunga mkono juhudi za kutekelezwa uadilifu
Oct 18, 2020 23:34Waziri Mkuu wa Sudan amesema katika mazungumzo yake na Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kwamba nchi yake inaheshimu juhudi za kutekeleza uadilifu duniani.
-
Bensouda kwenda Sudan, ataka al Bashir akabidhiwe kwa mahakama ya ICC
Oct 18, 2020 00:54Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) anatarajiwa kuelekea nchini Sudan kwa ajili ya kuchunguza suala la kukabidhiwa rais wa zamani wa nchi hiyo, Omar al Bashir kwa mahakama hiyo iliyoko The Hague nchini Uholanzi.
-
Sudan yaendelea kushinikizwa ianzishe uhusiano wa kawaida na utawala wa Israel
Oct 17, 2020 03:49Sudan inaendelea kushinikizwa ili ianzishe uhusiano wa kawaida wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel. Marekani imetangaza bayana kuwa, sharti la Sudan kuondolewa katika orodha ya nchi ambazo zinaunga mkono ugaidi ni nchi hiyo kukubali kuanza kufanya mazungumzo yenye lengo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya ghasia Sudan
Oct 16, 2020 03:54Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika maandamano ya ghasia huko mashariki mwa Sudan.
-
Serikali ya Sudan yaonywa kuhusu machafuko yatakayotokea ikianzisha uhusiano wa kawaida na Israel
Oct 12, 2020 23:12Mkuu wa zamani wa Baraza la Fiqhi ya Kiislamu la Sudan ameonya kuwa machafuko yatatokea nchini humo endapo wananchi watalazimishwa kukubali nchi yao ianzishe uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Sudan yaikosoa Marekani kwa kukwamishwa kufikiwa demokrasia huko Khartoum
Oct 12, 2020 04:05Waziri Mkuu wa Sudan ameituhumu Marekani kuwa inaikwamisha Sudan kufikia demokrasia.
-
Uamuzi wa Sudan wa kuondoa askari wake katika vita vya Yemen
Oct 11, 2020 03:39Katika hali ambayo Saudi Arabia inaendelea kupiga ngoma ya vita huko nchini Yemen, waitifaki wake katika muungano huo wa kijeshi hawako tayari tena kuvumilia siasa za kupenda vita za Riyadh na hivi sasa wamo mbioni kujiondoa katika muungano huo.