Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Kuongezeka mashinikizo ya kubuniwa serikali ya kiraia nchini Sudan

    Kuongezeka mashinikizo ya kubuniwa serikali ya kiraia nchini Sudan

    Apr 16, 2019 06:28

    Baada ya kupita karibu siku 10 tokea kupinduliwa Rais Omar al-Bashir wa Sudan na jeshi la nchi hiyo, vyama vya kisiasa vya nchi hiyo pamoja na mashirikaya kimataifa na ya kieneo yanashinikiza kukabidhiwa madaraka kwa serikali ya kiraia haraka iwezekanavyo. Kuhusiana na suala hilo, Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limetoa muhula wa siku 15 kwa ajili ya kukabidhiwa madaraka kwa serikali ya kiraia.

  • Maafisa wa serikali ya Omar al-Bashir wafutwa kazi, baadhi wakamatwa

    Maafisa wa serikali ya Omar al-Bashir wafutwa kazi, baadhi wakamatwa

    Apr 15, 2019 03:34

    Maafisa wa ngazi za juu katika utawala uliong'olewa madarakani wa Omar al-Bashir nchini Sudan wamepigwa kalamu nyekundu huku baadhi yao wakitiwa mbaroni.

  • Mkuu wa Shirika la Kijasusi Sudan ajiuzulu, maandamano yaendelea

    Mkuu wa Shirika la Kijasusi Sudan ajiuzulu, maandamano yaendelea

    Apr 13, 2019 10:57

    Mkuu wa Shirika la Kijasusi Sudan amejiuzulu siku moja tu baada ya waziri wa ulinzi kujiuzulu kama kiongozi wa muda kufuatia kupinduliwa Rais Omar al Bashir Alkhamisi huku maandamano yakiendelea kote nchini humo.

  • Wapinzani Sudan watangaza masharti matatu ya kumaliza mgomo na maandamano ya wananchi

    Wapinzani Sudan watangaza masharti matatu ya kumaliza mgomo na maandamano ya wananchi

    Apr 13, 2019 09:07

    Wapinzani nchini Sudan wametoa masharti matatu ya kumaliza mgomo na maandamano nchini humo hasa kukusanyika waandamanaji mbele ya makao ya Komandi Kuu ya Majeshi ya nchi hiyo.

  • Mapinduzi nchini Sudan, kupanuka mgogoro wa kisiasa

    Mapinduzi nchini Sudan, kupanuka mgogoro wa kisiasa

    Apr 13, 2019 03:48

    Mgogoro wa kisiasa nchini Sudan umeingia katika hatua mpya, kufuatia mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Omar Hassan al-Bashir Rais wa nchi hiyo na kuchukua jeshi hilo hatamu za uongozi wa nchi hiyo.

  • Polisi: Watu 16 wameuawa kwa risasi katika maandamano nchini Sudan

    Polisi: Watu 16 wameuawa kwa risasi katika maandamano nchini Sudan

    Apr 13, 2019 03:39

    Polisi nchini Sudan imesema kuwa, kwa akali watu 16 wameuawa huku wengine zaidi ya 20 wakijeruhiwa katika maandamano ya Alkhamisi na jana Ijumaa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.

  • Jenerali aliyemrithi Omar al-Bashir ajiuzulu pia, maandamano yashtadi Sudan

    Jenerali aliyemrithi Omar al-Bashir ajiuzulu pia, maandamano yashtadi Sudan

    Apr 12, 2019 23:37

    Jenerali Awad Mohamed Ahmad Ibn Auf, Waziri wa Ulinzi wa Sudan aliyetangazwa kuwa Kaimu Rais baada ya Omar al-Bashir kung'olewa madarakani naye ametangaza kujiuzulu, baada ya makumi ya maelfu ya Wasudani kuendeleza maandamano wakitaka makabidhiano ya kiraia ya uongozi.

  • Jeshi la Sudan lasema halitamkabidhi Omar al-Bashir kwa ICC

    Jeshi la Sudan lasema halitamkabidhi Omar al-Bashir kwa ICC

    Apr 12, 2019 20:46

    Baraza la Kijeshi la Mpito linaloshikilia hatamu za uongozi nchini Sudan limepuuzilia mbali mwito wa kumkabidhi Omar al-Bashir kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, likisisitiza kuwa yumkini rais huyo aliyeng'olewa madarakani akafunguliwa mashitaka nchini humo.

  • Iran yaziasa pande husika Sudan kujizuia, kutumia mazungumzo kupatia ufumbuzi mgogoro uliopo

    Iran yaziasa pande husika Sudan kujizuia, kutumia mazungumzo kupatia ufumbuzi mgogoro uliopo

    Apr 12, 2019 10:36

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa haiungi mkono upande wowote katika mgogoro wa hivi sasa wa Sudan, huku ikiziasa pande husika nchini humo kujizuia na kutumia njia ya mazungumzo, amani na diplomasia kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo.

  • Human Rights Watch: Bado kuna udharura wa jeshi la Sudan kuzingatia matakwa ya wananchi wanaoandamana

    Human Rights Watch: Bado kuna udharura wa jeshi la Sudan kuzingatia matakwa ya wananchi wanaoandamana

    Apr 12, 2019 03:24

    Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limesisitizia udharura wa kuzingatiwa matakwa ya wananchi na waandamanaji nchini Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS