Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan Kusini

  • Mafuriko yaua 19 Sudan Kusini, malaki waachwa bila makazi

    Mafuriko yaua 19 Sudan Kusini, malaki waachwa bila makazi

    Oct 04, 2025 05:56

    Mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini Sudan Kusini yamesababisha vifo vya watu 19 na kuathiri wengine karibu 640,000 katika kaunti 26 katika majimbo sita ya nchi hiyo, hayo yamesemwa na Umoja wa Mataifa.

  • Makamu wa Rais wa Sudan Kusini apandishwa kizimbani, ashtakiwa kwa makosa kadhaa ukiwemo uhaini

    Makamu wa Rais wa Sudan Kusini apandishwa kizimbani, ashtakiwa kwa makosa kadhaa ukiwemo uhaini

    Sep 22, 2025 12:42

    Mahakama ya Sudan Kusini leo Jumatatu imeanza kusikiliza kesi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Riek Machar, ambaye amefutwa kazi na hasimu wake wa miongo kadhaa, Rais Salva Kiir, huku akikabiliwa na mashtaka kadhaa yakiwemo ya mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu yanayohusishwa na uasi na shambulio lililofanywa na wanamgambo wanaojulikana kama Jeshi Jeupe.

  • Sudan Kusini yamshtaki Makamu wa Rais Machar kwa uhaini, mauaji

    Sudan Kusini yamshtaki Makamu wa Rais Machar kwa uhaini, mauaji

    Sep 12, 2025 06:46

    Riek Machar, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini amefunguliwa mashitaka ya mauaji, uhaini na uhalifu dhidi ya binadamu.

  • Utekaji nyara wa wafanyakazi wa misaada huko Sudan Kusini ni zaidi ya maradufu

    Utekaji nyara wa wafanyakazi wa misaada huko Sudan Kusini ni zaidi ya maradufu

    Sep 11, 2025 11:29

    Idadi ya wafanyakazi wa misaada waliotekwa nyara nchini Sudan Kusini imeongezeka zaidi ya mara mbili mwaka huu. Takwimu hii imetolewa na maafisa wawili waandamizi wa masuala ya kibinadamu wanaofanya kazi katika makundi ya kimataifa.

  • Rais wa Sudan Kusini atuhumiwa kwa upendeleo baada ya kumteuwa binti yake katika cheo cha juu serikalini

    Rais wa Sudan Kusini atuhumiwa kwa upendeleo baada ya kumteuwa binti yake katika cheo cha juu serikalini

    Aug 27, 2025 10:40

    Adut Salva Kiir, binti wa Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ameteuliwa na baba yake kuwa Mjumbe wa Rais Anayehusika na Mipango Maalumu, kazi ambayo awali ilikuwa inafanywa na Makamu wa Rais wa sasa.

  • Jeshi la Sudan lakanusha kushambulia msafara wa misaada wa WFP katika jimbo la Darfur

    Jeshi la Sudan lakanusha kushambulia msafara wa misaada wa WFP katika jimbo la Darfur

    Aug 22, 2025 10:03

    Jeshi la Sudan (SAF) limekanusha madai yaliyotolewa wapiganaji wa Vikosi vya Usaidzi wa Haraka (RSF) kuwa limefanya mashambulizi ya angani dhidi ya msafara wa misaada wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) uliokuwa unapeleka misaada Darfur.

  • Uhamiaji wa kulazimishwa dhidi ya Wapalestina wa Gaza; kwa nini Israel inaitazama Afrika?

    Uhamiaji wa kulazimishwa dhidi ya Wapalestina wa Gaza; kwa nini Israel inaitazama Afrika?

    Aug 14, 2025 04:33

    Katika hali ambayo vita vya Gaza vinaendelea na hali mbaya ya kibinadamu katika ukanda huo imefikia kiasi kwamba makumi ya wakazi wa Gaza wanakufa kila siku, si tu kwa kupigwa risasi na askari wa Israel bali pia kutokana na njaa na kiu kali, Israel inafanya mazungumzo na nchi kadhaa za Kiafrika ili kuwahamishia huko kwa nguvu wakazi wa Gaza.

  • Rais wa Sudan Kusini amuuzulu mkuu wa majeshi baada ya kuhudumu kwa miezi 7 tu

    Rais wa Sudan Kusini amuuzulu mkuu wa majeshi baada ya kuhudumu kwa miezi 7 tu

    Jul 09, 2025 07:54

    Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amemfuta kazi mkuu wa majeshi baada ya kuhudumu katika wadhifa huo kwa muda wa miezi saba tu na kumtangaza mkuu mpya atakayeshika nafasi hiyo.

  • Mkuu wa UN atiwa wasiwasi na hali kuzidi kuwa tete Sudan Kusini

    Mkuu wa UN atiwa wasiwasi na hali kuzidi kuwa tete Sudan Kusini

    Mar 28, 2025 07:00

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema anasikitishwa sana na kuendelea kushtadi taharuki na hali ya mambo nchini Sudan Kusini.

  • Muungano wa Madaktari wa Sudan Kusini waitaka serikali kushughulikia mlipuko wa kipindupindu

    Muungano wa Madaktari wa Sudan Kusini waitaka serikali kushughulikia mlipuko wa kipindupindu

    Mar 26, 2025 07:48

    Muungano wa Madaktari wa Sudan Kusini (SSDU) umeitaka serikali kushughulikia mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu unaoongezeka nchini humo. Ugonjwa wa kipindupindu tayari umeenea katika majimbo kadhaa ya Sudan Kusini na hivyo kuyaweka hatarini maisha ya maelfu ya watu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS