Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Macron: Si muhimu sasa suala la kuondolewa Assad madarakani huko Syria

    Macron: Si muhimu sasa suala la kuondolewa Assad madarakani huko Syria

    Jun 22, 2017 03:33

    Rais wa Ufaransa amesema kuwa, suala la kuondolewa madarakani Rais Bashar Assad wa Syria halipewi tena kipaumbele kwa ajili ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo katika mtazamo wa Ufaransa.

  • Mshauri wa Bashar al Assad: Syria haijaiacha pekee yake Palestina

    Mshauri wa Bashar al Assad: Syria haijaiacha pekee yake Palestina

    Jun 21, 2017 23:50

    Mshauri wa Rais wa Syria amesema kuwa maadui walitumia stratejia zao zote dhidi ya Syria, hata hivyo hawakufikiria kwamba Iran, Russia na Harakati ya Hizbullah zingesimama imara mbele ya stratejia hizo na kutoa pigo.

  • Kombora moja la IRGC liliwaangamiza magaidi 15 wa ISIS wakiwemo makamanda

    Kombora moja la IRGC liliwaangamiza magaidi 15 wa ISIS wakiwemo makamanda

    Jun 20, 2017 09:00

    Huku taarifa za hasara walizopata magaidi wa kundi la kitakfiri la ISIS au Daesh kufuatia hujuma ya makombora ya sita ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC huko Deir Ezzor nchini Syria zikiendelea kubainika, ripoti za hivi karibuni zinasema kombora moja liliangamiza magaidi 15.

  • Kichapo cha makombora ya Iran kwa magaidi wa Daesh (ISIS) katika eneo la  Deir Ezzor, Syria

    Kichapo cha makombora ya Iran kwa magaidi wa Daesh (ISIS) katika eneo la Deir Ezzor, Syria

    Jun 20, 2017 01:49

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) Jumapili usiku lilishambulia kwa makombora sita ya masafa ya kati ya ardhini kwa ardhini kamandi ya kijeshi ya magaidi wa kitakfiri wa Daesh (ISIS) katika eneo la Deir Ezzor mashariki mwa Syria.

  • Kombora moja tu la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran limewaangamiza Madaesh 50

    Kombora moja tu la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran limewaangamiza Madaesh 50

    Jun 19, 2017 22:43

    Duru katika medani za vita zimetangaza kuwa zaidi ya magaidi 50 wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) waliangamizwa baada ya kombora moja kati ya sita ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu kulenga kamandi ya kijeshi ya kundi hilo katika mji wa Al-Mayadin ulioko kwenye viunga vya Deir Ezzor mashariki mwa Syria.

  • Iran yavurumisha makombora ya balistiki hadi ngome za ISIS nchini Syria+VIDEO

    Iran yavurumisha makombora ya balistiki hadi ngome za ISIS nchini Syria+VIDEO

    Jun 18, 2017 23:31

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC limetangaza kuvurumisha makombora kadhaa ya balistiki hadi katika ngome ya magaidi wa ISIS katika eneo la Deir Ezzor nchini Syria kama njia ya kuwaadhibu magaidi waliohusika na hujuma za hivi karibuni mjini Tehran.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Israel inaunga mkono magaidi

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Israel inaunga mkono magaidi

    Jun 16, 2017 03:49

    Katibu Mkuu wa Umoja wa maraufa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unatoa himaya na uungaji mkono kwa makundi ya kigaidi likiwemo la Jabhat al-Nusra linaloendesha harakati zake huko nchini Syria.

  • Syria: Sababu ya kutokea mashambulio ya kigaidi mjini Tehran hii hapa

    Syria: Sababu ya kutokea mashambulio ya kigaidi mjini Tehran hii hapa

    Jun 14, 2017 11:06

    Balozi wa Syria nchini Iraq amesema kuwa, sababu kuu ya kutokea mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran, ni kutokana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi pekee iliyosimama kikweli na wananchi na serikali za Iraq na Syria kupambana na magenge ya kigaidi yaliyozivamia nchini hizo.

  • Mashtaka ya Syria kwa Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za Marekani na Daesh

    Mashtaka ya Syria kwa Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za Marekani na Daesh

    Jun 06, 2017 09:44

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imetuma barua kwa nyakati tofauti kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la umoja huo na kutangaza kwamba, hasara za kifedha na kiroho zilizosababishwa na mashambulio ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani dhidi ya wananchi wa nchi hiyo hazina tofauti na jinai za magaidi wa Daesh.

  • Watu 30 wauawa katika shambulizi la ndege za kivita za Marekani nchini Syria

    Watu 30 wauawa katika shambulizi la ndege za kivita za Marekani nchini Syria

    Jun 06, 2017 03:22

    Shambulio la ndege za kivita za muungano wa Marekani lililofanywa katika kambi ya wakimbizi ya al-Raqqa limeua watu 30.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS