Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Wanamuqawama washambulia kwa droni kambi ya wanajeshi vamizi wa Marekani huko Syria

    Wanamuqawama washambulia kwa droni kambi ya wanajeshi vamizi wa Marekani huko Syria

    Feb 22, 2024 03:36

    Wanamuqawama wameishambulia kambi ya kijeshi na vikosi vamizi vya Marekani huko mashariki mwa Syria kwa kutumia ndege isiyo na rubani (droni).

  • Viongozi wa Muqawama: Vita vya Ghaza si vita vya mwisho na Wazayuni

    Viongozi wa Muqawama: Vita vya Ghaza si vita vya mwisho na Wazayuni

    Feb 12, 2024 22:58

    Viongozi wa makundi mbalimbali ya muqawama wa Palestina wameonana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Damascus Syria na kusisitiza kuwa, mapambano ya taifa la Palestina tangu Wazayuni walipovamia ardhi za taifa hilo zaidi ya miaka 75 iliyopita, vimekuwepo na vitaendelea hadi kila shibri ya ardhi ya Palestina itakapokombolewa.

  • Iran: Israel haina uwezo wa kuendeleza vita Gaza hata kwa siku 1 bila ya uungaji mkono wa Marekani

    Iran: Israel haina uwezo wa kuendeleza vita Gaza hata kwa siku 1 bila ya uungaji mkono wa Marekani

    Feb 12, 2024 07:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hossein Amir-Abdollahian amesisitiza kuwa, iwapo Marekani itaacha kuuunga mkono utawala wa Kizayuni, utawala huo hautoweza kuendeleza vita dhidi ya Gaza hata kwa siku moja.

  • Mashambulizi makubwa dhidi ya Iraq na Syria; Chokochoko mpya za Marekani eneo la Asia Magharibi

    Mashambulizi makubwa dhidi ya Iraq na Syria; Chokochoko mpya za Marekani eneo la Asia Magharibi

    Feb 03, 2024 23:07

    Marekani ambayo kwa miaka kadhaa sasa imevuruga amani ya eneo la Magharibi mwa Asia kutokana na uwepo wake wa kijeshi katika eneo hilo ili kufanikisha malengo yake na ya washirika wake, imekuwa ikiyumbisha usalama wa eneo hilo nyeti na muhimu kwa kufanya mashambulizi na uvamizi wa mara kwa mara.

  • Taarifa ya Jeshi la Syria: Mashambulizi ya Marekani yanalenga kulirejesha kundi la Daesh

    Taarifa ya Jeshi la Syria: Mashambulizi ya Marekani yanalenga kulirejesha kundi la Daesh

    Feb 03, 2024 08:56

    Wizara ya Ulinzi ya Syria imesema leo kuwa mashambulizi ya jana ya Marekani katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo na Iraq yametekelezwa katika maeneo ambako jeshi la Syria linaendelea kupambana dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh.

  • Mshauri wa IRGC auawa shahidi katika shambulio la anga lililofanywa na Israel nchini Syria

    Mshauri wa IRGC auawa shahidi katika shambulio la anga lililofanywa na Israel nchini Syria

    Feb 02, 2024 10:39

    Mshauri wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC ameuawa shahidi kufuatia shambulio la ndege za kivita za utawala wa Kizayuni katika mji wa Aqrabah kusini mwa mji mkuu wa Syria Damascus, karibu na eneo la Sayeda Zainab.

  • Kan'ani: Kuna uhusiano mkubwa kati ya utawala gaidi wa Israel na Daesh

    Kan'ani: Kuna uhusiano mkubwa kati ya utawala gaidi wa Israel na Daesh

    Jan 21, 2024 04:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali jinai na uchokozi uliofanywa mapema jana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la raia huko al Mezza, Damascus mji mkuu wa Syria na kuuwa shahidi washauri watano wa kijeshi wa Iran na askari kadhaa wa Syria.

  • Washauri 5 wa  Iran wauawa shahidi katika shambulio la kigaidi la Israel huko Damascus

    Washauri 5 wa Iran wauawa shahidi katika shambulio la kigaidi la Israel huko Damascus

    Jan 20, 2024 23:13

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limetangaza kuwa washauri wake watano wa kijeshi wameuawa katika shambulizi la kigaidi la Israel katika mji mkuu wa Syria.

  • Muqawama wa Iraq wapiga kambi ya kijeshi ya Marekani huko Syria

    Muqawama wa Iraq wapiga kambi ya kijeshi ya Marekani huko Syria

    Jan 18, 2024 08:18

    Televisheni ya al Mayadeen imetangaza kuwa wanamuqawama wa Iraq wameishambulia kambi ya kijeshi ya Marekani ya hemo huko Syria kwa kutumia ndege zisizo na rubani.

  • Kuongezeka uwepo kijeshi wa Marekani huko Iraq na Syria

    Kuongezeka uwepo kijeshi wa Marekani huko Iraq na Syria

    Jan 16, 2024 10:57

    Marekani ilituma wanajeshi huko Iraq mwaka 2003 wakati ilipoivamia na kuikalia kwa mabavu nchi hiyo mwaka 2003; na kuhusu Syria pia Marekani ilituma wanajeshi wake nchini humo mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Kitakfiri la Daesh (ISIS) katika fremu ya Muungano wa Kimataifa wa eti kukabiliana na ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS