-
'Kusimama kidete Syria ni katika heshima za umma wa Kiislamu'
Sep 01, 2016 11:08Mwanaharakati mmoja wa Misri amesema kuwa, Syria ni katika mataifa ya kujivunia ya ulimwengu wa Kiislamu na kujilinda na kusimama kidete nchi hiyo ni heshima kwa umma wa Kiislamu.
-
Ripoti: Mashambulio ya anga yanayoongozwa na Marekani yameua zaidi ya watu 6,000 Syria
Aug 24, 2016 23:48Mashambulio ya anga yaliyofanywa na kile kinachoitwa Muungano wa kupambana na Daesh unaoongozwa na Marekani yameua zaidi ya watu 6,000 nchini Syria tangu muungano huo ulipoanzisha operesheni zake hizo mwishoni mwa mwaka 2014.
-
Serikali ya Damascus: Operesheni ya kijeshi ya Uturuki ndani ya ardhi ya Syria ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya kujitawala
Aug 24, 2016 10:32Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imelaani operesheni ya kijeshi ya Uturuki iliyopewa jina la Ngao ya Euphrates huko kaskazini mwa Syria na kueleza kuwa uingiliaji huo wa kijeshi wa Ankara ni ukiukaji wa wazi wa mamlaka ya kujitawala ya nchi hiyo.
-
Russia yasisitizia mazungumzo chanya baina yake na Iran na Uturuki kuhusu Syria
Aug 19, 2016 03:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, mazungumzo ya pande tatu yanayoendelea baina ya nchi hiyo na Iran na Uturuki kuhusu Syria ni yenye taathira chanya.
-
Ushirikiano wa kistratijia wa Iran na Russia katika kupambana na DAESH Syria na makelele ya Marekani
Aug 18, 2016 22:21Wizara ya Ulinzi ya Russia, siku chache zilizopita ilitangaza kupitia taarifa kuwa ndege za kivita za masafa marefu za nchi hiyo zimeruka kutokea kituo kimoja cha jeshi la anga la Iran na kufanya mashambulio dhidi ya ngome za makundi ya kigaidi ya Daesh na Jabhatu-Nusra (Fat-hu Sham).
-
Baghdad yairuhusu Russia kutumia anga yake dhidi ya Daesh
Aug 17, 2016 02:42Baghdad imesema kuwa Russia imeruhusiwa kwa masharti kutumia anga ya Iraq kuendesha mashambulizi dhidi ya kundi la Daesh huko Syria.
-
Magaidi 150 wa Daesh waangamizwa mashariki mwa Syria
Aug 05, 2016 23:18Jeshi la Syria limefanikiwa kuangamiza makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mkoa wa Deir Ez-Zour, mashariki mwa nchi mapema jana Ijumaa.
-
Assad: Wamagharibi hawawezi kuvumilia uhuru wa Syria
Jul 27, 2016 03:09Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema nchi za Magharibi zimeshindwa kuvumilia uhuru wa kujitawala Syria na ndiposa zikaanza kuunga mkono harakati za kigaidi nchini humo.
-
UN, Amnesty zalaani kuuawa watoto wa Syria na ndege za vita za Marekani
Jul 21, 2016 23:47Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umelaani vikali mauaji ya watoto wadogo katika hujuma ya anga ya ndege za Marekani kaskazini mwa Syria.
-
Assad: Nitakumbukwa kama muokozi wa uhuru wa Syria
Jul 14, 2016 11:22Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kwamba, anataraji kuwa historia itamkumbuka kama kiongozi aliyesimama kidete kutetea uhuru wa kujitawala nchi yake mbele ya chokochoko za mabeberu.