Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • 'Waziri wa Vita' wa ISIS athibitishwa kuangamizwa

    'Waziri wa Vita' wa ISIS athibitishwa kuangamizwa

    Jul 14, 2016 02:03

    Kundi la kigaidi la ISIS au Daesh limethibitisha kuangamizwa kamanda wake wa ngazi za juu, Omar al-Shishani, ambaye inasemekana aliuawa mwezi Machi.

  • Jeshi la Syria latangaza usitishwaji Vita Idul Fitr

    Jeshi la Syria latangaza usitishwaji Vita Idul Fitr

    Jul 06, 2016 23:52

    Jeshi la Syria limetangaza usitishwaji vita wa masaa 72 kote katika nchi hiyo kwa munasaba wa Siku Kuu ya Idul Fitr.

  • Rais wa Syria akosoa misimamo ya kindumakuwili ya Magharibi

    Rais wa Syria akosoa misimamo ya kindumakuwili ya Magharibi

    Jun 30, 2016 08:34

    Rais wa Syria amezikosoa nchi za Magharibi kwa kutekeleza siasa za kindumakuwili kuhusu nchi yake.

  • Wazayuni wanaona bora Daesh kuliko Bashar al Assad

    Wazayuni wanaona bora Daesh kuliko Bashar al Assad

    Jun 23, 2016 11:23

    Shirika la ujasusi wa kijeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kwa njia isiyo ya moja kwa moja uungaji mkono wake kwa genge la kitakfiri la Daesh na kutangaza kuwa, kundi hilo ni bora kwa utawala huo kulikoni serikali ya Rais Bashar al Assad huko Syria.

  • UN: Zaidi ya madaktari na wauguzi 700 wameuawa Syria

    UN: Zaidi ya madaktari na wauguzi 700 wameuawa Syria

    Jun 21, 2016 23:35

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa madaktari na wauguzi zaidi ya 700 wameuawa nchini Syria tangu nchi hiyo iliposhambuliwa na mamluki wanaosaidiwa na nchi kadhaa za kigeni miaka mitano iliyopita.

  • Saudia yakariri wito wake kwa Marekani kuishambulia kijeshi Syria

    Saudia yakariri wito wake kwa Marekani kuishambulia kijeshi Syria

    Jun 18, 2016 02:30

    Kwa mara nyingine tena utawala wa Saudi Arabia umeitaka Marekani kuishambulia kijeshi Syria na kusisitiza kuwa mashambulizi ya anga dhidi ya majengo ya serikali ndo yataweza kumuondoa mamlakani Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo.

  • Radiamali ya Syria kufuatia kuwepo vikosi ajinabi nchini humo

    Radiamali ya Syria kufuatia kuwepo vikosi ajinabi nchini humo

    Jun 15, 2016 23:21

    Damascus imekosoa kuwepo wanajeshi wa nchi za nje kaskazini mwa Syria.

  • Vita Syria si vya Shia na Suni, Saudi Arabia inazuia ukombozi wa Palestina

    Vita Syria si vya Shia na Suni, Saudi Arabia inazuia ukombozi wa Palestina

    Jun 14, 2016 09:49

    Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema Saudi Arabia sasa imekuwa kizingiti kikubwa katika ukombozi wa Palestina.

  • Magaidi wa ISIS waua  watu 20 katika Haram ya Bibi Zainab SA, Syria

    Magaidi wa ISIS waua watu 20 katika Haram ya Bibi Zainab SA, Syria

    Jun 11, 2016 10:58

    Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wametekeleza hujuma ya bomu na kuua watu 20 karibu na Haram ya Bibi Zainab SA katika viungo vya mji mkuu wa Syria, Damascus.

  • Israel inawapelekea 'futari' wapiganaji wa Daesh huko Syria

    Israel inawapelekea 'futari' wapiganaji wa Daesh huko Syria

    Jun 10, 2016 09:52

    Imerifiwa kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unawapelekea misaada ya chakula wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika maeneo ambayo yako chini ya udhibiti wao nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS