-
'Waziri wa Vita' wa ISIS athibitishwa kuangamizwa
Jul 14, 2016 02:03Kundi la kigaidi la ISIS au Daesh limethibitisha kuangamizwa kamanda wake wa ngazi za juu, Omar al-Shishani, ambaye inasemekana aliuawa mwezi Machi.
-
Jeshi la Syria latangaza usitishwaji Vita Idul Fitr
Jul 06, 2016 23:52Jeshi la Syria limetangaza usitishwaji vita wa masaa 72 kote katika nchi hiyo kwa munasaba wa Siku Kuu ya Idul Fitr.
-
Rais wa Syria akosoa misimamo ya kindumakuwili ya Magharibi
Jun 30, 2016 08:34Rais wa Syria amezikosoa nchi za Magharibi kwa kutekeleza siasa za kindumakuwili kuhusu nchi yake.
-
Wazayuni wanaona bora Daesh kuliko Bashar al Assad
Jun 23, 2016 11:23Shirika la ujasusi wa kijeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kwa njia isiyo ya moja kwa moja uungaji mkono wake kwa genge la kitakfiri la Daesh na kutangaza kuwa, kundi hilo ni bora kwa utawala huo kulikoni serikali ya Rais Bashar al Assad huko Syria.
-
UN: Zaidi ya madaktari na wauguzi 700 wameuawa Syria
Jun 21, 2016 23:35Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa madaktari na wauguzi zaidi ya 700 wameuawa nchini Syria tangu nchi hiyo iliposhambuliwa na mamluki wanaosaidiwa na nchi kadhaa za kigeni miaka mitano iliyopita.
-
Saudia yakariri wito wake kwa Marekani kuishambulia kijeshi Syria
Jun 18, 2016 02:30Kwa mara nyingine tena utawala wa Saudi Arabia umeitaka Marekani kuishambulia kijeshi Syria na kusisitiza kuwa mashambulizi ya anga dhidi ya majengo ya serikali ndo yataweza kumuondoa mamlakani Rais Bashar al-Assad wa nchi hiyo.
-
Radiamali ya Syria kufuatia kuwepo vikosi ajinabi nchini humo
Jun 15, 2016 23:21Damascus imekosoa kuwepo wanajeshi wa nchi za nje kaskazini mwa Syria.
-
Vita Syria si vya Shia na Suni, Saudi Arabia inazuia ukombozi wa Palestina
Jun 14, 2016 09:49Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesema Saudi Arabia sasa imekuwa kizingiti kikubwa katika ukombozi wa Palestina.
-
Magaidi wa ISIS waua watu 20 katika Haram ya Bibi Zainab SA, Syria
Jun 11, 2016 10:58Magaidi wa kundi la ISIS au Daesh wametekeleza hujuma ya bomu na kuua watu 20 karibu na Haram ya Bibi Zainab SA katika viungo vya mji mkuu wa Syria, Damascus.
-
Israel inawapelekea 'futari' wapiganaji wa Daesh huko Syria
Jun 10, 2016 09:52Imerifiwa kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unawapelekea misaada ya chakula wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika maeneo ambayo yako chini ya udhibiti wao nchini Syria.