Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Syria yaipongeza AU kwa kusimamisha uanachama wa Israel katika jumuiya hiyo

    Syria yaipongeza AU kwa kusimamisha uanachama wa Israel katika jumuiya hiyo

    Feb 07, 2022 23:19

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Syria imekaribisha uamuzi wa Umoja wa Afrika wa kusimamisha hadhi ya uanachama mwangalizi ya utawala wa Kizayuni Israel katika jumuiya hiyo.

  • Marekani yaua watoto, wanawake katika operesheni ya kijeshi Syria

    Marekani yaua watoto, wanawake katika operesheni ya kijeshi Syria

    Feb 03, 2022 09:18

    Kwa akali raia 13 wakiwemo watoto saba na wanawake watatu wameuawa katika operesheni ya kijeshi ya Marekani dhidi ya wakazi wa mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Rais wa Syria asifu na kupongeza sera na misimamo ya Oman kuhusiana na nchi yake

    Rais wa Syria asifu na kupongeza sera na misimamo ya Oman kuhusiana na nchi yake

    Feb 01, 2022 04:14

    Rais Bashar al Assad wa Syria ameipongeza Oman kutokana na nafasi yake kuu na yenye mlingano kuhusiana na nchi yake.

  • Takwa la Russia kwa ajili  ya kuondoka haraka vikosi vamizi ajinabi huko Syria

    Takwa la Russia kwa ajili ya kuondoka haraka vikosi vamizi ajinabi huko Syria

    Jan 29, 2022 08:46

    Dmitry Polyanskiy Naibu Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema katika hotuba yake katika kikao cha Baraza la Usalama la umoja huo kuwa Russia inataka kuondoka haraka iwezekanavyo vikosi vyote vamizi ajinabi ambavyo vipo kinyume cha sheria huko Syria.

  • Syria: Silaha za nyuklia za Israel zinatishia amani magharibi mwa Asia

    Syria: Silaha za nyuklia za Israel zinatishia amani magharibi mwa Asia

    Jan 28, 2022 07:01

    Mwakilishi wa Syria katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amezitaja silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni tishio kubwa kwa usalama na amani katika eneo la Magharibi mwa Asia.

  • Russia yatoa wito wa kuondoka majeshi ya kigeni katika ardhi ya Syria

    Russia yatoa wito wa kuondoka majeshi ya kigeni katika ardhi ya Syria

    Jan 28, 2022 03:20

    Naibu mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuondoka mara moja wanajeshi wote wa kigeni walioko nchini Syria.

  • Amir-Abdollahian: Mgogoro wa Syria hauwezi kutatuliwa bila kuzingatia wakimbizi, vikwazo

    Amir-Abdollahian: Mgogoro wa Syria hauwezi kutatuliwa bila kuzingatia wakimbizi, vikwazo

    Jan 16, 2022 08:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Kama suala la wakimbizi na vikwazo dhidi ya Syria halitazingatiwa, haitawezekana kusimamia utatuzi wa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia inayofaa."

  • Wanajeshi magaidi wa Marekani waiba makumi ya malori ya mafuta ya Syria

    Wanajeshi magaidi wa Marekani waiba makumi ya malori ya mafuta ya Syria

    Jan 10, 2022 08:33

    Duru za kiusalama za Syria zimetangaza kuwa, muungano vamizi unaoongozwa na wanajeshi magaidi wa Marekani umeiba malori mengine 79 ya mafuta ya Syria na kuyaingiza nchini Iraq.

  • Iran yalaani jinai za utawala wa Kizayuni za kushambuia maghala ya chakula nchini Syria

    Iran yalaani jinai za utawala wa Kizayuni za kushambuia maghala ya chakula nchini Syria

    Dec 29, 2021 08:26

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulio ya mara kwa mara ya utawala wa Kizayuni katika ardhi ya Syria hususan jinai zake za kushambulia maghala ya vyakula na madawa katika bandari ya Ladhakia.

  • Ershadi: Baraza la Usalama la UN liilazimishe Israel kuondoka Golan

    Ershadi: Baraza la Usalama la UN liilazimishe Israel kuondoka Golan

    Dec 21, 2021 04:50

    Balozi na Naibu Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuwahami na kuwasaidia watu na serikali ya Syria kwa ajili ya kukomboa ardhi yao inayokaliwa kwa mabavu na amesisitiza kuwa Baraza la Usalama linapaswa kuulazimisha utawala haramu wa Israel kuondoka Golan na kukomesha uvamizi na uchokozi wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS