Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Iraq kuendelea kushirikiana na Iran, Syria na Russia kupambana na Daesh

    Iraq kuendelea kushirikiana na Iran, Syria na Russia kupambana na Daesh

    Aug 26, 2020 23:34

    Kamandi ya operesheni za pamoja nchini Iraq imesisitiza kuwa, nchi hiyo itaendelea kushirikiana na Iran, Syria na Russia katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh yaani ISIS na kubadilishana taarifa.

  • Iran yaunga mkono utatuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Syria

    Iran yaunga mkono utatuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Syria

    Aug 26, 2020 08:33

    Mshauri wa ngazi za juu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya kisiasa amekutana na mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria na kusema Tehran inaunga mkono mchakato wa kutatua mgogoro wa Syria kwa njia sa kisiasa.

  • Ukosoaji wa Rais wa Syria kwa sera za Marekani, Uturuki na Utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yake

    Ukosoaji wa Rais wa Syria kwa sera za Marekani, Uturuki na Utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yake

    Aug 13, 2020 22:23

    Rais Bashar al Assad wa Syria amekosoa sera za Marekani, Uturuki na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi yake na kuitaja sheria ya Marekani ya Caesar kuwa ni "Uharamia wa Baharini".

  • Kabila la Akidat la nchini Syria laanzisha muqawama dhidi ya vikosi vya Marekani na wanamgambo wa SDF

    Kabila la Akidat la nchini Syria laanzisha muqawama dhidi ya vikosi vya Marekani na wanamgambo wa SDF

    Aug 10, 2020 20:58

    Kabila la Akidat katika mkoa wa Deir- ez Zor nchini Syria limeanzisha muqawama wa wananchi dhidi ya wanajeshi wa Marekani na waitifaki wao.

  • Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi

    Balozi wa Syria Tehran: Uchokozi wa Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran ni ugaidi

    Jul 25, 2020 22:11

    Balozi wa Syria mjini Tehran amesema, uchokozi wa ndege za kivita za Marekani dhidi ya ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria ni nembo na dhihirisho la ugaidi wa Marekani dhidi ya raia wakiwemo wanawake na watoto.

  • UN yasisitiza kuchungwa usalama wa ndege za abiria kufuatia chokochoko za ndege za kivita za Marekani

    UN yasisitiza kuchungwa usalama wa ndege za abiria kufuatia chokochoko za ndege za kivita za Marekani

    Jul 25, 2020 03:45

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, usalama wa safari za ndege za abiria inapasa uheshimiwe na nchi zote.

  • Ufunguo wa kutatua mgogoro wa Syria ni kulindwa mamlaka ya kujitawala na wananchi kuwa na nafasi katika utawala

    Ufunguo wa kutatua mgogoro wa Syria ni kulindwa mamlaka ya kujitawala na wananchi kuwa na nafasi katika utawala

    Jul 24, 2020 08:54

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kulindwa mamlaka ya kujitawala, mipaka na uhuru wa kisiasa Syria ni mambo ya dharura na pia wanajeshi wote wa kigeni walioko Syria wanapaswa kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo mara moja.

  • Vielelezo muhimu vya Uchaguzi wa Bunge nchini Syria

    Vielelezo muhimu vya Uchaguzi wa Bunge nchini Syria

    Jul 21, 2020 01:24

    Tarehe 19 Julai, wananchi wa maeneo tofauti ya Syria walijitokeza kwenye maeneo ya kupigia kura kwa ajili ya kushiriki katika Uchaguzi wa Bunge.

  • Walid al Muallim: Uchaguzi wa Bunge ni ushindi mwingine kwa taifa la Syria

    Walid al Muallim: Uchaguzi wa Bunge ni ushindi mwingine kwa taifa la Syria

    Jul 19, 2020 19:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa uchaguzi wa Bunge uliofanyika jana Jumapili nchini humo ni ushindi mwingine kwa taifa hilo na utakuwa ni sababu ya kupungua uingilaji wa kigeni kama ambavyo utatia kasi pia mchakato wa kuijenga upya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Deutsche Welle: Sera za Marekani na nchi za Magharibi nchini Syria zimeshindwa kikamilifu

    Deutsche Welle: Sera za Marekani na nchi za Magharibi nchini Syria zimeshindwa kikamilifu

    Jul 17, 2020 10:12

    Tovuti ya habari ya shirika la habari la Ujerumani Deutsche Welle DW imesisitiza kuwa, sera za Marekani na nchi za Ulaya huko Syria zimegonga mwamba na kushindwa kikamilifu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS