-
Russia: Misaada ya kibinadamu nchini Syria haipaswi kuwekewa masharti ya kisiasa
Jul 14, 2020 06:41Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesema kuwa misaada ya kibinadamu kwa ajili ya Syria haipaswi kuhusishwa na masuala ya kisiasa na kuzusha wasiwasi kwa baadhi ya watu.
-
Algeria yakosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria
Jul 12, 2020 23:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amekosoa misimamo ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na Libya na Syria.
-
Makubaliano ya pande zote ya Iran na Syria, maonyesho ya nguvu ya kambi ya Muqawama
Jul 10, 2020 01:54Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria ambazo ni washirika wa kistratijia katika eneo la Asia magharibi zimesaini makubaliano ya ushirikiano kamili katika nyanya za kiulinzi, kiusalama na kijeshi.
-
Iran na Syria zatiliana saini hati ya ushirikiano wa kijeshi na kiusalama
Jul 09, 2020 03:19Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Waziri wa Ulinzi wa Syria wametiliana saini mjini Damascus hati ya ushirikiano wa pande kadhaa katika nyanja za kijeshi, kiulinzi na kiusalama.
-
Syria yawakamata magaidi wanaofungamana na Marekani
Jul 07, 2020 22:33Jeshi la Syria limetangaza kutekeleza oparesheni ambayo imepelekea kukamatwa wanachama wa kundi la kigaidi ambalo linafungamana na Marekani mashariki mwa nchi hiyo.
-
Rais wa Ageria: Libya itakuwa Somalia mpya barani Afrika
Jul 05, 2020 04:49Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria amesema kuwa, hali inayoshuhudiwa sasa nchini Libya inafanana na ile ya Syria kutokana na nchi kadhaa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Hatua ya Uturuki ya kutuma jeshi kaskazini mwa Syria
Jul 03, 2020 02:37Uturuki imetangaza kuwa imetuma kundi jingine la kikosi maalumu cha jeshi la nchi hiyo katika eneo la Ras al Ain huko kaskazini mwa Syria.
-
Mchakato wa Astana; hakikisho la kupatikana amani, utawala huru na mamlaka ya kitaifa ya Syria
Jul 02, 2020 07:08Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Mchakato wa Astana ungali ndio mpango pekee uliofanikiwa kusaidia kutatua mgogoro wa Syria kwa njia ya amani.
-
Iran: Tutaendelea kuliunga mkono taifa la Syria, muqawama
Jun 18, 2020 12:33Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuliunga mkono na kusimama na taifa la Syria pamoja na kambi ya muqawama katika eneo.
-
Israel kujenga 'vitongoji 300 vya Trump' katika Milima ya Golan, Syria
Jun 15, 2020 02:23Utawala ghasibu wa Israel unapanga kujenga mamia ya vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika Miinuko ya Golan nchini Syria, vitakavyoitwa "Miinuko ya Trump".