-
UN: Watu zaidi ya 16,000 wamebaki bila makazi kutokana na mashambulio ya kijeshi ya Uturuki Syria
Oct 19, 2019 03:33Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa zaidi ya watu 16,000 wameachwa bila makazi kufuatia operesheni ya mashambulio ya kijeshi yaliyofanywa hivi karibuni na Uturuki kaskazini mwa Syria.
-
Syria yapinga kuundwa kinachodiwa 'eneo salama' kaskazini mwa nchi
Oct 18, 2019 03:53Syria imelaani jitihada za Uturuki za kunda eneo inalodai kuwa eti ni salama kaskazini mwa nchi hiyo na kuitaka Ankara iache kuingilia mambo yake ya ndani.
-
Bashar Assad: Syria itajibu kisheria mashambulizi ya Uturuki
Oct 17, 2019 23:57Rais Bashar al Assad wa Syria amesema hadi sasa nchi yake imeshatoa jibu kwa mashambulizi ya Uturuki na magaidi waitifaki wa Uturuki na kuongeza kuwa Syria itatumia uwezo wake wote wa kisheria kujibu mashambulizi dhidi yake.
-
Operesheni ya Uturuki imefanya watu laki 3 kuwa wakimbizi Syria
Oct 17, 2019 23:54Operesheni ya kijeshi ya Uturuki huko kaskazini mwa Syria iliyopewa jina la 'Chemchemi ya Amani' imepelekea watu zaidi ya laki tatu kuyahama makazi yao na kukimbilia usalama wao.
-
Bunge la Marekani lalaani hatua ya Trump kuondoa wanajeshi wa Marekani Syria
Oct 17, 2019 23:53Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuondoa wanajeshi wa Marekani kaskazini mwa Syria, jambo ambalo limewezesha Uturuki kushambulia eneo hilo, imekosolewa ndani ya Marekani.
-
Syria; ajenda kuu ya mazungumzo ya mjumbe wa Rais wa Russia mjini Tehran
Oct 17, 2019 06:55Mwakilishi maalumu wa Rais Vladimir Putin wa Russia amekuja hapa Tehran na kufanya mazungumzo na Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran na Mjumbe Maalumu wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu masuala ya Syria na wamejadiliana matukio ya hivi karibuni katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Hali mbaya kwa wanajeshi wa Marekani Syria, Washington yalazimika kushambulia kambi zake yenyewe
Oct 17, 2019 04:33Baada ya wanajeshi vamizi wa Marekani kulazimika kuondoka kaskazini mwa Syria, jeshi hilo vamizi limeamua kushambulia na kuteketeza kila kitu katika kambi zake ambazo linalazimika kuondoka kaskazini mwa Syria.
-
Sisitizo la Russia la kutatuliwa kisiasa hitilafu kati ya Uturuki na Syria
Oct 16, 2019 07:29Russia ikiwa moja ya nchi muhimu katika medani na matukio ya Syria imetangaza msimamo wake kuhusiana na mashambulio ya kijeshi ya Uturuki huko kaskazini mwa Syria.
-
Zarif ataka kusitishwa uvamizi wa kijeshi dhidi ya Syria
Oct 16, 2019 04:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kusitishwa uvamizi na mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Syria.
-
Trump na uvamizi wa Uturuki kaskazini mwa Syria; kutoka kubariki hadi vikwazo
Oct 15, 2019 23:26Licha ya kwamba awali rais wa Marekani alibariki uvamizi wa kijeshi wa Uturuki huko kaskazini mwa Syria lakini hivi sasa amegeuka kikamilifu na kutoa amri ya kuwekewa vikwazo Ankara.