Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Putin: Magaidi wanatorokea Libya, wakitokea Syria

    Putin: Magaidi wanatorokea Libya, wakitokea Syria

    Jul 05, 2019 02:48

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameonya kuwa, mgogoro wa kiusalama Libya huenda ukapanuka zaidi kutokana na wimbi la wananchama wa magenge ya kigaidi ambao wanatorokea nchi hiyo, wakitokea katika mkoa wa Idlib uliko kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Syria yaushtaki utawala wa Kizayuni wa Israel Umoja wa Mataifa

    Syria yaushtaki utawala wa Kizayuni wa Israel Umoja wa Mataifa

    Jul 02, 2019 03:14

    Syria imemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkuu wa Baraza la Usalama la Umoja huo ikilaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi hiyo na kusema uchokozi huo ni sehemu ya njama za Tel Aviv za kutaka kurefusha mgogoro nchini Syria.

  • Russia: Hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija

    Russia: Hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija

    Jun 08, 2019 22:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, hatua haribifu za nchi za Magharibi nchini Syria hazina natija yoyote.

  • Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Jun 08, 2019 07:37

    Mchezaji nyota wa klabu ya Arsenal mwenye asili ya Uturuki siku ya Ijumaa alifunga ndoa na barafu wake wa moyo mwenye uraia pacha wa Uturuki na Sweden, Amina Gulche.

  • Spika wa Bunge la Iran: Sera za Saudia na Imarati zitawadhuru siku za usoni

    Spika wa Bunge la Iran: Sera za Saudia na Imarati zitawadhuru siku za usoni

    Jun 02, 2019 10:55

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema sera za Saudi Arabia na Imarati (UAE) zitawadhuru katika siku za usoni.

  • Walid al Mualim: Mzingiro wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya Syria ni aina ya ugaidi

    Walid al Mualim: Mzingiro wa kiuchumi wa Marekani dhidi ya Syria ni aina ya ugaidi

    May 30, 2019 03:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa mzingiro wa kiuchumi wa Marekani na baadhi ya nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya na katika eneo dhidi ya wanachi wa Syria ni aina fulani ya ugaidi.

  • Takwa la Moscow na Damascus la kuondoka askari wa Marekani nchini Syria

    Takwa la Moscow na Damascus la kuondoka askari wa Marekani nchini Syria

    May 30, 2019 03:22

    Licha ya kutangazwa kwa mara ya kwanza na Rais Donald Trump wa Marekani habari ya kuondoka askari wa nchi yake kutoka Syria, hapo tarehe 19 Disemba mwaka jana, lakini hadi sasa Washington imeendelea kusisitizia kubakisha askari wake nchini humo.

  • Magaidi 350 waangamizwa na jeshi la Syria katika kipindi cha siku 4

    Magaidi 350 waangamizwa na jeshi la Syria katika kipindi cha siku 4

    May 25, 2019 21:58

    Kituo cha uratibu cha Russia katika kambi ya kijeshi ya Mheimim ya magharibi mwa Syria kimetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 350 katika mkoa wa Idlib wa kaskazini magharibi mwa nchi hiyo, kwenye kipindi cha siku nne zilizopita.

  • OIC yaitaka Israel ikabidhi maeneo yote iliyoghusubu ikiwemo Golan

    OIC yaitaka Israel ikabidhi maeneo yote iliyoghusubu ikiwemo Golan

    May 11, 2019 03:21

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukabidhi maeneo yote ulioyaghusubu ikiwemo Miinuko ya Golan ya Syria.

  • Amnesty: Muungano wa kijeshi wa Marekani uliua raia 1,600 Raqqa, Syria

    Amnesty: Muungano wa kijeshi wa Marekani uliua raia 1,600 Raqqa, Syria

    Apr 26, 2019 09:49

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kuwa, muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Marekani uliua mamia ya raia katika mji wa Raqqa, kaskazini mashariki mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS