Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Jeshi la Syria latungua makombora 9 yaliyolenga viwanja vya ndege vya kijeshi

    Jeshi la Syria latungua makombora 9 yaliyolenga viwanja vya ndege vya kijeshi

    Apr 16, 2018 23:18

    Jeshi la Syria mapema leo asubuhi limetungua makombora tisa ambayo yalikuwa yamelenga viwanja vya ndege vya kijeshi vya Shayrat mkoani Homs na Al Dumayr katika viunga vya mji mkuu Damascus.

  • Jebeli: Hujuma ya Marekani na Waitifaki wake Syria haiathiri utendaji wa muqawama

    Jebeli: Hujuma ya Marekani na Waitifaki wake Syria haiathiri utendaji wa muqawama

    Apr 15, 2018 09:40

    Mkuu wa Kitengo cha Kimataifa cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Hujuma ya Marekani na waitifaki wake dhidi ya Syria haijawa na taathira hasi katika utendaji wa jeshi na taifa la Syria pamoja na harakati ya mapambano au muqawama."

  • Maandamano yafanyika Marekani chini ya nara

    Maandamano yafanyika Marekani chini ya nara " Hatutaki vita Syria"

    Apr 15, 2018 09:32

    Makumi ya wananchi wa Marekani wanaopinga vita wamefanya maandamano katika miji mbalimbli ya nchi hiyo kulalamikia kushambuliwa kijeshi Syria. Wanaharakati hao wanaopinga vita wameandamana baada ya kutekelezwa mashambulizi ya makombora dhidi ya Syria chini ya uongozi wa Marekani.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran alaani hujuma hujuma dhidi ya Syria

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran alaani hujuma hujuma dhidi ya Syria

    Apr 15, 2018 09:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amempigia simu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kutoa maelezo kuhusu kushiriki nchi yake katika hujuma ya makombora dhidi ya Syria.

  • Larijani: Mashambulio dhidi ya Syria ni unyama na ni kinyume na sheria za kimataifa

    Larijani: Mashambulio dhidi ya Syria ni unyama na ni kinyume na sheria za kimataifa

    Apr 15, 2018 03:00

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mashambulio ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria ni unyama na ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa.

  • Wanasiasa wa Ufaransa walaani kushiriki Macron katika mashambulizi dhidi ya Syia

    Wanasiasa wa Ufaransa walaani kushiriki Macron katika mashambulizi dhidi ya Syia

    Apr 14, 2018 23:29

    Hatua ya Ufaransa ya kushiriki katika mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Uingereza dhidi ya Syria imekabiliwa na wimbi la malalamiko kutoka kwa wanasiasa wa nchi hiyo.

  • Msimamo mkali wa Russia dhidi ya mashambulizi ya nchi za Magharibi huko Syria

    Msimamo mkali wa Russia dhidi ya mashambulizi ya nchi za Magharibi huko Syria

    Apr 14, 2018 23:27

    Hatimaye nchi za Magharibi zimetekeleza vitisho vyao vya kuishambulia Syria. Alfajiri ya Jumamosi ya jana Marekani, Ufaransa na Uingereza zilishambulia kwa makombora maeneo kadhaa ya Syria.

  • Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi dhidi ya Syria ni jinai, Marekani itashindwa

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi dhidi ya Syria ni jinai, Marekani itashindwa

    Apr 14, 2018 12:57

    Mapema leo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja mashambulizi yaliofanywa alfajiri ya leo na nchi za Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria kuwa ni jinai na uhalifu na kusema kuwa: Marais wa Marekani na Ufaransa na Waziri Mkuu wa Uingereza ni wahalifu waliotenda jinai.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria

    Apr 14, 2018 09:27

    Mapema leo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja mashambulizi yaliofanywa alfajiri ya leo na nchi za Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria kuwa ni jinai na uhalifu na kusema kuwa: Marais wa Marekani na Ufaransa na Waziri Mkuu wa Uingereza ni wahalifu waliotenda jinai.

  • Nasrullah: Israel imejichimbia kaburi kwa kuishambulia kijeshi Syria

    Nasrullah: Israel imejichimbia kaburi kwa kuishambulia kijeshi Syria

    Apr 14, 2018 03:09

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya makosa makubwa zaidi kwa kuwashambulia wanajeshi wa Iran ulipolenga kituo cha anga cha Syria hivi karibuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS