Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Kujiuzulu  Mullah Mohammad Hassan Akhund Mkuu wa serikali ya Taliban ya Afghanistan, na kuteuliwa mrithi wake

    Kujiuzulu Mullah Mohammad Hassan Akhund Mkuu wa serikali ya Taliban ya Afghanistan, na kuteuliwa mrithi wake

    May 19, 2023 01:36

    Duru za Afghanistan zimetangaza kuwa Mullah Mohammad Hassan Akhund aliyekuwa Waziri Mkuu wa serikali ya Taliban nchini humo amejiuzulu wadhifa huo na tayari mrithi wake ameteuliwa.

  • Umoja wa Mataifa kujadili na kuamua kuhusu uhalali wa utawala wa Taliban

    Umoja wa Mataifa kujadili na kuamua kuhusu uhalali wa utawala wa Taliban

    Apr 19, 2023 05:54

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa: taasisi hiyo itachunguza upya suala la uhalali wa serikali ya Taliban nchini Afghanistan ndani ya kipindi cha wiki mbili zijazo.

  • Msimamo wa Umoja wa Mataifa kwa marufuku waliyowekewa wanawake wa Afghanistan wasihudumu katika ofisi za umoja huo

    Msimamo wa Umoja wa Mataifa kwa marufuku waliyowekewa wanawake wa Afghanistan wasihudumu katika ofisi za umoja huo

    Apr 08, 2023 03:00

    Umoja wa Mataifa umefunga ofisi zake zote nchini Afghanistan masaa 48 baada ya serikali ya Taliban kuwapiga marufuku wanawake kufanya kazi katika ofisi ya Umoja wa Mataifa mkoani Nangarhar.

  • Taliban: Waafghani ndio walengwa wakuu wa mashambulio ya DAESH (ISIS)

    Taliban: Waafghani ndio walengwa wakuu wa mashambulio ya DAESH (ISIS)

    Mar 28, 2023 11:42

    Naibu Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Taliban anayehusika na masuala ya kisiasa amesema, wananchi wa Afghanistan ndio walengwa wakuu wa hujuma na mashambulio ya kundi la kigaidi la DAESH (ISIS).

  • Onyo la Putin kuhusu kukithiri kwa vitisho vya kigaidi nchini Afghanistan

    Onyo la Putin kuhusu kukithiri kwa vitisho vya kigaidi nchini Afghanistan

    Feb 12, 2023 02:34

    Rais wa Russia, Vladimir Putin amesema kwamba: "Tishio la ugaidi limeongezeka baada ya Marekani kuondoka Afghanistan."

  • Hassan Qomi: Iran inashirikiana na serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan

    Hassan Qomi: Iran inashirikiana na serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan

    Jan 12, 2023 04:17

    Mjumbe Maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Masuala ya Afghanistan ameeleza kuwa: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inashirikiana na serikaliya muda ya Taliban katika nyanja mbalimbali ikiwemo nyanja ya kiuchumi kwa kuzingatia siasa za kuwasaidia wananchi wa Afghanistan.

  • Taliban: Mauaji aliyofanya mwanamfalme wa Uingereza Afghanistan ni

    Taliban: Mauaji aliyofanya mwanamfalme wa Uingereza Afghanistan ni "uhalifu wa kivita"

    Jan 07, 2023 07:19

    Kufuatia kauli ya mwanamfalme wa Uingereza Harry, ya kuungama kwamba aliua Waafghani 25 wakati wa vita nchini Afghanistan, maafisa wa serikali ya Taliban wametangaza kuwa hatua hiyo ya mwanamfalme huyo wa Uingereza ni uhalifu wa kivita.

  • Al-Azhar yasema Taliban imekiuka sheria za Kiislamu kwa kuzuia wanawake kusoma vyuo vikuu

    Al-Azhar yasema Taliban imekiuka sheria za Kiislamu kwa kuzuia wanawake kusoma vyuo vikuu

    Dec 24, 2022 07:02

    Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri ameutaka utawala wa Taliban kuondoa marufuku ya elimu ya juu kwa wanawake nchini Afghanistan.

  • Umoja wa Mataifa na kutotoa kiti kwa serikali ya Taliban

    Umoja wa Mataifa na kutotoa kiti kwa serikali ya Taliban

    Dec 17, 2022 11:29

    Umoja wa Mataifa umepuuza na kutupilia mbali takwa la serikali ya Taliban na hivyo kwa mara nyingine tena kukikabidhi kiti cha uwakilishi wa Afghanistan katika umoja huo kwa Nasir Ahmad Faiq Mwakilishi wa Kudumu wa Afghanistan katika Umoja wa Mataifa.

  • Kukaribia kumalizika muhula wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan

    Kukaribia kumalizika muhula wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan

    Nov 08, 2022 02:27

    Msemaji wa serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan amesema kipindi cha uongozi wa serikali hiyo kitamalizika baada ya muda si mrefu ujao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS