Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Magufuli awaambia polisi: Wakamateni wale wote wanaovihusisha vyombo vya usalama na matukio ya kupotea watu

    Magufuli awaambia polisi: Wakamateni wale wote wanaovihusisha vyombo vya usalama na matukio ya kupotea watu

    Jan 13, 2020 04:47

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amelitaka jeshi la polisi kuwakamata na kuwachukulia hatua kali za kisheria watu wanaovihusisha vyombo vya ulinzi na usalama ikiwamo Idara ya Usalama wa Taifa (Tiss), na matukio ya kupotea na kutekwa nyara watu.

  • Wazanzibar: Miaka 56 baadaye, malengo ya Mapinduzi hayajafikiwa

    Wazanzibar: Miaka 56 baadaye, malengo ya Mapinduzi hayajafikiwa

    Jan 12, 2020 13:14

    Sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanyika leo Jumapili katika Uwanja wa Abeid Aman Karume kisiwani Unguja.

  • Mkuu wa Mkoa wa Tabora afuta mapumziko ya Mwaka Mpya; watu wakalime pamba + Sauti

    Mkuu wa Mkoa wa Tabora afuta mapumziko ya Mwaka Mpya; watu wakalime pamba + Sauti

    Dec 15, 2019 12:50

    Nchini Tanzania, Mkuu wa mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, ameagiza kuakhirishwa likizo ya A-Mass na mwaka mpya kwa maafisa wa kilimo na maafisa wote katika kipindi hiki cha mvua, ili watoke waende vijijini wakawahimize wananchi kulima pamba kwa ubora unaotakiwa. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam, Tanzania

  • SAUTI, Usikose kutegea sikio ripoti ya matukio ya Kiislamu, kuanzia Tanzania hadi nchini Kenya

    SAUTI, Usikose kutegea sikio ripoti ya matukio ya Kiislamu, kuanzia Tanzania hadi nchini Kenya

    Dec 13, 2019 13:09

    Ripoti hii ya matukio ya Kiislamu imesheheni habari za Ijtimai iliyofanyika visiwani Zanzibar, ukaguzi wa msikiti mkubwa zaidi eneo la jangwa la sahara unaojengwa na Mfalme wa Sita wa Morocco nchini Tanzania, safari ya Mufti wa Tanzania Abubakar Zuberi nchini Morocco kuhudhuria kongamano la Kiislamu na hadi mjini Nyeri nchini Kenya.

  • Wanyamapori waua watu 96 nchini Tanzania

    Wanyamapori waua watu 96 nchini Tanzania

    Dec 09, 2019 04:38

    Watu zaidi ya 96 wameuawa na wengine 90 wamejeruhiwa kutokana na wanyamapori waliovamia mashamba na maeneo ya makazi nchini Tanzania tangu Julai mwaka 2018 hadi Julai mwaka 2019.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania ajitoa Chadema + Video

    Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania ajitoa Chadema + Video

    Dec 04, 2019 08:14

    Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania, Frederick Tluway Sumaye ameng'oka rasmi kwenye chama cha upinzani cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA.

  • Amnesty International: Uamuzi wa Tanzania katika Mahakama ya Afrika utazidisha ukandamizaji

    Amnesty International: Uamuzi wa Tanzania katika Mahakama ya Afrika utazidisha ukandamizaji

    Dec 03, 2019 10:49

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International, limesema uamuzi wa Tanzania kujitoa katika kifungu kinachowawezesha raia na mashirika yasiyo ya kiserikali kuishtaki serikali katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu yenye makao yake katika mji wa Arusha unahatarisha ongezeko la ukandamizaji nchini humo.

  • Tundu Lissu: Ninaogopa kurudi Tanzania halafu nipigwe tena risasi

    Tundu Lissu: Ninaogopa kurudi Tanzania halafu nipigwe tena risasi

    Nov 29, 2019 08:59

    Aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki kupitia tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) nchini Tanzania, Tundu Lissu amesema kwamba, atarejea nchini humo baada ya  marafiki zake kumhakikishia usalama wake.

  • SAUTI, Mfumo wa Taifa wa Bima ya Afya Tanzania waja na mpango wa kifurushi uliokosolewa na wanasiasa

    SAUTI, Mfumo wa Taifa wa Bima ya Afya Tanzania waja na mpango wa kifurushi uliokosolewa na wanasiasa

    Nov 28, 2019 13:04

    Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini Tanzania (NHIF) umekuja na njia ambayo imetajwa kuwa ni suluhisho la wananchi wengi wenye hali ngumu kukosa huduma hiyo.

  • Chama Tawala Tanzania: Kiongozi wa serikali atakayeshirikiana na mashirika ya kimataifa nchini atapoteza kazi

    Chama Tawala Tanzania: Kiongozi wa serikali atakayeshirikiana na mashirika ya kimataifa nchini atapoteza kazi

    Nov 28, 2019 11:22

    Katibu Mkuu wa chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Dk Bashiru Ally  amewaonya mawaziri na watendaji wa chama hicho tawala nchini humo kwa kuwataka waache kushirikiana na asasi na mashirika ya kimataifa yasiyoshirikiana na serikali na kusisitiza kuwa yeyote atakayebainika kufanya hivyo basi atapoteza kazi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS