Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Mvua, radi na mafuriko yaua watu 10 nchini Tanzania

    Mvua, radi na mafuriko yaua watu 10 nchini Tanzania

    Nov 25, 2019 08:53

    Watu tisa wa familia mbili wamefariki dunia katika wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza nchini Tanzania, baada ya nyumba zao kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali duniani.

  • Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wafanyika leo Tanzania ukisusiwa na vyama muhimu vya upinzani

    Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wafanyika leo Tanzania ukisusiwa na vyama muhimu vya upinzani

    Nov 24, 2019 12:05

    Uchaguzi wa Serikali za Mitaa umefanyika leo nchini Tanzania ukisusiwa na vyama vingi kikiwemo chama kikuu cha upinzani, CHADEMA.

  • Watanzania kuwachagua kesho viongozi wa serikali za mtaa katika uchaguzi uliosusiwa na wapinzani

    Watanzania kuwachagua kesho viongozi wa serikali za mtaa katika uchaguzi uliosusiwa na wapinzani

    Nov 23, 2019 13:36

    Kesho Watanzania watawachagua viongozi wa serikali za mitaa katika uchaguzi ambao umesusiwa na vyama muhimu vya upinzani nchini humo.

  • Mahakama  imeakhirisha kwa mara ya nane kusikiliza kesi inayomkabili mwandishi habari Kabendera

    Mahakama imeakhirisha kwa mara ya nane kusikiliza kesi inayomkabili mwandishi habari Kabendera

    Nov 20, 2019 09:49

    Mahakama nchini Tanzania leo imeakhirisha kwa mara ya nane kusikiliza kesi inayomkabili mwandishi habari mashuhuri wa nchi hiyo aliyekamatwa mwezi Julai mwaka huu.

  • Hali ya kisiasa Tanzania kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

    Hali ya kisiasa Tanzania kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

    Nov 17, 2019 23:17

    Huku zikiwa zimesalia siku chache kabla ya kufanyika uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania, chama cha Mapinduzi (CCM) ambacho ndio chama tawala kimetoa taarifa ya kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Novemba 24 mwaka huu.

  • Chama kingine cha siasa Tanzania chajitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM: Haturudi nyuma

    Chama kingine cha siasa Tanzania chajitoa uchaguzi wa serikali za mitaa, CCM: Haturudi nyuma

    Nov 14, 2019 04:41

    Wimbi la vyama vya siasa nchini Tanzania kujiengua katika uchaguzi wa serikali za mitaa limeendelea kushuhudiwa baada ya chama cha NLD nacho kuungana na vyama vingine sita vilivyochukua hatua hiyo.

  • Watu sita wauawa Mtwara, Tanzania, Polisi waanzisha uchunguzi

    Watu sita wauawa Mtwara, Tanzania, Polisi waanzisha uchunguzi

    Nov 13, 2019 12:17

    Polisi nchini Tazania wameanzisha uchunguzi baada ya watu sita kuuawa katika kijiji cha Nongo, Wilaya ya Tandahimba, mkoani Mtawara.

  • Chama cha CUF nacho chajitoa katika uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania

    Chama cha CUF nacho chajitoa katika uchaguzi wa serikali za mitaa nchini Tanzania

    Nov 12, 2019 09:51

    Habari kutoka Dar es Salaam nchini Tanzania zinasema kuwa Chama cha Wananchi (CUF) nchini humo hatimaye kimejitoa katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliopangwa kufanyika Novemba 24 mwaka huu.

  •  EUROMONEY: Ustawi Tanzania utadorora kutokana na ukandamizaji wa kisiasa

    EUROMONEY: Ustawi Tanzania utadorora kutokana na ukandamizaji wa kisiasa

    Nov 06, 2019 04:21

    Jarida la Euromoney limesema Tanzania itakumbwa na matatizo ya kutekeleza mahitajio yake ya miundo msingi kutokana na hali ya kisiasa yenye kuibua changamoto.

  • Freeman Mbowe: Chadema tunaamini kwamba CCM imeshindwa kabisa kutekeleza ndoto za Watanzania

    Freeman Mbowe: Chadema tunaamini kwamba CCM imeshindwa kabisa kutekeleza ndoto za Watanzania

    Nov 05, 2019 11:38

    Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo nchini Tanzania (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa chama tawala CCM kimeshindwa kutekeleza ndoto za Watanzania za kuwajengea maisha bora na ustawi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS