-
Tanzania yalaumiwa vikali kwa kutopigia kura azimio la UN la kutetea Waislamu wa Myanmar
Nov 20, 2017 04:22Mbunge mashuhuri katika bunge la Tanzania ameikosoa vikali serikali ya nchi hiyo kwa hatua yake ya kutopigia kura azimio la Umoja wa Mataifa linalotaka serikali ya Myanmar ikomeshe operesheni za kijeshi zinazolenga kukandamiza jamii ya wachache ya Waislamu Warohingya nchini humo.
-
Tanzania: Ni aibu kuomba misaada nje ya nchi, jambo hilo linalidhalilisha taifa
Nov 19, 2017 04:32Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Philip Mpango amesema kuwa, ni aibu kuomba misaada nje ya nchi na kuongeza kwamba, binafsi amechoka kufanya hivyo kwa kuwa kitendo hicho kinalidhalilisha taifa.
-
Miili ya watu 11 waliofariki dunia katika ajali ya ndege Tanzania yapatikana
Nov 16, 2017 12:35Miili ya abiria 10 na rubani mmoja waliopoteza maisha katika ajali ya ndege iliyotokea jana nchini Tanzania imepatikana.
-
SAUTI, Ripoti ya Human Right Watch kuhusu unyanyaswaji wa Watanzania huko Uarabuni yazuiliwa na serikali TZ
Nov 14, 2017 15:12Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Right Watch, limezuiliwa kutoa ripoti yake kuhusiana na uchunguzi wa hali ya watumishi wa ndani wa Kitanzania katika nchi za Kiarabu hususan Oman, Umoja wa Falme za Kiarabu na Saudia.
-
Watu 18 wapoteza maisha kwa ugonjwa wa kipindupindu nchini Tanzania kuanzia Septemba
Nov 12, 2017 04:47Wizara ya Afya nchini Tanzania imetangaza kuwa, jumla ya watu 18 wamepoteza maisha kwa ugonjwa wa kipindupindu.
-
Magufuli na Museveni walaani uamuzi wa ICC kuhusu Burundi
Nov 11, 2017 12:24Marais wa Tanzania na Uganda wamelaani uamuzi ulitolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), ambayo imemuagiza Mwendesha Mashtaka wake, Fatou Bensouda kuanzisha uchunguzi wa vitendo vya kihalifu dhidi ya binadamu vilivyotokea nchini Burundi.
-
SAUTI, Waziri Mkuu Tanzania: Hakuna haja ya kutumwa wachunguzi wa kigeni kwani vyombo vyetu vinaweza
Nov 09, 2017 11:45Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amepinga ombi la upinzani nchini humo la kutaka kuagizwa timu ya wachunguzi wa kigeni ili kufuatilia wahusika wa vitendo vya utekaji nyara na mashambulizi dhidi ya viongozi wa kisiasa hususan wa upinzani.
-
SAUTI, Kampuni ya RAHCO Tanzania, yatakiwa kuwalipa wananchi waliobomolewa nyumba zao Dar
Nov 08, 2017 12:56Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora nchini Tanzania, imetoa maamuzi ya malalamiko ya wakazi 72 wa kata ya Mnyamani, Vingunguti jijini Dar es Salaam kulipwa fidia kufuatia nyumba zao kubomolewa.
-
Kenya yapinga hatua ya Tanzania kupiga mnada zaidi ya Ng’ombe 1,300
Nov 08, 2017 12:06Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Amina Mohamed ameilalamikia serikali ya Tanzania kufuatia hatua ya taifa hilo kuwapiga mnada zaidi ya ng’ombe 1,300 walioingia nchini humo kinyume na sheria.
-
SAUTI, Wanafunzi wa elimu ya juu Dar, Tanzania waweka kambi nje ya majengo ya bodi ya mikopo kuililia serikali
Nov 07, 2017 11:58Wanafunzi wa elimu ya juu nchini Tanzania wameendelea kuweka kambi nje ya ofisi za bodi ya mikopo ya elimu ya juu jijini Dar es Salaam.