Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Waziri aliyepigwa kalamu nyekundu na Rais Magufuli kwa ulevi, aendelea kusakamwa na tuhuma

    Waziri aliyepigwa kalamu nyekundu na Rais Magufuli kwa ulevi, aendelea kusakamwa na tuhuma

    May 22, 2016 03:53

    Ikiwa ni siku moja baada ya Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Charles Kitwanga kupigwa kalamu nyekundu na Rais John Pombe Magufuli kutokana na ulevi, wanasiasa na wasomi mbalimbali nchini humo wameendelea kumbana zaidi wakisema hatua hiyo ya rais imekuja ikiwa imechelewa.

  • Bakwata yalaani rasmi shambulio la msikitini mjini Mwanza, Tanzania

    Bakwata yalaani rasmi shambulio la msikitini mjini Mwanza, Tanzania

    May 21, 2016 23:51

    Baraza Kuu la Waislamu Tanzania, (Bakwata) limelaani mauaji ya hivi karibuni yaliyofanywa na watu wanaodhaniwa kuwa wakufurishaji katika msikiti mmoja jijini Mwanza.

  • Waliovamia Msikiti Mwanza na kuua watu walikuwa na bendera za ISIS (Daesh)

    Waliovamia Msikiti Mwanza na kuua watu walikuwa na bendera za ISIS (Daesh)

    May 20, 2016 11:57

    Genge la watu waliouhujumu msikiti mmoja wa mjini Mwanza kaskazini mwa Tanzania Jumatano usiku na kutekeleza mauaji walikuwa na bendera za kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.

  • Serikali ya Burundi yasema itashiriki mazungumzo ya amani Tanzania

    Serikali ya Burundi yasema itashiriki mazungumzo ya amani Tanzania

    May 19, 2016 23:37

    Serikali ya Burundi imesema, itahudhuria mazungumzo ya amani ya nchi hiyo yaliyopangwa kufanyika mjini Arusha, Tanzania kwa usuluhishi wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC).

  • Matakfiri wavamia msikiti Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji

    Matakfiri wavamia msikiti Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji

    May 19, 2016 11:57

    Watu wanaodhaniwa kuwa ni wakufurishaji wamevamia msikiti wa ‘Masjid Rahma’ mkoani Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji.

  • Matakfiri wavamia msikiti Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji

    Matakfiri wavamia msikiti Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji

    May 19, 2016 11:23

    Watu wanaodhaniwa kuwa ni wakufurishaji wamevamia msikiti wa ‘Masjid Rahma’ mkoani Mwanza, Tanzania na kufanya mauaji.

  • Wizara ya Ulinzi Tanzania: Tumejiweka tayari kukabiliana na ugaidi

    Wizara ya Ulinzi Tanzania: Tumejiweka tayari kukabiliana na ugaidi

    May 11, 2016 23:42

    Serikali ya Tanzania imesema kuwa hali ya ulinzi na usalama wa mipaka yote ya nchi hiyo ni shwari na kwamba imejipanga kukabiliana na wimbi la makundi ya kigaidi.

  • Tanzania kuendelea kuwa rafiki wa Palestina

    Tanzania kuendelea kuwa rafiki wa Palestina

    May 10, 2016 23:47

    Gazeti moja la kila siku la nchini Tanzania limeandika makala changanuzi kuhusu historia ya uungaji mkono wa Tanzania kwa taifa madhlumu la Palestina.

  • Tanzania yatangaza vita dhidi ya uharibifu wa mazingira

    Tanzania yatangaza vita dhidi ya uharibifu wa mazingira

    May 02, 2016 23:53

    Serikali nchini Tanzania imesema kuwa, hali ya mazingira ya nchi hiyo ni mbaya kutokana na kukithiri kwa uharibifu mkubwa wa mazingira, ambapo kwa sasa takribani asilimia 61 ya ardhi yake iko kwenye hatarini ya kuwa jangwa.

  • Kikao cha Arusha kwa ajili ya amani ya Burundi chaahirishwa

    Kikao cha Arusha kwa ajili ya amani ya Burundi chaahirishwa

    May 01, 2016 23:29

    Mazungumzo ya amani ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini Burundi ambayo yalitazamiwa kuanza leo Jumatatu mjini Arusha nchini Tanzania yameahirishwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS