-
Benki za Kiislamu Tanzania zakumbatiwa na wasiokuwa Waislamu
Apr 06, 2022 21:27Benki za Kiislamu nchini Tanzania zimeendelea kupata umaarufu na kupongezwa kwa huduma zao, na sasa zinawavutia kwa wingi hata wateja wasiokuwa Waislamu nchini humo.
-
Rais Samia avitaka vyama vya kisiasa Tanzania kushiriki katika kuleta maendeleo ya taifa
Apr 05, 2022 07:17Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amehudhuria Mkutano wa Kitaifa wa Maridhiano, Haki na Amani ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
-
Uhaba wa mafuta ya petroli wawalazimisha Wakenya kwenda Tanzania kuyatafuta
Apr 02, 2022 08:33Uhaba wa mafuta ya petroli katika Kaunti ya Kwale, Pwani ya Kenya umewalazimisha madereva kusafiri hadi katika nchi jirani ya Tanzania kupitia mpaka wa Lungalunga ili kutafuta bidhaa hiyo muhimu, huku wafanyabiashara wakipandisha bei kutokana na uhaba mkubwa wa bidhaa hiyo nchini Kenya.
-
Kongamano la Idhaa za Kiswahili lamalizika Tanzania, waandishi waaswa kutochanganya Kiswahili na Kiingereza
Mar 21, 2022 08:47Kongamano la kimataifa la Idhaa za Kiswahili limemalizika mjini Arusha Tanzania, kwa washiriki, hasa waandishi wa habari, kukumbushwa umuhimu wa kutekeleza jukumu lao la kuzungumza lugha fasaha ya Kiswahili ili wananchi wanaowasikiliza waweze kujifunza kutoka kwao.
-
Tanzania yakaribisha pendekezo la Iran la kutoa elimu na mafunzo ya ujuzi kwa wanawake wa nchi hiyo
Mar 20, 2022 06:27Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu wa Tanzania amekaribisha pendekezo lililotolewa na Makamu wa Rais wa Iran katika Masuala ya Wanawake na Familia la kuwapatia mafunzo ya ujuzi wanawake na wasichana wa Tanzania.
-
Mahakama Tanzania yamuachia huru Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe
Mar 04, 2022 08:54Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Freeman Mbowe na wenzake watatu, leo Ijumaa wamefutiwa mashtaka yote yaliyokuwa yakiwakabili katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi.
-
Mahakama Kuu ya Tanzania yasema, Mwenyekiti wa CHADEMA na wenzake watatu wana kesi ya kujibu
Feb 18, 2022 10:49Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imemkuta ana kesi ya kujibu Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu, katika mashtaka matano ya ugaidi yanayaowakabili .
-
Zanzibar yazindua teknolojia mpya ya kupima corona kwa simu
Feb 16, 2022 23:48Serikali ya Zanzibar jana Jumatano ilizindua rasmi teknolojia mpya inayoweza kutambua uwezekano wa maambukizi ya Covid-19 kwa muda mfupi kwa kutumia simu (EDE).
-
Watanzania 3 wakamatwa DRC wakituhumiwa kuwa wanachama wa ADF
Feb 08, 2022 04:16Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuwatia mbaroni raia watatu wa Tanzania, kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la wanamgambo wa ADF.
-
Dr. Tulia Ackson achaguliwa kuwa spika mpya wa Bunge la Tanzania
Feb 01, 2022 10:03Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemchagua Dk Tulia Ackson kuwa spika wa bunge hilo.