Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

uchaguzi wa bunge Iran

  • Kiongozi Muadhamu: Macho ya walimwengu yanaitazama Iran

    Kiongozi Muadhamu: Macho ya walimwengu yanaitazama Iran

    Mar 01, 2024 06:45

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amepiga kura yake katika dakika za awali za upigaji kura kwa ajili ya awamu ya 12 ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) na awamu ya 6 ya Baraza la Wataalamu wa Uongozi.

  • Mtazamo wa kiusalama wa maadui kuhusu uchaguzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Mtazamo wa kiusalama wa maadui kuhusu uchaguzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Feb 24, 2024 09:19

    Ufuatiliaji na uchunguza wa mienendo na harakati za maadui kuhusu uchaguzi wa Machi Mosi nchini Iran unaonyesha kuwa wanautazama uchaguzi huo wa Bunge kwa mtazamo wa kiusalama.

  • Rouhani: Uchaguzi wa Iran uliistaajabisha dunia

    Rouhani: Uchaguzi wa Iran uliistaajabisha dunia

    Mar 06, 2016 15:30

    Rais Hassan Rouhani amesema kwa mara nyingine tena kuwa wananchi wa Iran wamewastaajabisha walimwengu kutokana na namna walivyoshiriki kwa wingi katika uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wanazuoni Wataalamu uliofanyika hivi karibuni.

  • 140 kuwania viti 70 katika duru ya pili ya uchaguzi wa bunge la Iran

    140 kuwania viti 70 katika duru ya pili ya uchaguzi wa bunge la Iran

    Mar 01, 2016 15:46

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema: wagombea 140 watachuana katika duru ya pili ya kuwania viti 70 vya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, bunge la Iran.

  • Ayat. Larijani: Kujitokeza kwa wingi Wairani kupiga kura, ishara ya kushindwa njama za mabeberu

    Ayat. Larijani: Kujitokeza kwa wingi Wairani kupiga kura, ishara ya kushindwa njama za mabeberu

    Mar 01, 2016 08:04

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kujitokeza kwa wingi wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu katika uchaguzi wa Ijumaa iliyopita ni ithibati tosha kuwa taifa la Iran linatii miito ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu sambamba na kutuma ujumbe wa kufeli njama za mabeberu dhidi ya taifa hili.

  • Larijani: Uchaguzi wa Bunge umezidisha hadhi ya Iran kimataifa

    Larijani: Uchaguzi wa Bunge umezidisha hadhi ya Iran kimataifa

    Feb 29, 2016 08:17

    Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa mahudhurio makubwa ya wananchi wa Iran katika uchaguzi uliofanyika Ijumaa iliyopita hapa nchini yamezidisha hadhi ya Iran katika nyanja za kimataifa.

  • Ijumaa ya leo, siku ya uchaguzi Iran

    Ijumaa ya leo, siku ya uchaguzi Iran

    Feb 26, 2016 06:58

    Mamilioni ya wananchi wa Iran tangu mapema leo wameelekea katika vituo vya kupigia kura kuchagua wawakilishi wao katika Bunge la 10 la Jamhuri ya Kiislamu na Baraza la 5 la Wataalamu Wanaochagua Kiongozi wa Juu wa Iran.

  • Iran iko tayari kwa ajili ya uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wataalamu

    Iran iko tayari kwa ajili ya uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wataalamu

    Feb 25, 2016 15:30

    Muda wa kampeni za uchaguzi wa Bunge na Baraza la Wataalamu wanaomchagua Kiongozi Mkuu wa Iran umemalizika mapema leo saa mbili asubuhi tarehe 25 Februari na wananchi wa Iran kesho Ijumaa wataelekea kwenye masanduku ya kupigia kuwachagua wawakilishi wao katika zoezi litakaloanza asubuhi na kuendelea kwa masaa kumi.

  • Kiongozi Muadhamu awataka Wairani wote kushiki kwenye zoezi la uchaguzi ujao

    Kiongozi Muadhamu awataka Wairani wote kushiki kwenye zoezi la uchaguzi ujao

    Feb 24, 2016 15:52

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza udharura wa wananchi wote wa Iran kushiriki katika uchaguzi wa Bunge la Baraza la Watalamu kwa shabaha ya kuzima na kubatilisha njama za maadui.

  • Uchaguzi wa Iran una taathira kubwa zaidi kieneo

    Uchaguzi wa Iran una taathira kubwa zaidi kieneo

    Feb 24, 2016 07:31

    Mchambuzi mwandamizi wa masuala ya kisiasa amesema uchaguzi wa Iran ni muhimu katika eneo

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS