-
Kan'ani: Uchaguzi wa Venezuela ni dhihirisho la kuimarika mfumo wa demokrasia
Jul 29, 2024 12:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameutaja uchaguzi wa rais uliofanyika nchini Venezuela uliokuwa na hamasa kubwa kuwa ni dhihirisho la kuimarika mfumo wa demokrasia
-
Maduro ashinda uchaguzi wa rais wa Venezuela kwa muhula wa tatu
Jul 29, 2024 06:01Nicolás Maduro ameshinda uchaguzi wa rais wa Venezuela na kuchaguliwa kwa muhula wa tatu kuwa rais wa nchi hiyo.
-
Duru ya pili ya uchaguzi wa Rais wa Iran yaakisiwa kwa wingi duniani
Jul 05, 2024 11:13Vyombo vya habari vya duniani vimeakisi kwa wingi mno duru ya pili ya uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Kisilamu ya Iran kutokana na watu kujitokeza kwa mamilioni katika uchaguzi huo wa leo Ijumaa.
-
Wananchi wa Iran leo wanapiga kura kumchagua mrithi wa Rais Ebrahim Raisi
Jun 28, 2024 04:30Wananchi wa Iran waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanaelekea katika vituo vya kupigia kura ili kumchagua Rais mpya atakayemrithi Ebrahim Raisi aliyekufa shahidi katika ajali ya helikopta Mei 19 mwaka huu.
-
Vyombo vya habari vya nje 150 kuripoti uchaguzi wa Rais wa Iran
Jun 25, 2024 07:45Wizara ya Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa vyombo vya habari vya nje 150 kutoka nchi 31 vitaripoti zoezi la uchaguzi wa rais wa Iran utaofanyika Ijumaa ijayo Juni 28.
-
Umuhimu wa safari za kampeni za wagombea wa uchaguzi wa rais wa Iran
Jun 24, 2024 06:49Siku ya Jumamosi, mikutano ya kampeni za uchaguzi za wagombea wa muhula wa 14 wa uchaguzi wa rais wa Iran ilifanyika katika miji tofauti humu nchini na kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wananchi.
-
Wagombea wa urais Iran wabainisha mipango yao kwenye mdahalo wa kwanza
Jun 18, 2024 03:26Mdahalo wa kwanza wa wagombea urais nchini Iran ulifanyika jana usiku kupitia televisheni ya taifa, na kuendelea kwa muda wa karibu saa nne.
-
Uchaguzi wa rais Iran: Qalibaf aongoza katika utafiti wa maoni
Jun 14, 2024 10:22Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Qalibaf anaongoza katika utafiti wa maoni, kuelekea uchaguzi wa mapema wa rais unaotazamiwa kufanyika Juni 28.
-
Majina ya mwisho ya wagombea uchaguzi wa rais nchini Iran yatangazwa kwa ajili ya kufanyika uchaguzi wa hamasa
Jun 10, 2024 12:21Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza orodha ya majina ya mwisho ya wagombea wa awamu ya 14 ya uchaguzi wa rais ili kutoa fursa ya kufanyika uchaguzi wa hamasa na wenye ushiriki mkubwa wa wananchi.
-
Kiongozi wa serikali ya mpito ya Chad atazamiwa kuibuka na ushindi katika uchaguzi wa Jumatatu
May 02, 2024 07:34Jenerali Mahamat Idriss Deby Itno, aliyetangazwa na jeshi miaka mitatu iliyopita kuwa kiongozi wa serikali ya mpito ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kushinda katika uchaguzi wa Rais Jumatatu ijayo baada ya jeshi la nchi hiyo kuwakandamiza pakubwa wagombea wa upinzani.