-
Guinea inajiandaa kwa kampeni ya kura ya maoni ili kuhitimisha utawala wa kijeshi
Aug 30, 2025 09:03Guinea Conakry kesho Jumapili itaanza kampeni ya kura ya maoni ya katiba kwa ajili ya kurejesha utawala wa kiraia baada ya jeshi kuchukua madaraka mwaka 2021.
-
Wagombea 81 wachukua fomu ya kuwania kiti cha urais Cameroon
Jul 22, 2025 10:39Jumla ya wagombea 81 wamejaza fomu na kuwasilisha kwa Tume ta Taifa ya Uchaguzi ya nchi hiyo kwa ajili ya kushiriki katika uchaguzi wa Rais wa Oktoba mwaka huu.
-
Rasmi; Rais wa Cameroon, Paul Biya (92) kugombea muhula mwingine katika uchaguzi ujao
Jul 14, 2025 09:26Rais wa sasa wa Cameroon, Paul Biya ametangaza kuwa atagombea muhula wa nane katika uchaguzi wa urais uliopangwa kufanyika Oktoba 12, na hivyo kuhitimisha uvumi wa miezi kadhaa wa iwapo atawania au la.
-
Kan'ani: Uchaguzi wa Venezuela ni dhihirisho la kuimarika mfumo wa demokrasia
Jul 29, 2024 08:50Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameutaja uchaguzi wa rais uliofanyika nchini Venezuela uliokuwa na hamasa kubwa kuwa ni dhihirisho la kuimarika mfumo wa demokrasia
-
Maduro ashinda uchaguzi wa rais wa Venezuela kwa muhula wa tatu
Jul 29, 2024 02:31Nicolás Maduro ameshinda uchaguzi wa rais wa Venezuela na kuchaguliwa kwa muhula wa tatu kuwa rais wa nchi hiyo.
-
Duru ya pili ya uchaguzi wa Rais wa Iran yaakisiwa kwa wingi duniani
Jul 05, 2024 07:43Vyombo vya habari vya duniani vimeakisi kwa wingi mno duru ya pili ya uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Kisilamu ya Iran kutokana na watu kujitokeza kwa mamilioni katika uchaguzi huo wa leo Ijumaa.
-
Wananchi wa Iran leo wanapiga kura kumchagua mrithi wa Rais Ebrahim Raisi
Jun 28, 2024 01:00Wananchi wa Iran waliotimiza masharti ya kupiga kura leo wanaelekea katika vituo vya kupigia kura ili kumchagua Rais mpya atakayemrithi Ebrahim Raisi aliyekufa shahidi katika ajali ya helikopta Mei 19 mwaka huu.
-
Vyombo vya habari vya nje 150 kuripoti uchaguzi wa Rais wa Iran
Jun 25, 2024 04:15Wizara ya Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa vyombo vya habari vya nje 150 kutoka nchi 31 vitaripoti zoezi la uchaguzi wa rais wa Iran utaofanyika Ijumaa ijayo Juni 28.
-
Umuhimu wa safari za kampeni za wagombea wa uchaguzi wa rais wa Iran
Jun 24, 2024 03:19Siku ya Jumamosi, mikutano ya kampeni za uchaguzi za wagombea wa muhula wa 14 wa uchaguzi wa rais wa Iran ilifanyika katika miji tofauti humu nchini na kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wananchi.
-
Wagombea wa urais Iran wabainisha mipango yao kwenye mdahalo wa kwanza
Jun 17, 2024 23:56Mdahalo wa kwanza wa wagombea urais nchini Iran ulifanyika jana usiku kupitia televisheni ya taifa, na kuendelea kwa muda wa karibu saa nne.