Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais

  • Ushindi mkubwa wa Putin katika uchaguzi wa rais wa Russia

    Ushindi mkubwa wa Putin katika uchaguzi wa rais wa Russia

    Mar 19, 2024 06:12

    Tume Kuu ya Uchaguzi ya Shirikisho la Russia imetangaza kuwa Vladimir Putin, rais wa sasa wa nchi hiyo, ameshinda uchaguzi wa karibuni kwa asilimia 87.32 ya kura na hivyo kupata fursa nyingine ya kuwa rais wa Russia kwa muhula mwingine wa miaka sita. Kwa mujibu wa tangazo la tume hiyo, kiwango cha ushiriki katika uchaguzi kilikuwa cha zaidi ya asilimia 70.

  • Zoezi la upigaji kura kumchagua rais wa Russia limeanza leo

    Zoezi la upigaji kura kumchagua rais wa Russia limeanza leo

    Mar 15, 2024 07:40

    Zoezi la upigaji kura wa nchi nzima wa kumchagua rais wa Russia limeanza rasmi leo.

  • Kujiandikisha Putin kwa ajili ya uchaguzi wa Russia 2024

    Kujiandikisha Putin kwa ajili ya uchaguzi wa Russia 2024

    Dec 20, 2023 02:37

    Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amethibitisha hhatua ya kwenda Rais Vladimir Putin wa Russia katika Kamati Kuu ya Uchaguzi ya nchi hiyo na kujiandikisha kama mgombea kwa muhula ujao wa urais, ambao utafanyika katikati ya Machi 2024. Putin amewasilisha stakabadhi zinazohitajika ili kujiandikisha kuwa mgombea urais.

  • Joseph Boakai atangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Liberia

    Joseph Boakai atangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Liberia

    Nov 21, 2023 07:59

    Mwanasiasa mkongwe Joseph Boakai jana Jumatatu alitangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Liberia, akimshinda George Weah aliyebwagwa katika duru ya pili ya uchaguzi huo. Haya ni kwa mujibu wa tangazo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Liberia (NEC) baada ya kukamilisha zoezi la kuhesabu kura.

  • Hizbullah: Hakuna njia ya kujitoa katika mzozo wa urais isipokuwa mazungumzo

    Hizbullah: Hakuna njia ya kujitoa katika mzozo wa urais isipokuwa mazungumzo

    Jun 27, 2023 04:36

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ameashiria mgogoro kuhusu suala la kumchagua rais mpya wa nchi hiyo na kusema mazungumzo ndiyo njia pekee ya kuondokana na mgogoro huo. Amesisitiza kuwa kuendelea hitilafu juu ya suala hilo hakuna manufaa yoyote.

  • Upembuzi wa sababu za kuingia katika duru ya pili uchaguzi wa rais wa Uturuki

    Upembuzi wa sababu za kuingia katika duru ya pili uchaguzi wa rais wa Uturuki

    May 18, 2023 01:17

    Kama ilivyokuwa imetabiriwa na duru huru za kisiasa, uchaguzi wa rais wa Uturuki umeingia kwenye duru ya pili na chama tawala cha Uadilifu na Maendeleo (AKP) na muungano wake wa Jamhuri zimeshindwa kupata wingi wa kura zilizohitaji ili kuibuka mshindi katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo.

  • Waturuki wapiga kura katika uchaguzi muhimu zaidi tangu wa mwanzo wa vyama vingi 1950

    Waturuki wapiga kura katika uchaguzi muhimu zaidi tangu wa mwanzo wa vyama vingi 1950

    May 14, 2023 11:44

    Upigaji kura katika uchaguzi wa 13 wa urais na wa 28 wa wabunge nchini Uturuki ulianza leo saa mbili asubuhi nchini kote na ulitazamiwa kuendelea hadi saa 11 jioni kwa saa za nchi hiyo.

  • Uchaguzi wa rais Brazil waingia duru ya pili, Rais Bolsonaro kutoana kijasho na Lula da Silva

    Uchaguzi wa rais Brazil waingia duru ya pili, Rais Bolsonaro kutoana kijasho na Lula da Silva

    Oct 03, 2022 07:42

    Uchaguzi wa rais wa Brazil umeingia duru ya pili baada ya wagombea kushindwa kupata nusu ya kura zote za wananchi katika kinyang'anyiro hicho kilichofanyika jana Jumapili.

  • Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri la Macron, marekebisho yanayolenga kutafuta kukubalika na umma

    Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri la Macron, marekebisho yanayolenga kutafuta kukubalika na umma

    May 22, 2022 02:57

    Mwezi mmoja baada ya kufanyika uchaguzi wa Rais nchini Ufaransa Emmanuel Macron Rais wa nchi hiyo akiwa na lengo la kutafuta uungaji mkono na kuwaridhisha wapigakura na hivyo serikalii yake iungwe mkono zaidi, amelifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri.

  • Wagombea 39 kuwania kiti cha urais nchini Somalia

    Wagombea 39 kuwania kiti cha urais nchini Somalia

    May 12, 2022 02:21

    Wagombea wapatao 39 wamejitokeza kuwania kiti cha urais nchini Somalia uchaguzi ambao umepangwa kufanyika mwishoni mwa juma hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS