Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uchaguzi wa Rais

  • Vyombo vya habari vya nje 150 kuripoti uchaguzi wa Rais wa Iran

    Vyombo vya habari vya nje 150 kuripoti uchaguzi wa Rais wa Iran

    Jun 25, 2024 07:45

    Wizara ya Utamaduni na Miongozo ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa vyombo vya habari vya nje 150 kutoka nchi 31 vitaripoti zoezi la uchaguzi wa rais wa Iran utaofanyika Ijumaa ijayo Juni 28.

  • Umuhimu wa safari za kampeni za wagombea wa uchaguzi wa rais wa Iran

    Umuhimu wa safari za kampeni za wagombea wa uchaguzi wa rais wa Iran

    Jun 24, 2024 06:49

    Siku ya Jumamosi, mikutano ya kampeni za uchaguzi za wagombea wa muhula wa 14 wa uchaguzi wa rais wa Iran ilifanyika katika miji tofauti humu nchini na kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wananchi.

  • Wagombea wa urais Iran wabainisha mipango yao kwenye mdahalo wa kwanza

    Wagombea wa urais Iran wabainisha mipango yao kwenye mdahalo wa kwanza

    Jun 18, 2024 03:26

    Mdahalo wa kwanza wa wagombea urais nchini Iran ulifanyika jana usiku kupitia televisheni ya taifa, na kuendelea kwa muda wa karibu saa nne.

  • Uchaguzi wa rais Iran: Qalibaf aongoza katika utafiti wa maoni

    Uchaguzi wa rais Iran: Qalibaf aongoza katika utafiti wa maoni

    Jun 14, 2024 10:22

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Qalibaf anaongoza katika utafiti wa maoni, kuelekea uchaguzi wa mapema wa rais unaotazamiwa kufanyika Juni 28.

  • Majina ya mwisho ya wagombea uchaguzi wa rais nchini Iran yatangazwa kwa ajili ya kufanyika uchaguzi wa hamasa

    Majina ya mwisho ya wagombea uchaguzi wa rais nchini Iran yatangazwa kwa ajili ya kufanyika uchaguzi wa hamasa

    Jun 10, 2024 12:21

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza orodha ya majina ya mwisho ya wagombea wa awamu ya 14 ya uchaguzi wa rais ili kutoa fursa ya kufanyika uchaguzi wa hamasa na wenye ushiriki mkubwa wa wananchi.

  • Kiongozi wa serikali ya mpito ya Chad atazamiwa kuibuka na ushindi katika uchaguzi wa Jumatatu

    Kiongozi wa serikali ya mpito ya Chad atazamiwa kuibuka na ushindi katika uchaguzi wa Jumatatu

    May 02, 2024 07:34

    Jenerali Mahamat Idriss Deby Itno, aliyetangazwa na jeshi miaka mitatu iliyopita kuwa kiongozi wa serikali ya mpito ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kushinda katika uchaguzi wa Rais Jumatatu ijayo baada ya jeshi la nchi hiyo kuwakandamiza pakubwa wagombea wa upinzani.

  • Ushindi mkubwa wa Putin katika uchaguzi wa rais wa Russia

    Ushindi mkubwa wa Putin katika uchaguzi wa rais wa Russia

    Mar 19, 2024 06:12

    Tume Kuu ya Uchaguzi ya Shirikisho la Russia imetangaza kuwa Vladimir Putin, rais wa sasa wa nchi hiyo, ameshinda uchaguzi wa karibuni kwa asilimia 87.32 ya kura na hivyo kupata fursa nyingine ya kuwa rais wa Russia kwa muhula mwingine wa miaka sita. Kwa mujibu wa tangazo la tume hiyo, kiwango cha ushiriki katika uchaguzi kilikuwa cha zaidi ya asilimia 70.

  • Zoezi la upigaji kura kumchagua rais wa Russia limeanza leo

    Zoezi la upigaji kura kumchagua rais wa Russia limeanza leo

    Mar 15, 2024 07:40

    Zoezi la upigaji kura wa nchi nzima wa kumchagua rais wa Russia limeanza rasmi leo.

  • Kujiandikisha Putin kwa ajili ya uchaguzi wa Russia 2024

    Kujiandikisha Putin kwa ajili ya uchaguzi wa Russia 2024

    Dec 20, 2023 02:37

    Msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov amethibitisha hhatua ya kwenda Rais Vladimir Putin wa Russia katika Kamati Kuu ya Uchaguzi ya nchi hiyo na kujiandikisha kama mgombea kwa muhula ujao wa urais, ambao utafanyika katikati ya Machi 2024. Putin amewasilisha stakabadhi zinazohitajika ili kujiandikisha kuwa mgombea urais.

  • Joseph Boakai atangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Liberia

    Joseph Boakai atangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Liberia

    Nov 21, 2023 07:59

    Mwanasiasa mkongwe Joseph Boakai jana Jumatatu alitangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais wa Liberia, akimshinda George Weah aliyebwagwa katika duru ya pili ya uchaguzi huo. Haya ni kwa mujibu wa tangazo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Liberia (NEC) baada ya kukamilisha zoezi la kuhesabu kura.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS