Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Macron na Le Pen waingia duru ya pili uchaguzi wa rais Ufaransa, ushiriki umepungua

    Macron na Le Pen waingia duru ya pili uchaguzi wa rais Ufaransa, ushiriki umepungua

    Apr 11, 2022 11:50

    Rais anayemaliza muda wake wa Ufaransa, Emmanuel Macron na mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia wa , Marine Le Pen wameongoza matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais wa Ufaransa uliofanyika jana Jumapili, na wakahamia duru ya pili kati ya hizi. uchaguzi uliopangwa kufanyika Aprili 24.

  • Wananchi wa Burkina Faso waandamana kupinga uhusiano wa kijeshi na Ufaransa

    Wananchi wa Burkina Faso waandamana kupinga uhusiano wa kijeshi na Ufaransa

    Mar 28, 2022 11:07

    Wananchi wa Burkina Faso wamefanya maandamano ya kushinikiza kuhitimishwa uhusiano na ushirikiano wa kijeshi baina ya nchi yao na Ufaransa.

  • Ufaransa yakosolewa kwa kupiga mnada turathi yenye thamani ya Gabon

    Ufaransa yakosolewa kwa kupiga mnada turathi yenye thamani ya Gabon

    Mar 27, 2022 10:49

    Ufaransa imepuuza malalamiko ya wananchi na maafisa wa Gabon, na kwa jeuri imepiga mnada barakoa ya kitamaduni ya nchi hiyo ya Kiafrika kwa yuro milioni 4.2.

  • Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu Mkuu wa Interpol raia wa Imarati

    Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu Mkuu wa Interpol raia wa Imarati

    Mar 25, 2022 08:11

    Baada ya mashirika ya kutetea haki za binadamu duniani kufichua hadharani jinai zinazofanywa na Mkuu wa Polisi ya Kimataifa (Interpol) ambaye ni raia wa Imarati; Idara ya Mahakama nchini Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu afisa huyo wa Intepol.

  • Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa

    Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa

    Mar 25, 2022 02:30

    Mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa, Éric Zemmour amesema atawafukuza malaki ya wahamiaji wa Kiafrika, iwapo atachaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo ya Ulaya mwezi ujao.

  • Hizi ndizo nchi zilizopinga Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Hizi ndizo nchi zilizopinga Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Mar 20, 2022 02:43

    Katika hatua muhimu, Umoja wa Mataifa wiki hii uliitambua rasmi Machi 15 kama Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu, lakini baadhi ya nchi zilichagua kutounga mkono azimio hilo.

  • Ufaransa na UK zalumbana kuhusu wakimbizi wa Ukraine

    Ufaransa na UK zalumbana kuhusu wakimbizi wa Ukraine

    Mar 08, 2022 02:38

    Wimbi la wakimbizi wa Ukraine ambalo linahesabiwa kuwa ni la kasi kubwa zaidi barani Ulaya baada ya Vita vya Pili vya Duniani, limezitumbukiza nchi mbili za Ufaransa na Uingereza katika vita vya maneno na malumbano.

  • Waalgeria: Ufaransa ilipe fidia kwa hasara ilizotusababishia kwa majaribio yake ya nyuklia

    Waalgeria: Ufaransa ilipe fidia kwa hasara ilizotusababishia kwa majaribio yake ya nyuklia

    Mar 03, 2022 07:54

    Wananchi wa Algeria wameitaka serikali ya Ufaransa ilipe fidia kwa hasara zilizosababishwa na majaribio yake ya nyuklia iliyofanya ndani ya nchi hiyo katika muongo wa 60 wa karne iliyopita.

  • Jihadul Islami yalaani madai ya Ufaransa na kusisitza kwamba, Quds ni mji mkuu wa Palestina

    Jihadul Islami yalaani madai ya Ufaransa na kusisitza kwamba, Quds ni mji mkuu wa Palestina

    Feb 27, 2022 04:17

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imelaani vikali madai ya Waziri Mkuu wa Ufaransa kuhusiana na mji wa Quds na kuonya kuhusiana na matokeo mabaya ya madai hayo.

  • Mazungumzo ya Marais wa Iran na Ufaransa sanjari na hatua muhimu za mazungumzo ya Vienna

    Mazungumzo ya Marais wa Iran na Ufaransa sanjari na hatua muhimu za mazungumzo ya Vienna

    Feb 20, 2022 12:19

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo yake ya simu na Rais wa Ufaransa kwamba suala kuu litakalosaidia kufikiwa mapatano mjini Vienna ni kuhakikisha maslahi ya wananchi wa Iran yanalindwa hususan kuondolewa vikwazo, kupewa dhamana madhubuti na kufungwa mafaili ya madai ya kisiasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS