Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Macron ashinda uchaguzi wa rais wa Ufaransa

    Macron ashinda uchaguzi wa rais wa Ufaransa

    Apr 25, 2022 04:06

    Emmanuel Macron jana Jumapili, Aprili 24, alichaguliwa tena katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais kuiongoza Ufaransa, na hivyo kuchukua hatamu za nchi hiyo kubwa ya Ulaya kwa kipindi kingine cha miaka 5.

  • Uchunguzi wa maoni: Macron atashinda uchaguzi wa rais Ufaransa

    Uchunguzi wa maoni: Macron atashinda uchaguzi wa rais Ufaransa

    Apr 23, 2022 07:53

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni kuhusu duru ya pili ya uchaguzi wa rais wa Ufaransa yaliyochapishwa hadi kumalizika kwa muda wa kisheria wa kampeni za wagombea wawili wa uchaguzi huo yameonesha kuwa Emmanel Macron atashinda kiti cha rais.

  • Mali yagundua kaburi la umati kwenye kambi ya zamani ya kijeshi ya Ufaransa

    Mali yagundua kaburi la umati kwenye kambi ya zamani ya kijeshi ya Ufaransa

    Apr 23, 2022 02:56

    Jeshi la Mali limetangaza kuwa, limegundua kaburi la umati kwenye kambi ya zamani ya kijeshi ya Ufaransa katika eneo la Gossi la kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Le Pen awaahidi wapiga kura kupiga marufuku hijabu na kuchinja wanyama Kiislamu Ufaransa

    Le Pen awaahidi wapiga kura kupiga marufuku hijabu na kuchinja wanyama Kiislamu Ufaransa

    Apr 13, 2022 21:54

    Mgombea urais wa Ufaransa kwa tikiti ya chama chenye siasa kali cha mrengo wa kuli, Marine Le Pen, amesema iwapo atashinda kiti cha urais, atapiga marufuku kuchinja wanyama kwa njia ya Kiislamu ya Kiyahudi, na vilevile vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, hijabu.

  • Duru ya pili ya uchaguzi Ufaransa; mchuano baina ya Macron na Le Pen

    Duru ya pili ya uchaguzi Ufaransa; mchuano baina ya Macron na Le Pen

    Apr 12, 2022 06:34

    Uchaguzi wa Rais nchini Ufaransa umemalizika huku Emmanuel Macron na Marine Le Pen wakiingia katika duru ya pili. Kwa utaratibu huo, siku 14 zijazo yaani tarehe 24 mwezi huu hatima ya uchaguzi huo itajulikana na mshindi wa duru hiyo atapata tiketi ya kuingia katika ikulu ya Elizeh.

  • Macron na Le Pen waingia duru ya pili uchaguzi wa rais Ufaransa, ushiriki umepungua

    Macron na Le Pen waingia duru ya pili uchaguzi wa rais Ufaransa, ushiriki umepungua

    Apr 11, 2022 07:20

    Rais anayemaliza muda wake wa Ufaransa, Emmanuel Macron na mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia wa , Marine Le Pen wameongoza matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa rais wa Ufaransa uliofanyika jana Jumapili, na wakahamia duru ya pili kati ya hizi. uchaguzi uliopangwa kufanyika Aprili 24.

  • Wananchi wa Burkina Faso waandamana kupinga uhusiano wa kijeshi na Ufaransa

    Wananchi wa Burkina Faso waandamana kupinga uhusiano wa kijeshi na Ufaransa

    Mar 28, 2022 06:37

    Wananchi wa Burkina Faso wamefanya maandamano ya kushinikiza kuhitimishwa uhusiano na ushirikiano wa kijeshi baina ya nchi yao na Ufaransa.

  • Ufaransa yakosolewa kwa kupiga mnada turathi yenye thamani ya Gabon

    Ufaransa yakosolewa kwa kupiga mnada turathi yenye thamani ya Gabon

    Mar 27, 2022 06:19

    Ufaransa imepuuza malalamiko ya wananchi na maafisa wa Gabon, na kwa jeuri imepiga mnada barakoa ya kitamaduni ya nchi hiyo ya Kiafrika kwa yuro milioni 4.2.

  • Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu Mkuu wa Interpol raia wa Imarati

    Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu Mkuu wa Interpol raia wa Imarati

    Mar 25, 2022 03:41

    Baada ya mashirika ya kutetea haki za binadamu duniani kufichua hadharani jinai zinazofanywa na Mkuu wa Polisi ya Kimataifa (Interpol) ambaye ni raia wa Imarati; Idara ya Mahakama nchini Ufaransa imeanzisha uchunguzi kuhusu afisa huyo wa Intepol.

  • Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa

    Zemmour: Nitawafukuza wahajiri wa Afrika nikichaguliwa kuwa rais wa Ufaransa

    Mar 24, 2022 22:00

    Mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa, Éric Zemmour amesema atawafukuza malaki ya wahamiaji wa Kiafrika, iwapo atachaguliwa kuwa rais wa nchi hiyo ya Ulaya mwezi ujao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS