Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Ufaransa na washirika wake sasa kuondoa majeshi yao vamizi nchini Mali

    Ufaransa na washirika wake sasa kuondoa majeshi yao vamizi nchini Mali

    Feb 17, 2022 13:22

    Ufaransa na washirika wake wametangaza kuwa, wataondoa askari wao wote kutoka katika nchi ya Mali iliyoko magharibi mwa Afrika.

  • Sisitizo la Ufaransa la kuendelea kuwepo eneo la Sahel

    Sisitizo la Ufaransa la kuendelea kuwepo eneo la Sahel

    Feb 17, 2022 10:21

    Pamoja na kushuhudiwa mivutano hivi karibuni kati ya Ufaransa na baadhi ya nchi za eneo la Sahel barani Afrika ikiwemo Mali, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ufaransa Jean Yves Le Drian amesisitiza kuwa Ufaransa haitatoka katika eneo la Sahel hata kama itaondoa wanajeshi wake kikamilifu huko Mali.

  • Marine Le Pen ashambulia tena Uislamu na vazi la hijabu

    Marine Le Pen ashambulia tena Uislamu na vazi la hijabu

    Feb 17, 2022 08:04

    Mgombea uraisi wa Ufaransa wa chama cha kitaifa cha Rassemblement chenye siasa kali za mrengo wa kulia kwa mara nyingine ameeleza upinzani wake dhidi ya vazi la hijabu la wanawake wa Kiislamu.

  • Nchi za Ulaya zaendelea kuondoa wanajeshi wao 'vamizi' Mali

    Nchi za Ulaya zaendelea kuondoa wanajeshi wao 'vamizi' Mali

    Feb 16, 2022 02:39

    Waziri wa Ulinzi wa Estonia amesema nchi hiyo ya kaskazini mwa Ulaya imekata shauri ya kuwaondoa wanajeshi wake nchini Mali, na hivyo kuwa nchi ya hivi punde zaidi ya Ulaya kuchukua hatua hiyo baada ya Denmark.

  • Ufaransa kuondoka Mali, yasema itasalia katika eneo la Sahel Afrika

    Ufaransa kuondoka Mali, yasema itasalia katika eneo la Sahel Afrika

    Feb 15, 2022 13:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Yves Le Drian ametangaza kuwa wanajeshi wa nchi hiyo wataendelea kupambana na kile alichokitaja kuwa 'ugaidi' katika eneo la Sahel na si nchini Mali.

  • Mahakama ya Ufaransa yakataa kumuachilia huru  'Nelson Mandela wa Kiarabu' Georges Abdallah + Video

    Mahakama ya Ufaransa yakataa kumuachilia huru 'Nelson Mandela wa Kiarabu' Georges Abdallah + Video

    Feb 12, 2022 02:59

    Mwanamapambano anayeunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina na shujaa wa kimataifa Georges Ibrahim Abdallah kwa mara nyingine tena amenyimwa uhuru wake na mahakama za Ufaransa.

  • UAE inaiba nishati ya Yemen ili ipate fedha za kulipia silaha za Ufaransa

    UAE inaiba nishati ya Yemen ili ipate fedha za kulipia silaha za Ufaransa

    Feb 07, 2022 02:41

    Umoja wa Falme za Kiarabu umeripotiwa kuiba rasilimali za nishati ya Yemen ili upate fedha za kufadhili makubaliano ya mauzo ya silaha ya mabilioni ya dola uliofunga na Ufaransa.

  • Malalamiko ya Waziri Mkuu wa Mali dhidi ya uungaji mkono wa Ufaransa kwa magenge ya kigaidi

    Malalamiko ya Waziri Mkuu wa Mali dhidi ya uungaji mkono wa Ufaransa kwa magenge ya kigaidi

    Feb 07, 2022 02:36

    Waziri Mkuu wa Mali, Choguel Kokalla Maiga, ameishutumu serikali ya kikoloni ya Ufaransa kwa vitendo vyake vilivyo dhidi ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika na kusema kuwa, Wafaransa walipaswa kutusaidia, lakini badala yake wanayasaidia magenge ya kigaidi yanayopigania kujitenga na wanazichochea nchi za Ulaya ziiwekee vikwazo nchi ya Mali.

  • Maiga: Ufaransa, chimbuko la matatizo yote ya kiusalama, kiuchumi Mali

    Maiga: Ufaransa, chimbuko la matatizo yote ya kiusalama, kiuchumi Mali

    Feb 06, 2022 12:30

    Waziri Mkuu wa Mali amesema Ufaransa ndiyo sababu ya matatizo mbalimbali ya kiusalama na kiuchumi yanaoisumbua nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Macron: Unafiki wa Uingereza usababisha vifo vya wahamiaji katika Mfereji wa Manchi

    Macron: Unafiki wa Uingereza usababisha vifo vya wahamiaji katika Mfereji wa Manchi

    Feb 03, 2022 08:04

    Kufuatia mzozo wa London na Paris kuhusu mgogoro wa wakimbizi, Rais wa Ufaransa ameilaumu Uingereza kuwa ndiyo inayosababisha vifo vya wahamiaji katika maji ya Mfereji wa Manchi kutokana na kukataa kutoa njia ya kisheria kwa wahamiaji hao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS