-
Ufaransa na washirika wake sasa kuondoa majeshi yao vamizi nchini Mali
Feb 17, 2022 13:22Ufaransa na washirika wake wametangaza kuwa, wataondoa askari wao wote kutoka katika nchi ya Mali iliyoko magharibi mwa Afrika.
-
Sisitizo la Ufaransa la kuendelea kuwepo eneo la Sahel
Feb 17, 2022 10:21Pamoja na kushuhudiwa mivutano hivi karibuni kati ya Ufaransa na baadhi ya nchi za eneo la Sahel barani Afrika ikiwemo Mali, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ufaransa Jean Yves Le Drian amesisitiza kuwa Ufaransa haitatoka katika eneo la Sahel hata kama itaondoa wanajeshi wake kikamilifu huko Mali.
-
Marine Le Pen ashambulia tena Uislamu na vazi la hijabu
Feb 17, 2022 08:04Mgombea uraisi wa Ufaransa wa chama cha kitaifa cha Rassemblement chenye siasa kali za mrengo wa kulia kwa mara nyingine ameeleza upinzani wake dhidi ya vazi la hijabu la wanawake wa Kiislamu.
-
Nchi za Ulaya zaendelea kuondoa wanajeshi wao 'vamizi' Mali
Feb 16, 2022 02:39Waziri wa Ulinzi wa Estonia amesema nchi hiyo ya kaskazini mwa Ulaya imekata shauri ya kuwaondoa wanajeshi wake nchini Mali, na hivyo kuwa nchi ya hivi punde zaidi ya Ulaya kuchukua hatua hiyo baada ya Denmark.
-
Ufaransa kuondoka Mali, yasema itasalia katika eneo la Sahel Afrika
Feb 15, 2022 13:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Jean-Yves Le Drian ametangaza kuwa wanajeshi wa nchi hiyo wataendelea kupambana na kile alichokitaja kuwa 'ugaidi' katika eneo la Sahel na si nchini Mali.
-
Mahakama ya Ufaransa yakataa kumuachilia huru 'Nelson Mandela wa Kiarabu' Georges Abdallah + Video
Feb 12, 2022 02:59Mwanamapambano anayeunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina na shujaa wa kimataifa Georges Ibrahim Abdallah kwa mara nyingine tena amenyimwa uhuru wake na mahakama za Ufaransa.
-
UAE inaiba nishati ya Yemen ili ipate fedha za kulipia silaha za Ufaransa
Feb 07, 2022 02:41Umoja wa Falme za Kiarabu umeripotiwa kuiba rasilimali za nishati ya Yemen ili upate fedha za kufadhili makubaliano ya mauzo ya silaha ya mabilioni ya dola uliofunga na Ufaransa.
-
Malalamiko ya Waziri Mkuu wa Mali dhidi ya uungaji mkono wa Ufaransa kwa magenge ya kigaidi
Feb 07, 2022 02:36Waziri Mkuu wa Mali, Choguel Kokalla Maiga, ameishutumu serikali ya kikoloni ya Ufaransa kwa vitendo vyake vilivyo dhidi ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika na kusema kuwa, Wafaransa walipaswa kutusaidia, lakini badala yake wanayasaidia magenge ya kigaidi yanayopigania kujitenga na wanazichochea nchi za Ulaya ziiwekee vikwazo nchi ya Mali.
-
Maiga: Ufaransa, chimbuko la matatizo yote ya kiusalama, kiuchumi Mali
Feb 06, 2022 12:30Waziri Mkuu wa Mali amesema Ufaransa ndiyo sababu ya matatizo mbalimbali ya kiusalama na kiuchumi yanaoisumbua nchi hiyo ya Afrika Magharibi.
-
Macron: Unafiki wa Uingereza usababisha vifo vya wahamiaji katika Mfereji wa Manchi
Feb 03, 2022 08:04Kufuatia mzozo wa London na Paris kuhusu mgogoro wa wakimbizi, Rais wa Ufaransa ameilaumu Uingereza kuwa ndiyo inayosababisha vifo vya wahamiaji katika maji ya Mfereji wa Manchi kutokana na kukataa kutoa njia ya kisheria kwa wahamiaji hao.