Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Marais wa Algeria na Ufaransa wazungumza baada ya miezi kadhaa ya mizozo ya kidiplomasia

    Marais wa Algeria na Ufaransa wazungumza baada ya miezi kadhaa ya mizozo ya kidiplomasia

    Jan 31, 2022 04:06

    Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, baada ya miezi kadhaa ya mivutano ya kidiplomasia baina ya pande hizo mbili.

  • Tamasha la sanaa Ufaransa lafutiwa ruzuku kwa mchoro wa hijabu

    Tamasha la sanaa Ufaransa lafutiwa ruzuku kwa mchoro wa hijabu

    Jan 30, 2022 08:01

    Serikali ya jimbo la Auvergne-Rhone-Alpes nchini Ufaransa imelisimamishia ruzuku kundi moja la wasanii wanaoandaa tamasha la sanaa mjini Grenoble, kwa kujumuisha mchoro wa mwanamke aliyevaa hijabu katika kazi zao.

  • Marais wa Iran na Ufaransa wajadili suala la kuondolewa vikwazo Tehran

    Marais wa Iran na Ufaransa wajadili suala la kuondolewa vikwazo Tehran

    Jan 30, 2022 03:26

    Rais wa Iran amesisitiza juu ya udharura wa kuondolewa vikwazo wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu, katika mazungumzo yake ya simu na mwenzake wa Ufaransa.

  • Mali yapuuza miito ya Ulaya ya kutaka askari wa Denmark wabaki nchini humo

    Mali yapuuza miito ya Ulaya ya kutaka askari wa Denmark wabaki nchini humo

    Jan 27, 2022 07:53

    Mali imesisitiza kuwa Denmark inapaswa kuondoa wanajeshi wake mara moja katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi ambao walitumwa nchini humo kama sehemu ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Ufaransa, licha ya nchi za Ulaya kuiasa iangalie upya msimamo wake huo.

  • Mgombea urais Ufaransa kupiga marufuku majina ya

    Mgombea urais Ufaransa kupiga marufuku majina ya "Muhammad", misikiti na vazi la hijabu

    Jan 26, 2022 04:14

    Mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa, Éric Zemmour, ametangaza ajenda na mipango yake kuhusu dini ya Kiislamu, ambayo amesema ataitekeleza iwapo ataingia Ikulu ya Elysee.

  • Askari mla watu akamatwa nchini Ufaransa kabla ya kumla mhanga wake

    Askari mla watu akamatwa nchini Ufaransa kabla ya kumla mhanga wake

    Jan 25, 2022 11:13

    Polisi wa Ufaransa wanasema kuwa wamemkamata mwanajeshi mwenye historia ya kufanya uhalifu kabla ya kumuwinda ajuza mmoja kwa ajili ya kula nyama yake.

  • Kambi ya jeshi la Ufaransa nchini Mali yashambuliwa, kadhaa wauawa, kujeruhiwa

    Kambi ya jeshi la Ufaransa nchini Mali yashambuliwa, kadhaa wauawa, kujeruhiwa

    Jan 24, 2022 02:42

    Kwa akali askari mmoja wa Ufaransa ameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhuwa katika shambulio la roketi dhidi ya kambi ya kijeshi ya nchi hiyo ya Ulaya huko kaskazini mwa Mali.

  • Mali yataka mkataba wa ushirikiano wake wa kijeshi na kiulinzi na Ufaransa upitiwe upya

    Mali yataka mkataba wa ushirikiano wake wa kijeshi na kiulinzi na Ufaransa upitiwe upya

    Jan 21, 2022 03:16

    Serikali ya Mali inapanga kupitia upya mkataba wa ushirikiano wa kijeshi na kiulinzi kati yake na Ufaransa. Mkataba huo kati ya nchi hizo mbili ulitiwa saini mwaka 2014 na kuanzisha operesheni Barkhane ili kuisaidia Mali kupambana na makundi ya kigaidi.

  • Maseneta wa Ufaransa wapasisha mpango wa kupiga marufuku hijabu michezoni

    Maseneta wa Ufaransa wapasisha mpango wa kupiga marufuku hijabu michezoni

    Jan 20, 2022 08:13

    Baraza la Seneti la Ufaransa limepiga kura na kupasisha sheria inayopiga marufuku uvaaji wa vazi la stara na heshima la hijabu katika mashindano ya michezo.

  • Macron: Ufaransa itakabiliwa na hali ngumu sana katika wiki kadhaa zijazo

    Macron: Ufaransa itakabiliwa na hali ngumu sana katika wiki kadhaa zijazo

    Jan 01, 2022 08:15

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametahadharisha kuwa, nchi hiyo itakabiliana na hali ngumu katika kipindi cha wiki kadhaa zijazo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS