Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Mahakama ya Ufaransa yakataa kumuachilia huru  'Nelson Mandela wa Kiarabu' Georges Abdallah + Video

    Mahakama ya Ufaransa yakataa kumuachilia huru 'Nelson Mandela wa Kiarabu' Georges Abdallah + Video

    Feb 11, 2022 23:29

    Mwanamapambano anayeunga mkono harakati za ukombozi wa Palestina na shujaa wa kimataifa Georges Ibrahim Abdallah kwa mara nyingine tena amenyimwa uhuru wake na mahakama za Ufaransa.

  • UAE inaiba nishati ya Yemen ili ipate fedha za kulipia silaha za Ufaransa

    UAE inaiba nishati ya Yemen ili ipate fedha za kulipia silaha za Ufaransa

    Feb 06, 2022 23:11

    Umoja wa Falme za Kiarabu umeripotiwa kuiba rasilimali za nishati ya Yemen ili upate fedha za kufadhili makubaliano ya mauzo ya silaha ya mabilioni ya dola uliofunga na Ufaransa.

  • Malalamiko ya Waziri Mkuu wa Mali dhidi ya uungaji mkono wa Ufaransa kwa magenge ya kigaidi

    Malalamiko ya Waziri Mkuu wa Mali dhidi ya uungaji mkono wa Ufaransa kwa magenge ya kigaidi

    Feb 06, 2022 23:06

    Waziri Mkuu wa Mali, Choguel Kokalla Maiga, ameishutumu serikali ya kikoloni ya Ufaransa kwa vitendo vyake vilivyo dhidi ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika na kusema kuwa, Wafaransa walipaswa kutusaidia, lakini badala yake wanayasaidia magenge ya kigaidi yanayopigania kujitenga na wanazichochea nchi za Ulaya ziiwekee vikwazo nchi ya Mali.

  • Maiga: Ufaransa, chimbuko la matatizo yote ya kiusalama, kiuchumi Mali

    Maiga: Ufaransa, chimbuko la matatizo yote ya kiusalama, kiuchumi Mali

    Feb 06, 2022 09:00

    Waziri Mkuu wa Mali amesema Ufaransa ndiyo sababu ya matatizo mbalimbali ya kiusalama na kiuchumi yanaoisumbua nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Macron: Unafiki wa Uingereza usababisha vifo vya wahamiaji katika Mfereji wa Manchi

    Macron: Unafiki wa Uingereza usababisha vifo vya wahamiaji katika Mfereji wa Manchi

    Feb 03, 2022 04:34

    Kufuatia mzozo wa London na Paris kuhusu mgogoro wa wakimbizi, Rais wa Ufaransa ameilaumu Uingereza kuwa ndiyo inayosababisha vifo vya wahamiaji katika maji ya Mfereji wa Manchi kutokana na kukataa kutoa njia ya kisheria kwa wahamiaji hao.

  • Marais wa Algeria na Ufaransa wazungumza baada ya miezi kadhaa ya mizozo ya kidiplomasia

    Marais wa Algeria na Ufaransa wazungumza baada ya miezi kadhaa ya mizozo ya kidiplomasia

    Jan 31, 2022 00:36

    Rais Abdelmajid Tebboune wa Algeria amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron, baada ya miezi kadhaa ya mivutano ya kidiplomasia baina ya pande hizo mbili.

  • Tamasha la sanaa Ufaransa lafutiwa ruzuku kwa mchoro wa hijabu

    Tamasha la sanaa Ufaransa lafutiwa ruzuku kwa mchoro wa hijabu

    Jan 30, 2022 04:31

    Serikali ya jimbo la Auvergne-Rhone-Alpes nchini Ufaransa imelisimamishia ruzuku kundi moja la wasanii wanaoandaa tamasha la sanaa mjini Grenoble, kwa kujumuisha mchoro wa mwanamke aliyevaa hijabu katika kazi zao.

  • Marais wa Iran na Ufaransa wajadili suala la kuondolewa vikwazo Tehran

    Marais wa Iran na Ufaransa wajadili suala la kuondolewa vikwazo Tehran

    Jan 29, 2022 23:56

    Rais wa Iran amesisitiza juu ya udharura wa kuondolewa vikwazo wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu, katika mazungumzo yake ya simu na mwenzake wa Ufaransa.

  • Mali yapuuza miito ya Ulaya ya kutaka askari wa Denmark wabaki nchini humo

    Mali yapuuza miito ya Ulaya ya kutaka askari wa Denmark wabaki nchini humo

    Jan 27, 2022 04:23

    Mali imesisitiza kuwa Denmark inapaswa kuondoa wanajeshi wake mara moja katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi ambao walitumwa nchini humo kama sehemu ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Ufaransa, licha ya nchi za Ulaya kuiasa iangalie upya msimamo wake huo.

  • Mgombea urais Ufaransa kupiga marufuku majina ya

    Mgombea urais Ufaransa kupiga marufuku majina ya "Muhammad", misikiti na vazi la hijabu

    Jan 26, 2022 00:44

    Mgombea mwenye siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa, Éric Zemmour, ametangaza ajenda na mipango yake kuhusu dini ya Kiislamu, ambayo amesema ataitekeleza iwapo ataingia Ikulu ya Elysee.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS